Kwani kuna ubaya?,kwani hao hawalipi kodi ama wao sio Watanzania?Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna ubaya?,kwani hao hawalipi kodi ama wao sio Watanzania?Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Kama nimetoka kula kitimoto naruhusiwa kuingia bila kubadilisha nguo??Njooni msikitini, kwani mlikatazwa, uki feel unahitaji Mwenyezi Mungu, ingia msikitini tu, hakikisha mwili wako uko msafi, koga vizuri ingia msikitini, fata wagtu wafanyavyo, utaiona raha ambayo hujwahi kuiona maisha yako.
Siku ukifika Airport utajua kuna wasafiri wanakaa hadi siku nzima wakisubiria ndege, wengine hadi wanalala kabisa kwenye viti vya Airport.Sijawahi
Hiyo ni dharura, msafiri wa ndege anatakiwa kuripoti saa tatu kabla ya safariSiku ukifika Airport utajua kuna wasafiri wanakaa hadi siku nzima wakisubiria ndege, wengine hadi wanalala kabisa kwenye viti vya Airport.
Basi watafanya kama shule,Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Achana naeSijawahi
Ili mradi mjengewe kanisa airportBasi watafanya kama shule,
UKWATA, CASEFETA na TYCS.
Halafu na hekalu la Wahindu pia wasisahau.
Kila siku kuna wanaounganisha ndege ambazo nyingine wanasubiri hadi masaa sita na hawawezi kutoka nje ya Airport.Hiyo ni dharura, msafiri wa ndege anatakiwa kuripoti saa tatu kabla ya safari
Hakuna mkristu atayehitaji kufanya ibada katika muda huo,wakristu ibada ni mtoko wa weekendKila siku kuna wanaounganisha ndege ambazo nyingine wanasubiri hadi masaa sita na hawawezi kutoka nje ya Airport.
Una mawazo ya ajabu kama chizi tu.Hakuna mkristu atayehitaji kufanya ibada katika muda huo,wakristu ibada ni mtoko wa weekend
Za kikristo kwani hujamwelewa?Dini nyingine Kama zipi? Zitaje hapa Sasa.
Kwa hiyo kwa uelewa wako,duniani kuna dini mbili tu?Za kikristo kwani hujamwelewa?
Wakristu huwa wanasali kila siku, kila asubuhi kuna ibada na zaidi kuna sala binafsi za watu ambazo hazihitaji kiongozi wa dini.Tuongee ukweli tu,wakitenga sehemu ya wakristo kusali,watasali wakati wao ni jumapili au jumamosi?
Ndiyo ujue kuna watu hawana wanachojua.Kazi yao ubishiubishi tu.Wakristu huwa wanasali kila siku, kila asubuhi kuna ibada na zaidi kuna sala binafsi za watu ambazo hazihitaji kiongozi wa dini.
Na kwenye SGR pia
Na sokoni pia
Na hospitalini pia
Na ferry pia
Na kazini pia
Na stendi pia
msikilizwe mna hojaNa kwenye stadiums pia
Hizo ndo rasmi hizo zingine ni kama matawi ya simbaKwa hiyo kwa uelewa wako,duniani kuna dini mbili tu?
Hata wao na wewe wanakuona wa kuja tu.Hizo ndo rasmi hizo zingine ni kama matawi ya simba
Kabla ya kuropoka ni vyema ukafahamu duniani kuna watu bilioni 8, watu bilioni 4 ndio Wakristo na Waislamu. Jiulize hao bilioni 4 wengine wako dini zipiHizo ndo rasmi hizo zingine ni kama matawi ya simba
Inshallah 😎 Cc ephen_Njooni msikitini, kwani mlikatazwa, uki feel unahitaji Mwenyezi Mungu, ingia msikitini tu, hakikisha mwili wako uko msafi, koga vizuri ingia msikitini, fata wagtu wafanyavyo, utaiona raha ambayo hujwahi kuiona maisha yako.
Kazi kweli kweli, maana Wahindu wanavyoabudia vingine vinatisha ukiachana na ng'ombe na nyoka, hivi na Wabudha nao wakitaka wawekewe sehemu yao ya kuabudia pia itakuwaje? Kiufupi ni kwamba wanaofanya ibada mara nyingi kwa siku ni Waislam, hao wengine wanao uwezo wa kwenda kufanya ibada wanakokwenda uwanja wa ndege wanakaa muda mfupi tu katika siku.Ya Wahindu.