Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #321
Sababu ya Kuitwa kipaji maalumu ni nini? Si waitwe tu watu wanaofaulu sana?Mnavyo ongelea gunduzi na Innovation mnazani zinakuja na kutokea kama Uyoga, research centers ya IBM ya maswala ya Quantum Computing, kujengwa gharama yake ni USD 5bil ,kama hamvijui hivi vitu bora mnyamaze.Hao madogo wenyewe final year project bajeti wanazopewa ni ndogo ,sometimes wanatumia mpaka hela yao ya bumu,tena unakuta kiproject hakizidi hata Tsh 1m.Youtube kuna story za gunduzi kibao na maswala ya Innovation fuatilieni ndipo mtaona ugumu wake
Jamaa unawapa boko sanaNa mnaojua fizikia ndio kama wewe hapa ambao haujawahi hata kutengeneza hata piki piki ya makoa.😂
Na hiyo fizikia kwanza mliisoma kuijibia mitihani tu hili mfaulu vizuri, halafu mwisho wa siku mje mle mashavu kwenye serikali ya ccm.
Uwezo pekee ulioelezwa hapo ni kukariri, mtu akiwekeza kwenye aspect hii ni ngumu kugundua kitu chochote.Alikuwa na uwezo mkubwa sana. Je is there any innovation with him?
Kwani kuwa na kipaji peke yake inatosha? Unakipaji cha kugundua dawa,ila theory zimejaa kichwani ,huna hata test tube hizo dawa unagundua vipi na kipaji chako?Sababu ya Kuitwa kipaji maalumu ni nini? Si waitwe tu watu wanaofaulu sana?
Thank you for your insightKwani kuwa na kipaji peke yake inatosha? Unakipaji cha kugundua dawa,ila theory zimejaa kichwani ,huna hata test tube hizo dawa unagundua vipi na kipaji chako?
Tesla,Newton, Einstein walikuwa wanatalent ila kulicho wafanya leo tuwakumbuke ni combination ya talent zao na practical walizokuwa wanazifanya kwenye mabara zao zenye vifaa vya kutosha.
Unatalenti ya kucheza mpira halafu mpira,hauna kiwanja unazani hiyo talent inakuwa vipi. Talent yoyote ili iweze kuleta faida kwa taifa lazima ijengewe mazingira mazuri, ndio maana Ulaya wana bajeti ya kutosha kuanzia kwenye maabara research centers, library na bajeti ya kutosha.
Sasa wewe nchi yako inavituo vingapi vya research? Huko mashuleni maabara zina vifaa vya kutosha? Library zina vitabu vya kutosha?
Maprof wa SUA wanaandika proposals za miradi na kuomba ufadhili wa wazungu, mpunga ukiingia tu, wanajenga lodges hapo Morogoro hakuna la maana wanafanya.Tatizo la nchi yetu ni siasa kuingilia utaalamu,,kwa style hiyo kila kitu lazima kitaharibika.
Nchi kama German imepiga hatua kimaendeleo,kwa kuweka kipaumbele katika sayansi kwa kiwango cha juu, maana mwanasayansi huwa amenyooka mda wote hana blablaa,nyeupe ni nyeupe tu,uwezi sema ni nyeusi.
Mkuu kwani huo mpunga unatolewa tu kama Maharage haufatiliwi kazi gani umefanya?Maprof wa SUA wanaandika proposals za miradi na kuomba ufadhili wa wazungu, mpunga ukiingia tu, wanajenga lodges hapo Morogoro hakuna la maana wanafanya.
Kwenye mradi inaweza kwenda 40% the rest ni forgery, zinaelekea mifukoni.Mkuu kwani huo mpunga unatolewa tu kama Maharage haufatiliwi kazi gani umefanya?
Hahahah......afrika kuna shida sana.Kwenye mradi inaweza kwenda 40% the rest ni forgery, zinaelekea mifukoni.
Hata uulize swali kwa njia 5 kuna watu wanakunywa/wanakopi kama ilivyo mpaka nukta.Huwezi kukalili Physics,Hesabu na Chemistry. Huwezi kwani swali moja linaweza kuulizwa kwa style zaidi ya tatu. Hayo masomo huwezi kukalili.
Hiyo Chai na ili uweze kukalili lazima ujue sentence inamanisha nini, kama ndio hivyo basi hata kujifunza hizi lugha ingekuwa rahisi.
Hii ni chai unatupanga.
Huwezi kukalili Physics, Math na Chemistry kwa kifupi hayo masomo matatu huwezi kukalili. Kukesha haina maana kwamba unakalili bali sayansi inavitu vungi na ili uwe fiti vyote unabidi usome na uelewe so unahitaji mda mwingi wa kusoma ndio maana watu wanakesha.Hata uulize swali kwa njia 5 kuna watu wanakunywa/wanakopi kama ilivyo mpaka nukta.
Hivi hujawahi kukutana na wale watu wanakesha kukariri hadi macho yanavimba?
Kama tunaona hawa watu wa shule maalumu hawana impact tulioitarajia basi tuangalie tatizo liko wapi, the tuliondoe ili tunufaike na talanta za hawa vipanga. Tatizo linaweza kuwa sera mbovu ya elimu, uwwkezaji duni kwenye tafiti na ubunifu, siasa kupewa nguvu kubwa zaidi ya taaluma n.k kwaiyo turekebishe mfumo wetu.Hata uulize swali kwa njia 5 kuna watu wanakunywa/wanakopi kama ilivyo mpaka nukta.
Hivi hujawahi kukutana na wale watu wanakesha kukariri hadi macho yanavimba?
Inaendelea Kibong'oto Hospital.Niliwahi kusikia waligundua Namba ya Panya kugundua Magonjwa ya TB kwenye Sample za Makohozi. Hadi leo sijajua imefikia wapi ile project