KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Serikali inakemea watu lijapo swala la udini wakati yenyewe ndiyo inayolea udini kwa kutenga na kujenga maeneo ya ibada kwenye public places.
Ilipaswa kama wanazisaidia hizo dini basi izichangie huko kwenye maeneo ya hizi dini badala ya kuziingiza kwenye mifumo ya umma. Inajua madhara ya kujenga maeneo ya ibada kwenye maeneo ya umma? Inajua dini zikishayaweka wakfu maeneo hayo hapo hakuja hisani wa hiyari bali yataendeshwa kwa mujubu wa sheria na taratibu za dini husika?
Katika karne hii serikali inakumbayia mambo ya kioumbavu kabisa halafu ndiyo watu watarajie nchi kuja kusonga mbele?
 
Tatizo la ukristo utajenga makanisa mangapi? Mana ukijenga la roma wafuasi wa mwamposa watakuja juu, ukijenga la mwamposa wafuasi wa kiboko ya wachawi nao watamaindi,, Uzuri wa uislam ibada ni moja na utaratibu ni huo huo dunia nzima so awe mchina, mndengereko, mzungu utaribu ni huo huo ndo mana inakuwa raisi kuweka msikiti kwa upande wa waislam, yani kwa faida yenu tu msiojua mnavyosikia Shia na sunni basi mjue ibada ni ile ile tu hakuna anaeswali nyakati kumi isipokuwa swala ni tano vipindi vile vile na utarabu ni ule ule dunia nzima,,, karibu ninapoishi kuna kanisa, ila rafiki yangu mkristo ye hasali apa anaenda mbali, nilipomuuliza akasema ye kaokoka lile kanisa la pale karibu hawajaokoka,, sasa hayo makanisa apo Airport utajenga mangapi,,,,
 
Serikali inakemea watu lijapo swala la udini wakati yenyewe ndiyo inayolea udini kwa kutenga na kujenga maeneo ya ibada kwenye public places.
Ilipaswa kama wanazisaidia hizo dini basi izichangie huko kwenye maeneo ya hizi dini badala ya kuziingiza kwenye mifumo ya umma. Inajua madhara ya kujenga maeneo ya ibada kwenye maeneo ya umma? Inajua dini zikishayaweka wakfu maeneo hayo hapo hakuja hisani wa hiyari bali yataendeshwa kwa mujubu wa sheria na taratibu za dini husika?
Katika karne hii serikali inakumbayia mambo ya kioumbavu kabisa halafu ndiyo watu watarajie nchi kuja kusonga mbele?
Unaonaje tukaondoa mapumziko Jumamosi na Jumapili? Unaonaje tukaondoa likizo Krismasi na mwaka mpya wa miladia na likizo ya pasaka? Nyie watu kuweni wavumilivu. Tuishi kwa amani na kuvumiliana. Huwa mnawasema Waislam sana kuwa wana chuki na nyinyi ndio mna upendo kuliko watu wote ila ndio mnaongoza kwa chuki zisizo msingi. Hivi Waislam wakianza kuleta nongwa za ajabu ajabu itakuwaje?
 
Serikali inakemea watu lijapo swala la udini wakati yenyewe ndiyo inayolea udini kwa kutenga na kujenga maeneo ya ibada kwenye public places.
Ilipaswa kama wanazisaidia hizo dini basi izichangie huko kwenye maeneo ya hizi dini badala ya kuziingiza kwenye mifumo ya umma. Inajua madhara ya kujenga maeneo ya ibada kwenye maeneo ya umma? Inajua dini zikishayaweka wakfu maeneo hayo hapo hakuja hisani wa hiyari bali yataendeshwa kwa mujubu wa sheria na taratibu za dini husika?
Katika karne hii serikali inakumbayia mambo ya kioumbavu kabisa halafu ndiyo watu watarajie nchi kuja kusonga mbele?
Tatizo la ukristo utajenga makanisa mangapi? Mana ukijenga la roma wafuasi wa mwamposa watakuja juu, ukijenga la mwamposa wafuasi wa kiboko ya wachawi nao watamaindi,, Uzuri wa uislam ibada ni moja na utaratibu ni huo huo dunia nzima so awe mchina, mndengereko, mzungu utaribu ni huo huo ndo mana inakuwa raisi kuweka msikiti kwa upande wa waislam, yani kwa faida yenu tu msiojua mnavyosikia Shia na sunni basi mjue ibada ni ile ile tu hakuna anaeswali nyakati kumi isipokuwa swala ni tano vipindi vile vile na utarabu ni ule ule dunia nzima,,, karibu ninapoishi kuna kanisa, ila rafiki yangu mkristo ye hasali apa anaenda mbali, nilipomuuliza akasema ye kaokoka lile kanisa la pale karibu hawajaokoka,, sasa hayo makanisa apo Airport utajenga mangapi,,,,
Msome mwenzako@Nyonzobinmvule
 
Una uhakika wao husali siku hizo tu?Nimeangalia mafaili yanaonesha Roman Catholic husali kila siku saa 12 asbh,saa 6 mchana,saa 10 jioni,saa 12 jioni na usiku kabla ya kulala.Bila kusahau rosari hata watembeapo kuanzia kanisa lao lilipoanzishwa..Umeichukuliaje hiyo?
Nao pia hizo Swala ni lazima kama Swala tano kwa Waislam? Kusimamisha Swala ni nguzo katika nguzo za Uislam. Acheni nongwa jamani.
 
