Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

RAS huwa ni sehemu ya ardhi nyembamba na imeingia baharini, peninsula ni kubwa imezungukwa na maji.
1. Rasi (pia:peninsula lat. nusukisiwa) ni sehemu ya nchi inayoelekea katika maji ya bahari au ziwa na kuzungukwa na maji pande tatu. Ni kama kisiwa kinachounganishwa na bara upande mmoja tu.

Rasi inaeza kuwa ndogo au kubwa. Mifano ya rasi kubwa ni nchi za Italia na Korea au Bara Hindi.
 
Ndugu wakimaliza kukujibu Swali lako tafadhali niulizie na Mimi kuwa je, wale Mamba ambao huwepo katika Mito mbalimbali ile Mito ikikauka hupotea ghafla huwa wanapotelea wspi?
Huwa wanatafuta mahali nchi kavu kama mapango au bonde kisha hujibanza hapo!!
Mamba ana uwezo wa kujizima mwili wake(hibernate)yaani moyo wake unapiga mara mbili ndani ya dakika moja!!!hutulia hapo pasipo kujigusa hata kwa muda wa mwaka mzima!!pia wako wale aligators kule marekani ikifika kipindi cha WINTER maji ya mito huganda!na wao huganda kabisaaa hadi organs zao!!but winter ikiisha wanarudi upya kabisa....!
 
Ndugu wakimaliza kukujibu Swali lako tafadhali niulizie na Mimi kuwa je, wale Mamba ambao huwepo katika Mito mbalimbali ile Mito ikikauka hupotea ghafla huwa wanapotelea wspi?
Wanachimba mashimo makubwa sn chini ya ardhi na hukaa huko kipindi chote ambacho mto umekauka.Wengine wakati maji yanaisha kwenye mto na kubakia tope zito hutoka na kukimbilia nchi kavu.Hawa mara nyingi hufa huko maana hawawezi kusavaivu nje ya maji Kwa muda mrefu Kama kenge

Walio ndani ya mashimo hupata baridi na wanaishi Kwa muda mrefu sn kulinganisha na wale waliokimbilia kwenye miti.Mvua zikinyesha na maji yakianza kujaa huibuka juu na kuanza maisha mapya,lkn kipindi hiki huwa wachache sn maana mamba wengi walikufa kipindi cha ukame Kwa njaa na kutozoea mazingira ya kuishi nje ya maji

Kipindi hiki ndicho ambacho unaweza 'kumtukana mamba na mto ukavuka' maana mto pengine ni mkubwa lkn hauna mamba wengi.Lakini ikipita kuanzia miezi mitatu baada ya maji kujaa ukivuka mto unaweza usiwe na bahati
 
1. Rasi (pia:peninsula lat. nusukisiwa) ni sehemu ya nchi inayoelekea katika maji ya bahari au ziwa na kuzungukwa na maji pande tatu. Ni kama kisiwa kinachounganishwa na bara upande mmoja tu.

Rasi inaeza kuwa ndogo au kubwa. Mifano ya rasi kubwa ni nchi za Italia na Korea au Bara Hindi.
Ni sahihi japo Ras huwa ni ndogo kama ya kigamboni au ya tumaini jema, lakini peninsula ni kubwa kama Italy, Korea au Iberia.
 
Peninsula ni sehemu ya nchi kavu iliozungukwa na maji sehemu kubwa (sio sehemu yote iliozungukwa na maji kama kisiwa). Mfano Masaki.
Sehemu ya maji ilioingia nchi kavu ni Ghuba.

Msasani peninsula..
Oyster bay..
Kigambon ni gulf?Sidhani

Sehemu ya maji ikiingia ndani ni peninsula
Ardhi ikiingia baharini ni bay

So tuna msasani peninsula
Na Oyster bay..

Kigambon sidhani kama ni gulf
 
Wanachimba mashimo makubwa sn chini ya ardhi na hukaa huko kipindi chote ambacho mto umekauka.Wengine wakati maji yanaisha kwenye mto na kubakia tope zito hutoka na kukimbilia nchi kavu.Hawa mara nyingi hufa huko maana hawawezi kusavaivu nje ya maji Kwa muda mrefu Kama kenge

Walio ndani ya mashimo hupata baridi na wanaishi Kwa muda mrefu sn kulinganisha na wale waliokimbilia kwenye miti.Mvua zikinyesha na maji yakianza kujaa huibuka juu na kuanza maisha mapya,lkn kipindi hiki huwa wachache sn maana mamba wengi walikufa kipindi cha ukame Kwa njaa na kutozoea mazingira ya kuishi nje ya maji

Kipindi hiki ndicho ambacho unaweza 'kumtukana mamba na mto ukavuka' maana mto pengine ni mkubwa lkn hauna mamba wengi.Lakini ikipita kuanzia miezi mitatu baada ya maji kujaa ukivuka mto unaweza usiwe na bahati
Mkuu unafahamu tusi alilotukanwa mamba wa 'kabla ya kuvuka mto' nasikia aliambiwa ana mdomo mkubwa🙂🙂
 
Huwa wanatafuta mahali nchi kavu kama mapango au bonde kisha hujibanza hapo!!
Mamba ana uwezo wa kujizima mwili wake(hibernate)yaani moyo wake unapiga mara mbili ndani ya dakika moja!!!hutulia hapo pasipo kujigusa hata kwa muda wa mwaka mzima!!pia wako wale aligators kule marekani ikifika kipindi cha WINTER maji ya mito huganda!na wao huganda kabisaaa hadi organs zao!!but winter ikiisha wanarudi upya kabisa....!
Asante kwa Elimu yako hii Kubwa Ndugu. Ubarikiwe kwani nimeelimika zaidi. Na hii ndiyo raha na faida ya Mtandao huu wa JamiiForums.
 
Msasani peninsula..
Oyster bay..
Kigambon ni gulf?Sidhani

Sehemu ya maji ikiingia ndani ni peninsula
Ardhi ikiingia baharini ni bay

So tuna msasani peninsula
Na Oyster bay..

Kigambon sidhani kama ni gulf
Gulf ni Ile sehemu ya MAJI ilioingia bandarini,kurasini, Vijibweni. Na ndio swali la Red Giant
 
Wanachimba mashimo makubwa sn chini ya ardhi na hukaa huko kipindi chote ambacho mto umekauka.Wengine wakati maji yanaisha kwenye mto na kubakia tope zito hutoka na kukimbilia nchi kavu.Hawa mara nyingi hufa huko maana hawawezi kusavaivu nje ya maji Kwa muda mrefu Kama kenge

Walio ndani ya mashimo hupata baridi na wanaishi Kwa muda mrefu sn kulinganisha na wale waliokimbilia kwenye miti.Mvua zikinyesha na maji yakianza kujaa huibuka juu na kuanza maisha mapya,lkn kipindi hiki huwa wachache sn maana mamba wengi walikufa kipindi cha ukame Kwa njaa na kutozoea mazingira ya kuishi nje ya maji

Kipindi hiki ndicho ambacho unaweza 'kumtukana mamba na mto ukavuka' maana mto pengine ni mkubwa lkn hauna mamba wengi.Lakini ikipita kuanzia miezi mitatu baada ya maji kujaa ukivuka mto unaweza usiwe na bahati
Asante sana kwa Elimu yako hii Kubwa Ndugu. Ubarikiwe mno.
 
Back
Top Bottom