KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkristo anasali mara 1 tu kwa wiki unataka wajengewe kanisa Airport? Ili jumapili mtu atokee mtaani kwao akasali Airport au?
 
Kutumia Hela ya wananchi kujenga nyumba za ibada za watu Fulani ni ujinga
Inategemea mkuu pale si airport na swala zao si zinajulikana ni tano kwa siku so mtu anaweza kuhitaji kuswali akisubiri ndege. Mambo ya kawaida maana serikali haina dini ila wananchi wanazo dini
 
Kwakristo popote penye utulivu tunasali.Acheni hawa wenzetu wenye uhitaji wa kunawa na kutawaza wajengewe

Wakristo ni wavumilivu
Mkristo na kusali wapi na wapi hadi atengewe jengo? Si litajaa popo
 
Hao wengine wanajidai tu, wanaoswali kwa muda maalum ni Waislam peke yao.

Hao wengine wasali nini, uchafu mtupu, wakikojoa hawanawi, wakinya hawanawi, hata maji kutumia kwa kuchambia hawajui, wameganda nya makalioni mwao. Wanajidai tu.
 
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Wala hii si mada ya kujadiliwa kwani ni mada za kichoyo na roho mbaya tu.
Dini nyengine zipi umeulizwa.Na mimi nakuuliza pia.
Kwani kuna dini gani nyengine inayohitaji eneo la kuabudia mara tano kwa siku.Na swala za waislamu zina nidhamu maalum na lazima uwe tohara.
Wakristo na dini nyengine hayo si masharti muhimu.Ikiwa waislamu wanahitaji na si lazima kwenu kwanini iwe lazima na nyinyi mpekwe kitu ambacho hakihitajiki.Na ni nini kingine kama si roho mbaya na ushindani wa kipuuzi kudaid kitu ambacho wamepewa waislamu na wengine wapewe hata kama hakihitajiki.
 
E
Hiyo dini ya mbakaji wa vitoto sio! 🤣 anaye tia hadi vijakazi hiyo kweli dini, si ndiye kawa ahidi mabikra !? Vip wewe unayo bikra!?
Jamaa Wanadeka kweli kweli🤣🤣 na Wanajiona wao ndo VIP ata Mbinguni🤣🤣🤣 Ila MUNGU wao Sio MUNGU wa Wakristo
 

Attachments

  • IMG_9658.jpeg
    IMG_9658.jpeg
    31.5 KB · Views: 1
  • IMG_9657.png
    IMG_9657.png
    104.1 KB · Views: 1
  • IMG_1876.png
    IMG_1876.png
    119.5 KB · Views: 1
  • IMG_1875.png
    IMG_1875.png
    40.4 KB · Views: 1
  • IMG_1874.png
    IMG_1874.png
    25.9 KB · Views: 1
Hao wengine wanajidai tu, wanaoswali kwa muda maalum ni Waislam peke yao.

Hao wengine wasali nini, uchafu mtupu, wakikojoa hawanawi, wakinya hawanawi, hata maji kutumia kwa kuchambia hawajui, wameganda nya makalioni mwao. Wanajidai tu.
This is an insult
 
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Tatizo kwa upande wa kikiristo mko tofauti katika ibada na siku za kuabudu,kwa waislamu ibada zao hazitofautiani,,kwa madhehebu yote ya kiislamu,na hata wakisafiri kwenda hija,waislsmu wote wanakwenda mji mmoja wa Saud Arabia.
Ibada za kikristo,wapo wanaolia wakati wa ibada,wapo wanaopiga makofi,wapo wanaopiga vinada,wapo wanaoweka picha ya Bikira Mariya,na kumuomba ndani ya kanisa,wapo ambao hawakubaliani na sanamu ya Bikira Mariya,au Sanamu ya Yesu au picha.Hata vitabu vitakatifu vya Biblia viko tofauti,kwa madhehebu tofauti.Kwa hiyo inqbidi kujengwe makanisa tofauti ya madhehebu tofauti.Hata muelekeo wa kufanya ibada,waislamu wote kuanzia mavazi mpaka kufanya ibada wanafanana.
 
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Kuingiza Upendeleo wa Islamic kwenye taasisi na maeneo ya umma ni upumbavu mkubwa, Uislam sio endemic religion wanapaswa kuona aibu kufanywa kundi maalumu lililodhaifu, hio ni fedheha kwao. Shame upon Muslims in this country.
 
Jumapili watu hawasafiri Airport?
Wanasafiri ndiyo hiyo ibada ya kikristo unayotaka ukasali Airport ndege itakua inakusubiri tu? Uanze kuombewa, vipigwe vinanda , ziimbwe kwaya hapo safari bado ipo? Kama mkristo anataka kusali jumapili ahairishe safari akasali mtaani kwake
 
Mkristo anasali mara 1 tu kwa wiki unataka wajengewe kanisa Airport? Ili jumapili mtu atokee mtaani kwao akasali Airport au?
Jumapili watu hawasafiri Airport?
 
Hao wengine wanajidai tu, wanaoswali kwa muda maalum ni Waislam peke yao.

Hao wengine wasali nini, uchafu mtupu, wakikojoa hawanawi, wakinya hawanawi, hata maji kutumia kwa kuchambia hawajui, wameganda nya makalioni mwao. Wanajidai tu.
نَبِىٍّ إِلَّآ إِذَا تَمَنَّىٰٓ أَلْقَى ٱلشَّيْطَـٰنُ فِىٓ أُمْنِيَّتِهِۦ فَيَنسَخُ ٱللَّهُ مَا يُلْقِى ٱلشَّيْطَـٰنُ ثُمَّ يُحْكِمُ ٱللَّهُ ءَايَـٰتِهِۦ ۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌۭ ٥٢
Whenever We sent a messenger or a prophet before you ˹O Prophet˺ and he recited ˹Our revelations˺, Satan would influence ˹people’s understanding of˺ his recitation. But ˹eventually˺ Allah would eliminate Satan’s influence. Then Allah would ˹firmly˺ establish His revelations. And Allah is All-Knowing, All-Wise.
Dini yenye haya za Majini ndani yake ya nini sie
 
Wanasafiri ndiyo hiyo ibada ya kikristo unayotaka ukasali Airport ndege itakua inakusubiri tu? Uanze kuombewa, vipigwe vinanda , ziimbwe kwaya hapo safari bado ipo? Kama mkristo anataka kusali jumapili ahairishe safari akasali mtaani kwake
Nitafungua uzi kukuelimisha kwamba Wakristo huwa wana sali muda wowote.
 
Back
Top Bottom