Sehemu ya uzazi ya mwanamke kwa asili ya uumbaji wake kimuundo ni ngumu mwanamke kufika kileleni. Wanaume tusilaumiwe wanawake watuongoze wao.

Kila ulimi unatest yake be careful, baadhi yenu mnaigiziwa na mnavimba kwa uchuro tu.
 
Wewe ni mvulana sisi wanaume mbna tunawafikisha kileleni
 
So mwanamke analala kama gogo kifo cha mende afu analia hajafikishwa
 
Siku hizi kuna biashara ya ngono, wenye mapenzi na simu ya sex ni wachache sana.
 
So mwanamke analala kama gogo kifo cha mende afu analia hajafikishwa

Uwezo wa mwanaume asiye na tatizo, kumridhisha mwanamke kunategemea sana wote wawili. Mwanamke akiwa mchafu, mzito, hana manjonjo na hapendani na huyo mwanaume, asibashiri kuna dawa zitamtibu mwanaume.
 
 
dabali dabali [emoji28][emoji28] nimecheka sana
 
Babu zako wakiona hii wanasikitika sana
 
Upo sahihi Kbsa mkuu
 
Kama anaweza kujiridhisha kwa kidole,Hapo kibamia kina tatizo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…