Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penisula
Ghuba ni sehemu ya maji iliyoingia nchi kavughuba ni sehemu ya ardi iliyoingia baharini
rasi ni sehemu ya ardhi iliyoingiliwa na bahari na kuchongoka pekbe tatu
NB: sikumbuki vizuri, hili ni somo la maarifa ya jamii subiri walimu waje watakusaidia
Iwe ndogo au kubwa, jina ni hilohiloghuba siyo zinakuwa kubwa sana?
Ndugu wakimaliza kukujibu Swali lako tafadhali niulizie na Mimi kuwa je, wale Mamba ambao huwepo katika Mito mbalimbali ile Mito ikikauka hupotea ghafla huwa wanapotelea wspi?
Penisula
Peninsula ni sehemu ya nchi kavu iliozungukwa na maji sehemu kubwa (sio sehemu yote iliozungukwa na maji kama kisiwa). Mfano Masaki.Peninsula ..,Bay ...
Kiswahili chake sijui
Kigambon peninsula..
Oyster bay...
RAS huwa ni sehemu ya ardhi nyembamba na imeingia baharini, peninsula ni kubwa imezungukwa na maji.Rasi = peninsula
Ghuba ni sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu.ghuba ni sehemu ya ardi iliyoingia baharini
rasi ni sehemu ya ardhi iliyoingiliwa na bahari na kuchongoka pekbe tatu
NB: sikumbuki vizuri, hili ni somo la maarifa ya jamii subiri walimu waje watakusaidia
Naturally ni Ghuba. Hii hapa bandarini ni man made.
Man made ndy ifike Hadi huku kijichi mkuu?Naturally ni Ghuba. Hii hapa bandarini ni man made.
rasi...Japo penisula ni ile nchi kavu. Mi nazungumzia ile ya maji iliyoingia ndani hadi bandarini na kuendelea.