Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Ndio umeshtuka leo?sisi tunaoenda tunajua kabisa tunachokifuata huko, fanya mambo yako
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Mwanaume/mwanaume anaye jitambua hawezi kuingia kwenye chumba ambacho kazi yake kunyoa mavuzi na ndevu na kukokegeshwa mtu huyo akili zake zinakuwa jime jaa upumbavu na ushamba na ulimbukeni
 
Kwa taarifa Yako mi pale Martha wellness sinza nishakula wapatao watano na watatu kati yao niliwapelekea moto mtaroni huku mmoja kati ya hao niliowapelekea mtaroni akinihamasisha mwenyewe niingize mtaroni.Shenzi sana
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Mkuu umeenda mbali sana. Sio kwenye massage parlour tu bali hata kwenye saluni za kawaida unawakuta akina dada poa wapo wanafanya kazi za kunyoa wanaume mavuzi. Wewe fikiria mwanaume rijali unyolewe vuzi na kahaba amevaa kanga moja usimgegede! Hali ni mbaya sana tuombe Mungu atusaidie kuishinda hii mitihani.
 
Ndio maana nawaambia muoe mnakimbia kimbia,Hayo Bibie anakufanyia home na kamoja juuu
 
Kwa taarifa Yako mi pale Martha wellness sinza nishakula wapatao watano na watatu kati yao niliwapelekea moto mtaroni huku mmoja kati ya hao niliowapelekea mtaroni akinihamasisha mwenyewe niingize mtaroni.Shenzi sana
Bei gan
 
Back
Top Bottom