Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
FAIDA 20 ZA MASSAGE KATIKA MWILI
1 Massage inaboresha afya ya ngozi.
2.Massage hufungua mishipa ya fahamu na kuongeza uwezo wa kufikiri.
3. Massage husafisha ngozi na kuboresha mfumo wa utoaji takamwili.
4. Massage Inaondoa kovu la jeraha.
5. Massage husaidia kupona kwa wenye mivunjiko ya viungo/ mifupa.
6. Massage huondoa uchovu wa mwili na kukosa usingizi.
7. Massage huzuia kansa ya ngozi na tishu.
8. Massage huzuia Saratani ya Matiti.
9. Massage huondoa maumivu ya wakati wa hedhi.
10. Massage huboresha mmeng'enyo wa chakula na kuzuia Constipation (choo ngumu). 11. Massage hupunguza maumivu ya uchungu kwa wamama wajawazito.
12. Massage huondoa uchovu na kuvimba kwa miguu kwa wamama wajawazito.
13. Massage huimarisha mifupa kwa kuchochea ufyonzwaji wa Madini ya Kalsiam(Calcium) na Fosforas.
14. Massage huboresha mzunguko wa damu mwilini.
15. Massage husaidia kuondoa maumivu ya misuli na majeraha.
16. Massage huchochea ufanyaji kazi wa homoni mwilini.
17. Massage huzuia Stroke/ kiharusi.
18. Massage inasaidia sana kwa wazee kuimarisha misuli na kuwapa nguvu ya kutembea.
19. Massage huondoa maimivu ya chini ya mgongo.
20. Massage husaidia kuboresha mfumo wa maji mwilini (lymphatic system
 
FAIDA 20 ZA MASSAGE KATIKA MWILI
1 Massage inaboresha afya ya ngozi.
2.Massage hufungua mishipa ya fahamu na kuongeza uwezo wa kufikiri.
3. Massage husafisha ngozi na kuboresha mfumo wa utoaji takamwili.
4. Massage Inaondoa kovu la jeraha.
5. Massage husaidia kupona kwa wenye mivunjiko ya viungo/ mifupa.
6. Massage huondoa uchovu wa mwili na kukosa usingizi.
7. Massage huzuia kansa ya ngozi na tishu.
8. Massage huzuia Saratani ya Matiti.
9. Massage huondoa maumivu ya wakati wa hedhi.
10. Massage huboresha mmeng'enyo wa chakula na kuzuia Constipation (choo ngumu). 11. Massage hupunguza maumivu ya uchungu kwa wamama wajawazito.
12. Massage huondoa uchovu na kuvimba kwa miguu kwa wamama wajawazito.
13. Massage huimarisha mifupa kwa kuchochea ufyonzwaji wa Madini ya Kalsiam(Calcium) na Fosforas.
14. Massage huboresha mzunguko wa damu mwilini.
15. Massage husaidia kuondoa maumivu ya misuli na majeraha.
16. Massage huchochea ufanyaji kazi wa homoni mwilini.
17. Massage huzuia Stroke/ kiharusi.
18. Massage inasaidia sana kwa wazee kuimarisha misuli na kuwapa nguvu ya kutembea.
19. Massage huondoa maimivu ya chini ya mgongo.
20. Massage husaidia kuboresha mfumo wa maji mwilini (lymphatic system
Nikuulize swali mkuu
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
sasa sidhani kama kunae enda kwenye massage anaaga!!
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Sasa ndio umeamua kuja kuwasema uku pita kila nyumba tangaza maana utakua umepaza sauti ya uhakika hivyo kila mtu atabaki kuchagua aende ama abaki apa wataishia kusoma tu kesho wamerudi😂😂
 
Jifunze kufanya yako watu wamtafta mitaji yao wameanzisha biashara kulingana na soko linataka nn ww unaleta majungu yako na iman zako za kidini za kijinga
Kwanza sio lazima uende izo sehemu sasa ww unaeleta ujuaji wako ulienda kufanya nn au unafuatilia vtu visivyo kuhusu umekosa kaz

Ww nenda kwa mwamposa akakupe masaji ya mafuta na maji wenzako acha wakapewe masaji ya nyama
 
Dunia imeisha
Dunia haiishi leo hii. Ndiyo kwanza tunajiandaa kwenda kula chakula cha jioni. Hata kulala bado
Kama ni project ya kupata mtoto mtoto basi hata kademu ka kukapa mimba bado kapo form 2.
So, relax the worse is yet yo come, not in sight and not insight.
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Kama kuna mume anamruhusu mkewe kwenda sehemu za massage, anashindwa kumfanyia mwenyewe, hilo litakuwa Papai, lenyewe linaliwa.

Na mimi niwache kumganyia mwenyewe massage mume wangu nimwache aende akashikweshikwe na vinuka mavi? Khaaa, hathubutu na haitatokea hata siku moja.

Mume wangu hata kwa kinyozi haendi, namnyowa mwenyewe. Khaa, tena hakuna kabisa kitu kama hicho.

Mimi ndiyo kabisa, hata saluni siendi, ntamwacha muwe wangu aende huko? nani akachezewe kichwa na uchafu ule wa masaluni? Kinyaa.

Hivi faida gani ya kuoana ikiwa mumeo au mkeo anakwenda kukabwa nje? Khaaa!
 
Jifunze kufanya yako watu wamtafta mitaji yao wameanzisha biashara kulingana na soko linataka nn ww unaleta majungu yako na iman zako za kidini za kijinga
Kwanza sio lazima uende izo sehemu sasa ww unaeleta ujuaji wako ulienda kufanya nn au unafuatilia vtu visivyo kuhusu umekosa kaz

Ww nenda kwa mwamposa akakupe masaji ya mafuta na maji wenzako acha wakapewe masaji ya nyama
🤣🤣🤣Bora umenena mkuu
 
Back
Top Bottom