Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mi kulima sitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga pia hutaki?Mi kulima sitaki
SioKufunga pia hutaki?
Sitaki ndioKufunga pia hutaki?
Tokeni nje nendeni mikoani au kama vp vukeni bodafursaaa zipo wapi dunia hii magraduate wengi wapo kitaa
Zanzibar kama sio mvaa msuli mwezao utatengwa kama ukoma, hawataki kumuungisha khafili,.Bila kusahau Zanzibar
Mimi mtoto wa mjini lakini mbona nimelima,sasa wewe unataka kukaa ofisini uwe tra au bandariMi kulima sitaki
Mbwembwe tu hizo,sahv kila kijana anakuambia anataka awe content creatorWatu wanataka Pesa za kudownload wanunue mandinga km wakina fulani, ngoja niingie Jikoni nikakoke moto
Ajira hamna badili mwelekeo fuga hata kuku wanajitafutia riziki kama wewe,ingawa wanazingua ndani jua linapozana!Mnatoutiana msosi tuu na kuiga.Sitaki ndio
Mi nataka kazi za ofisini
Mi kazi za nguvu nguvu sitaki... Kuna mda mama alishanikataza mkuuMimi mtoto wa mjini lakini mbona nimelima,sasa wewe unataka kukaa ofisini uwe tra au bandari
Ova
Hapana kuku wanasumbua mi sitaki kuanza kusafisha mabanda ya kuku mara kushika mauchafu yaoAjira hamna badili mwelekeo fuga hata kuku wanajitafutia riziki kama wewe,ingawa wanazingua ndani jua linapozana!Mnatoutiana msosi tuu na kuiga.
Mama yako alikuonaje labda 😁Mi kazi za nguvu nguvu sitaki... Kuna mda mama alishanikataza mkuu
Mkuu mimi mama hata kazi za viwandani ataki nifanye.... Anasema kule wanatuma sana .Mama yako alikuonaje labda 😁
Mwamba anaongelea sehemu zenye fursa kwa dunia ya leo ila zote zipo sehemu moha Tanzania tena Tanzania Bara.Mimi nilijua unatushauri tuchukue passport tusepe
freshi tu, kikubwa uingize kipato bila kuleft groupMkuu mimi mama hata kazi za viwandani ataki nifanye.... Anasema kule wanatuma sana .
Aliniona kawaida tu na ameshanikataza kazi za ajabu ajabu
Siwezi ku left mkuu ila mi kazi ngumu hapana...freshi tu, kikubwa uingize kipato bila kuleft group
✔️Siwezi ku left mkuu ila mi kazi ngumu hapana...
Nataka kazi za ofisini niwe na gheto kali.
Niwe na iphone
.
Mi napenda kuwa smart
utakula maweMi kulima sitaki
Hapa kwa blaza napokaa kuna ujenzi yaani unakuta mafundi wamechafuka hovyo mkuu...
Wapo watakao lima mkuu mi kazi ngumu siwezutakula mawe