KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Kasali msikitini, si unasalin ujuwavyo tu? Kwani uliambiwa msikiti upo kwa ajili ya nani kama siyo watu kwenda kusali?
 
Nani aingie msikitini? Yani Muhammad ambae ni muongo tu alieongea na mapepo na maiti kuliwa na mbwa ndio atusumbue? Takataka.

Wewe huna haja ya kusali unatafuta maneno ya kijinga tu.
 
Pamoja sana chief,,nimependa sana mabango yako yale,,safi sana
Mkuu ndo kazi yangu ile hivo usiogope nipo tayari kupokea oda kama unahitaji ya barthaday, business card na kitu chochote ambacho kina gusia multimedia nipo hapa..

Sio na bahatisha hapana ila ni pure talented 😂😂😂😂😂 najipakulia minyama kama yote
 
Mkuu ndo kazi yangu ile hivo usiogope nipo tayari kupokea oda kama unahitaji ya barthaday, business card na kitu chochote ambacho kina gusia multimedia nipo hapa..

Sio na bahatisha hapana ila ni pure talented 😂😂😂😂😂 najipakulia minyama kama yote
Okay safi sana chief,nawaomba wadau pia wakusapoti sana katika hili kwani ndio undugu wenyewe wa jf

Basi maadam tumelifahamu hilo lolote laweza kutokea inshallah

Niombe ruhusa nikapumzike
 
Okay safi sana chief,nawaomba wadau pia wakusapoti sana katika hili kwani ndio undugu wenyewe wa jf

Basi maadam tumelifahamu hilo lolote laweza kutokea inshallah

Niombe ruhusa nikapumzike
Huna baya mkuu..
We kapumzike mi niache hapa nipo na anti angu mpendwa..
😂😂😂😂😂
 
1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.

2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.


NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Ukiacha sehemu za viti vy kupumzika, restaurant na maduka mahitaji madogo madogo, vitu vingine vilivyopo ni vya kutolea taka. Yaani dust bin, msikiti na choo na viko jirani
 
Waumini wa kweli hawahitaji kujengewa Mahali pa kuabudu.Ni wale wenye kufuata Dini Tu ndiyo Wanajengewa.Na Mungu hajawahi kuleta Dini.Dini zipo na waliodhani wanamjua Mungu Kwa Njia zao.Akina Kaini na Nimrod na Waarabu/Wayahudi waasi ndiyo wenye dini.
 
Tuongee ukweli tu,wakitenga sehemu ya wakristo kusali,watasali wakati wao ni jumapili au jumamosi?
Au unataka kila anayesali awe anapiga makelele na kusumbua wengine kwamba anatakiwa kusali kila wakati ndiyo maana akili yako imekariri kwamba huwa wanasali Jumapili au Jumamosi pekee?
 
Tuongee ukweli tu,wakitenga sehemu ya wakristo kusali,watasali wakati wao ni jumapili au jumamosi?
Una uhakika wao husali siku hizo tu?Nimeangalia mafaili yanaonesha Roman Catholic husali kila siku saa 12 asbh,saa 6 mchana,saa 10 jioni,saa 12 jioni na usiku kabla ya kulala.Bila kusahau rosari hata watembeapo kuanzia kanisa lao lilipoanzishwa..Umeichukuliaje hiyo?
 
Back
Top Bottom