Nimemsoma sasa sijui wewe point yako ni ipi hapa labda tuwekane sawa
1-Kwa nini huwa mnatofautiana kufunga Ramadan na kusherehekea sikukuu zenu?Hampo tofauti kimitazamo ie Sunni,Shia,Ismailiya nk?
2-Pak ametoa wazo.Sehemu za ibada kujengwa kwenye taasisi za umma unaona ni sahihi?Hazileti hisia hasi miongoni mwao?Kwa nini serikali ijinasibishe na upande mmoja tu wa imani?Wabuddha?Wabahai?Wakristo?Tao?Jews?Satanic?
 
Kwa nini uone si lazima na nyingine ni lazima?Tena wakongwe uliowakuta karne kwa karne wawe hawana ulazima ila huyo wa juzijuzi!
Sisi Waislam kusimamisha Swala ni LAZIMA. Hiyo ipo kishariah. Ni Nguzo katika Nguzo za Uislam. Je, na huko wana Ulazima na uwajibu huo?

Tuacheni nongwa. Tuvumiliane tu. Nyinyi mmekataa kuwa Waislam na sisi hatutaki kuwa nyinyi. Hivyo tuvumiliane. Waislam wakileta nongwa wakataka Ijumaa iwe siku ya mapumziko itakuwaje? Na wakaleta hoja kuwa Ijumaa ni Idd ya Kiislam na hili ni kweli. Lakini ni siku ya kazi katika nchi hii. Ila Al hamdulillah watu wanakwenda kuswali Swala ya Ijumaa wanarudi wanafanya kazi zao. Ila kuna watu katika Dini yao hawafanyi kazi kabisa Jumamosi na wamepewa siku ya kupumzika, na wengine Jumapili wamepewa kupumzika. Lakini sisi hatuleti nongwa. Ukiwa na kazi zako unafanya tu hujalazimishwa kupumzika.
 
Sisi Waislam kusimamisha Swala ni LAZIMA. Hiyo ipo kishariah. Ni Nguzo katika Nguzo za Uislam. Je, na huko wana Ulazima na uwajibu huo?

Tuacheni nongwa. Tuvumiliane tu. Nyinyi mmekataa kuwa Waislam na sisi hatutaki kuwa nyinyi. Hivyo tuvumiliane. Waislam wakileta nongwa wakataka Ijumaa iwe siku ya mapumziko itakuwaje? Na wakaleta hoja kuwa Ijumaa ni Idd ya Kiislam na hili ni kweli. Lakini ni siku ya kazi katika nchi hii. Ila Al hamdulillah watu wanakwenda kuswali Swala ya Ijumaa wanarudi wanafanya kazi zao. Ila kuna watu katika Dini yao hawafanyi kazi kabisa Jumamosi na wamepewa siku ya kupumzika, na wengine Jumapili wamepewa kupumzika. Lakini sisi hatuleti nongwa. Ukiwa na kazi zako unafanya tu hujalazimishwa kupumzika.
Ungejibu swali nililokuuliza ndiyo ungepata jibu na kuacha kujikwezakweza bila ukuu wowote.Dini yoyote bila kusali itakuaje sasa?Kukariri na kueleza kwamba wanasali jumapili tu huko ni kujidanganya kabisa.Nimekupa na maelezo ya RC kusali zaidi hata ya mara tano kwa siku pamoja na rosari kila muda.Sijui ulisoma ukaelewa au?
 
Jumapili na Jumamosi watu hawasafiri?
Sio kila kitu tufanane, waislamu wana swali mara tano kwa siku na wanatakiwa waswali kwa wakati sasa wakristo kuna flexibility hata hizo Jumapili na Jumamosi misa ziko mida tofauti ni chaguo lako tu na kingine ibada za Kikristo zina program misa zao kuna kwaya, sadaka na mahubiri sasa kweli kuna muda wa yote hayo Airport? Maana hili sio Tanzania tu nenda Airport zote duniani kama hujakuta sehemu ya ibada basi sehemu ya kuvuta sigara.
 
Sio kila kitu tufanane, waislamu wana swali mara tano kwa siku na wanatakiwa waswali kwa wakati sasa wakristo kuna flexibility hata hizo Jumapili na Jumamosi misa ziko mida tofauti ni chaguo lako tu na kingine ibada za Kikristo zina program misa zao kuna kwaya, sadaka na mahubiri sasa kweli kuna muda wa yote hayo Airport? Maana hili sio Tanzania tu nenda Airport zote duniani kama hujakuta sehemu ya ibada basi sehemu ya kuvuta sigara.
Unazijua sala za masfu na sala za saa sita mchana na za jioni?Jiboreshee ufahamu.
 
Unaonaje tukaondoa mapumziko Jumamosi na Jumapili? Unaonaje tukaondoa likizo Krismasi na mwaka mpya wa miladia na likizo ya pasaka? Nyie watu kuweni wavumilivu. Tuishi kwa amani na kuvumiliana. Huwa mnawasema Waislam sana kuwa wana chuki na nyinyi ndio mna upendo kuliko watu wote ila ndio mnaongoza kwa chuki zisizo msingi. Hivi Waislam wakianza kuleta nongwa za ajabu ajabu itakuwaje?
Uislamu ulikuta miundo hiyo ipo tayari inatumika kikalenda.Kama inakera,ombi liwekwe irekebishwe.
 
Back
Top Bottom