Sehemu yoyote ambayo unaweza kufukuzwa muda wowote usiwekeze nguvu nyingi hapo. Sehemu hizo ni kama ifuatavyo

Sehemu yoyote ambayo unaweza kufukuzwa muda wowote usiwekeze nguvu nyingi hapo. Sehemu hizo ni kama ifuatavyo

SEHEMU YOYOTE ÀMBAYO UNAWEZA KUFUKUZWA MUDA WOWOTE, USIWEKEZE ÑGUVU NYINGI HAPO. SEHEMU HIZÔ NI KAMA IFUATAVYO;​


Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kama Kichwa kinavyoeleza.
Sehemu yoyote na Mahali popote àmbapo Upo lakini unaweza kufukuzwa Muda wowote basi kiushauri sehemu hiyo usiweke Ñguvu nyingi Hapo, usiwekeze Ñguvu nyingi Hapo. usije ukaumia.

Tumia Ñguvu nyingi kadiri uwezavyo, wekeza Ñguvu nyingi kadiri ya ulivyojaliwa Mahali àmbapo hakuna wakukufukuza, yàani wewe ndiye Mmiliki wa Eneo Hilo.

Sehemu yoyote àmbayo ukigombana na wakubwa WA eneo Hilo wanauwezo wa kukufukuza, Eneo Hilo usitumie Ñguvu kûbwa na usiwe na matarajio nayo Makubwa. Ipo Siku utaumia.

Maeneo hayo ni Kama Ifuatavyo;
1. Vyama Vya Siasa.
Ikiwa unajua Kabisa wewe sio Mmiliki wa Chama hicho au Sheria haikupi mamlaka ya KUMILIKI Chama hicho kwa umilele yaani mpaka mwisho wa uhai wako. Usitie Ñguvu nyingi Sana. Usijitese kivile.

2. Madhehebu ya Dini.
Upo dhehebu Fulani, usitumie Ñguvu zako zote kujenga dhehebu àmbalo wewe sio Mmiliki Wala muanzilishi WA dhehebu Hilo.
Unaweza ukafukuzwa Muda wowote.

Kwa Sasa mambo yanaweza kuonekana Sawa lakini hiyo haimaanishi kwamba yataenda Sawa Siku zote.
Jambo ambalo Mmiliki wake NI Mwingine na sio wewe linaweza kukubadilikia Muda wowote.

Mfano, Madhehebu ya Dini yanaweza kuanzisha utaratibu mpya kinyume na misingi ya zamani na hutokuwa na lolote la kufanya. Kwa mfano Dhehebu Fulani linaweza kusema Ushoga siô Kosa na watafungisha Ndoa za mashoga. Àmbaye hataki afungashe virago aondoke.

Hutokuwa na lakufanya, kitakachokuuma zaidi ni Ñguvu nyingi ulizotumia na kuamini katika Jambo ambalo wewe sio Mmiliki.

3. Kampuni au Taasisi
Kampuni au Taasisi àmbayo wewe sio Mmiliki àmbayo Muda wowote unaweza ukafukuzwa usitumie Ñguvu nyingi kuwekeza Hapo. Fuata job descriptions ya Kazi yako, usizidishe Wala kuwa n kiherehere cha kujitoa kupita kiasi. Ili Siku ukifukuzwa au kukosewa heshima usije ukaumia na kulaumu.

4. Mtoto wa Kambo
Usije ukatumia Ñguvu nyingi kuwekeza Kwa Mtoto ambaye unajua Kabisa sio Wako Kwa kule kujidanganya kuwa ni Sawa na wako.
Huyo siô Mtoto wako na hauna mamlaka naye yoyote Kwa Sheria zozote labda Sheria za kitapeli.

Unaweza ukawekeza Kwa kiwango cha Kati ambacho hakikuumizi lakini siô kuwekeza Kwa kiwango ambacho unadhani NI kitû chako yàani Kutumia Ñguvu zako zote. Utaumia Hakika.

