Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wanazingua sana wale tatizo wamejawa na hasadi sanaWatu wabaya dj wangu,wamewanga mpaka lengo lao limetimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua sana wale tatizo wamejawa na hasadi sanaWatu wabaya dj wangu,wamewanga mpaka lengo lao limetimia
Hlf cha kushangaza kuna baadhi ya nyuzi ukipitia unakuta bado wanazungumzia hizo habar,yan nashindwa kuelewa shida iko wapi?Wanazingua sana wale tatizo wamejawa na hasadi sana
Wacha kuiga Waislamu wanaoswali mara 5 kutwa lakini bado wanaua watu. Sisi Wakristu tuendelee kusali mara moja kwa wiki na kuwatendea binadamu mambo mema. InatoshaSehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria.
Na sio hisani au kuendelea upande mmoja.
Terminal 3 wamejitahid Ila wameshaau dini nyingine, kwanini?
Naona unataka kuleta porojo,ishi na madaWacha kuiga Waislamu wanaoswali mara 5 kutwa lakini bado wanaua watu. Sisi Wakristu tuendelee kusali mara moja kwa wiki na kuwatendea binadamu mambo mema. Inatosha
Nilitaka uje na kweli imeingia kwenye mfumoNaona unataka kuleta porojo,ishi na mada
Sijakuelewa,,ebu fafanuaNilitaka uje na kweli imeingia kwenye mfumo
Kuna watu wakisikia jina hili wanataman wajinyonge kwa hasadi😂😂Tajiri nakuona tajiri
Watafunga hii app wallah😂😂Tajiri itabidi uje na challenge za v8 ndio watafunga mdomo
Pamoja sana chief one loveHuna baya tajiri😂😂😂
Unataka huu uzi ufungwe nini😂😂😂
Kwani kwa akili yako fupi dini zipo ngapi? Alafu sehemu ya umma haitakiwi kuwa na mambo hayo, ni upuuzi wa waislamu tu kujikuta bora. Takataka.Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria.
Na sio hisani au kupendelea upande mmoja.
JNIA Terminal 3 wamejitahid Ila wamesahau dini nyingine, kwanini?
Kwahiyo waislamu wameanza.kuswali leo?Kwani kwa akili yako fupi dini zipo ngapi? Alafu sehemu ya umma haitakiwi kuwa na mambo hayo, ni upuuzi wa waislamu tu kujikuta bora. Takataka.
Kwani huwa mnasali mara ngapi kwa siku?1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.
2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.
NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Tatizo hii shida imeiingia kwa wasimamizi wa mtandao,wangekuwa imara wasinge yumbishwaWakifunga tutapata mwengine😂😂😂
Sheli za mafuta mumeona ziwaki moto sasa. Mnataka na mafuta ya ndege mkaweke nyumba za ibada1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.
2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.
NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.