LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Massage ya msukuma nilijuta.Kwanini umruhusu mkeo/ mumeo aende kufanyia massage wakati wewe mwenyewe unaweza kum- massage? Haingii akilini kbsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Massage ya msukuma nilijuta.Kwanini umruhusu mkeo/ mumeo aende kufanyia massage wakati wewe mwenyewe unaweza kum- massage? Haingii akilini kbsa
Malaya ni kimoko tuu[emoji23] mnapena formulae wakuu
Nikuulize swali
Mwanaume/mwanaume anaye jitambua hawezi kuingia kwenye chumba ambacho kazi yake kunyoa mavuzi na ndevu na kukokegeshwa mtu huyo akili zake zinakuwa jime jaa upumbavu na ushamba na ulimbukeniKama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.
Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.
Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
haha...haah... yupo sema yuko bize na baba mchungaji🤣🤣🤣 hauna mke hapo
Serekali iboreshe mazingira ili iaanze kukusanya Kodi yake kutoka Madanguroni!!Sasa serikali imeingiaje hapo
NillHivi kuna mwanamume anayemwambia au kumuaga mke wake kuwa huwa anaenda kufanyiwa massage?
Nenda Martha wellness ukale mitaro ya Aisha,malaika nkKuna wengine ndio umetupa taarifa muhimu ngoja niende nikajionee.
Mkuu umeenda mbali sana. Sio kwenye massage parlour tu bali hata kwenye saluni za kawaida unawakuta akina dada poa wapo wanafanya kazi za kunyoa wanaume mavuzi. Wewe fikiria mwanaume rijali unyolewe vuzi na kahaba amevaa kanga moja usimgegede! Hali ni mbaya sana tuombe Mungu atusaidie kuishinda hii mitihani.Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.
Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.
Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Iko wap mkuuKuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi
Tegeta dawascoIko wap mkuu
Bei ganKwa taarifa Yako mi pale Martha wellness sinza nishakula wapatao watano na watatu kati yao niliwapelekea moto mtaroni huku mmoja kati ya hao niliowapelekea mtaroni akinihamasisha mwenyewe niingize mtaroni.Shenzi sana
Mzazi jina au mzazi😂Shule zinafunguliwa lini wakuu?