5. Dunia
Usitumie Ñguvu kûbwa kiasi cha kujiumiza kuwekeza Hapa Duniani Wakati unajua hata ufanyaje Ipo Siku yôte unayoyafanya na uliyonayo utayaacha na utakufa.
Fanya Kwa kiasi,

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hii ni kweli kuna mkubwa mmoja namjua alijitolea kiwanja kuwapa "ccm kata " wajenge ofisi na kutumia eneo hilo ila ilipofika wakati wa kampeni alivochukua form ya jumuiya ya wazazi alikuwa anatukanwa utadhani mtoto yatima.
Aliandamwa hadi akaonja joto ya jiwe.
Ilinigusa sana.
 
Hii ni kweli kuna mkubwa mmoja namjua alijitolea kiwanja kuwapa "ccm kata " wajenge ofisi na kutumia eneo hilo ila ilipofika wakati wa kampeni alivochukua form ya jumuiya ya wazazi alikuwa anatukanwa utadhani mtoto yatima.
Aliandamwa hadi akaonja joto ya jiwe.
Ilinigusa sana.

Hatari Sana
 
Pointi yako namba 5 haina ukweli.

Kila mtu angewekeza na kufanya kwa kiasi hapa duniani sidhani kama tungefanikiwa kupata maendeleo makubwa na vitu vikubwa ...

Kama uwezo upo fanya kila kitu to the fullest.

Usipowekeza duniani hakuna sehemu nyingine ya kuwekeza.

Wanasayansi kama kina Nikola Tesla, Isaac Newton, Albert Einstein, Michael Faraday n.k

Wasinge wekeza muda, nguvu na maarifa yao ya kutosha, Leo hii tusingekuwa na maendeleo haya makubwa ya sayansi na teknolojia.

Wazazi wa Mo Dewji, Wasinge wekeza nguvu za kutosha kutafuta mali na utajiri leo hii Mo Dewji angekuwa mtu wa kawaida tu, Apeche Alolo kama raia wengine.

Kila mtu awekeze vya kutosha hapa duniani ili kizazi chake kifaidike na uwepo wake hapa duniani.
 

SEHEMU YOYOTE ÀMBAYO UNAWEZA KUFUKUZWA MUDA WOWOTE, USIWEKEZE ÑGUVU NYINGI HAPO. SEHEMU HIZÔ NI KAMA IFUATAVYO;​


Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kama Kichwa kinavyoeleza.
Sehemu yoyote na Mahali popote àmbapo Upo lakini unaweza kufukuzwa Muda wowote basi kiushauri sehemu hiyo usiweke Ñguvu nyingi Hapo, usiwekeze Ñguvu nyingi Hapo. usije ukaumia.

Tumia Ñguvu nyingi kadiri uwezavyo, wekeza Ñguvu nyingi kadiri ya ulivyojaliwa Mahali àmbapo hakuna wakukufukuza, yàani wewe ndiye Mmiliki wa Eneo Hilo.

Sehemu yoyote àmbayo ukigombana na wakubwa WA eneo Hilo wanauwezo wa kukufukuza, Eneo Hilo usitumie Ñguvu kûbwa na usiwe na matarajio nayo Makubwa. Ipo Siku utaumia.

Maeneo hayo ni Kama Ifuatavyo;
1. Vyama Vya Siasa.
Ikiwa unajua Kabisa wewe sio Mmiliki wa Chama hicho au Sheria haikupi mamlaka ya KUMILIKI Chama hicho kwa umilele yaani mpaka mwisho wa uhai wako. Usitie Ñguvu nyingi Sana. Usijitese kivile.

2. Madhehebu ya Dini.
Upo dhehebu Fulani, usitumie Ñguvu zako zote kujenga dhehebu àmbalo wewe sio Mmiliki Wala muanzilishi WA dhehebu Hilo.
Unaweza ukafukuzwa Muda wowote.

Kwa Sasa mambo yanaweza kuonekana Sawa lakini hiyo haimaanishi kwamba yataenda Sawa Siku zote.
Jambo ambalo Mmiliki wake NI Mwingine na sio wewe linaweza kukubadilikia Muda wowote.

