Kwani mkuu kitendo cha maji ya mto kukauka kwani ni kitendo cha usiku na mchana tu....vile yakianza kupungua jamaa wanahisi hiyo hali na kutokomea mbali kuliko na maji.Ndugu wakimaliza kukujibu Swali lako tafadhali niulizie na Mimi kuwa je, wale Mamba ambao huwepo katika Mito mbalimbali ile Mito ikikauka hupotea ghafla huwa wanapotelea wspi?
Umenikumbisha VITA YA GHUBA YA UAJEMI. Kama na wewe umekumbuka hii kitu basi kuchanja kunakuhusu.
mkuu baharia unatuingiza town.Kama baharia mstaafu nishapita mifereji yote mikubwa tena nikiwa msaidizi wa duty ya bridge 😉,suez canal,panama canal na dardanelles canal na bosporus canal instabul,naweza kusema mifereji ya baharini ya kama huo unaopita nyerere bridge inaitwa canal,tena pale nyerere bridge mchina katupiga vibaya sana kwa ujinga wa maenginer wa kibongo
Inaitwa Ghuba wewe mzee!Japo penisula ni ile nchi kavu. Mi nazungumzia ile ya maji iliyoingia ndani hadi bandarini na kuendelea.
Katupiga Nini mkuuKama baharia mstaafu nishapita mifereji yote mikubwa tena nikiwa msaidizi wa duty ya bridge [emoji6],suez canal,panama canal na dardanelles canal na bosporus canal instabul,naweza kusema mifereji ya baharini ya kama huo unaopita nyerere bridge inaitwa canal,tena pale nyerere bridge mchina katupiga vibaya sana kwa ujinga wa maenginer wa kibongo
Ilibidi walinyanyue lile daraja usawa wa kuweza kupita meli yoyote,kwa wenzetu sehemu zile ndio wanajenga dry kubwaKatupiga Nini mkuu
na kuendelea mpaka Kijichi kule ni mkondo wa majiNafikiri hatuelewani. Ni hivi swali lilikuwa Ile sehemu ya maji pale bandarini inaitwaje? Jibu ni Ghuba.
Kuhusu Kigamboni,Vijibweni ni RAS,pensula au kisiwa wewe ndio unasema.
Ghuba ni Ile sehemu ya maji ilioingia pale bandarini hadi kurasini,huu ndio uelewa wangu.
BAY - Sehemu ya pana ya maji iliyoingia nchi kavu na kutengeneza ufukwe...Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..
Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..
Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....
Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..
Msasani Peninsula
Kigambon peninsula
Zote hizo rasi...
Sijaona gulf hapo so far
Sasa utajuaje kama ardhi ndio imeingia baharini au bahari ndo imeingia nchi kavu, na wakati vinaingiliana hukuwepo.Ghuba ni sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu
Rasi ni sehemu nyembamba ya ardhi iliyoingia baharini
Penisula
Ni sehemu kubwa ya ardhi iliyoingia baharini
Acha uongo bosiUnajua Daily News huwa Wana mention sana hivi vitu .
Binafsi Msasani Peninsula nimeitoa kwenye gazeti la Daily News..
Nna uhakika vyote vipo sema usomaji wa magazeti siku hizi sio sana..
Kiswahili chake ni rasi ya kigamboniPeninsula ..,Bay ...
Kiswahili chake sijui
Kigambon peninsula..
Oyster bay...
Ya Dar sio imetengenezwa na watu, bali imeboreshwa, ni ya asili.Naturally ni Ghuba. Hii hapa bandarini ni man made.
Gulf ni ghuba....Bay ni sawa, nawaza pia estuary au gulf, kiswahili chake sasa.
Ghuba!