Mfano, Madhehebu ya Dini yanaweza kuanzisha utaratibu mpya kinyume na misingi ya zamani na hutokuwa na lolote la kufanya. Kwa mfano Dhehebu Fulani linaweza kusema Ushoga siô Kosa na watafungisha Ndoa za mashoga. Àmbaye hataki afungashe virago aondoke.

Hutokuwa na lakufanya, kitakachokuuma zaidi ni Ñguvu nyingi ulizotumia na kuamini katika Jambo ambalo wewe sio Mmiliki.

3. Kampuni au Taasisi
Kampuni au Taasisi àmbayo wewe sio Mmiliki àmbayo Muda wowote unaweza ukafukuzwa usitumie Ñguvu nyingi kuwekeza Hapo. Fuata job descriptions ya Kazi yako, usizidishe Wala kuwa n kiherehere cha kujitoa kupita kiasi. Ili Siku ukifukuzwa au kukosewa heshima usije ukaumia na kulaumu.

4. Mtoto wa Kambo
Usije ukatumia Ñguvu nyingi kuwekeza Kwa Mtoto ambaye unajua Kabisa sio Wako Kwa kule kujidanganya kuwa ni Sawa na wako.
Huyo siô Mtoto wako na hauna mamlaka naye yoyote Kwa Sheria zozote labda Sheria za kitapeli.

Unaweza ukawekeza Kwa kiwango cha Kati ambacho hakikuumizi lakini siô kuwekeza Kwa kiwango ambacho unadhani NI kitû chako yàani Kutumia Ñguvu zako zote. Utaumia Hakika.

5. Dunia
Usitumie Ñguvu kûbwa kiasi cha kujiumiza kuwekeza Hapa Duniani Wakati unajua hata ufanyaje Ipo Siku yôte unayoyafanya na uliyonayo utayaacha na utakufa.
Fanya Kwa kiasi,

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uko wapi....
 
Pointi yako namba 5 haina ukweli.

Kila mtu angewekeza na kufanya kwa kiasi hapa duniani sidhani kama tungefanikiwa kupata maendeleo makubwa na vitu vikubwa ...

Kama uwezo upo fanya kila kitu to the fullest.

Usipowekeza duniani hakuna sehemu nyingine ya kuwekeza.

Wanasayansi kama kina Nikola Tesla, Isaac Newton, Albert Einstein, Michael Faraday n.k

Wasinge wekeza muda, nguvu na maarifa yao ya kutosha, Leo hii tusingekuwa na maendeleo haya makubwa ya sayansi na teknolojia.

Wazazi wa Mo Dewji, Wasinge wekeza nguvu za kutosha kutafuta mali na utajiri leo hii Mo Dewji angekuwa mtu wa kawaida tu, Apeche Alolo kama raia wengine.

Kila mtu awekeze vya kutosha hapa duniani ili kizazi chake kifaidike na uwepo wake hapa duniani.

Kwa uelewa wako Wakina Mo waliwekeza zaidi kuliko Watu Wengine kwèñye hii nchi?

Utajiri NI zaidi ya kuwekeza,

Unaweza ukawekeza to the fullest na matokeo yakawa madogo alafu kuna wenzako wakaweka kidôgo n matokeo yakawa Makubwa.

Maisha ni mchezo usiohitaji hasira
 
Point zote umesema vyema ila namba 5. Sasa usipo wekeza kwa nguvu zako zote Haa duniani, utawekeza wapi tena? Mbinguni ambapo hakuna hakuna tunutu na madumadu walao mali ( Kwa mujibu wa Bible).. Lakini huko mbinguni nani ana uhakika wa asilimia mia moja kuwa papo?

Maisha ni kwaajili ya kufurahi.

Kuwekeza sop tatizo ila Kutumia Ñguvu kûbwa Hadi kujitesa ndîo tatizo ninalolizungumzia
 
Back
Top Bottom