Sekretarieti ya Ajira, kwanini mruhusu TRA kutangaza ajira zao? Naiona ile TRA ya makabila ikirudi kwa kasi

Hapo watajazana watu wale wa chini ya kichuguu kilichochangamka kama ilivyo desturi yao.
Ni kihoro cha hovyo, siku hizi makabila yote yamesoma ingawa ukabila ni tofauti na mtu kuwa na kabila lake. Kuna makabila yana ukabila mengine hayana.
 
We ni dogo wa 2000s, hizi taasisi ambazo ni autonomous na semi-autonomous zimekuwa zikiajiri na hakuna hayo mnayoyawaza.
Wewe ambaye ni mkubwa, tuambie kwanini Serikali iliamua ku Centralize ajira zote zipitie Utumishi!?
 
Kwanini unafikiri ukabila tu, udini vipi. Kwani kamishna mkuu kabila gani. TRA yote ni kabila moja? Mambo mengine ni hisia tu.
Nadhani huelewi sababu za kwanini serikali iliamua ku centralize ajira PSRS.

Wewe unaye jiona mkubwa unafahamu nini kilitokea kipindi hizi Taasia zina ajiri zenyewe!?

Kama wewe ni wa juzi, fuatilia ukabila uluvyokuwa katika taasis hizi.

TPA
BIMA
TRA
BOT
......
 
Sio kweli.

UBINAFSI wa kutaka kubebana ndio kilichofanya TRA wajitoe PSRS.
 
Una hoja Mkuu.. Ila kama nakumbuka Mhe. Namba 1 aliwapa Kibali kwa madai kuwa walilalamika kucheleweshwa kwa mchakato wa kuwapata watumishi wapya
Suala sio uharaka walio nao hao wenyewe utashangaa inachukua mapaka miezi 4 watu hawajaitwa
 
Kwanza mfumo wao wa ajira TRA haupo sawa bado una mapungufu maana hata ukiangalia kuna baadhi ya kozi hazipo kwenye mfumo wao.
 
Kwanza mfumo wao wa ajira TRA haupo sawa bado una mapungufu maana hata ukiangalia kuna baadhi ya kozi hazipo kwenye mfumo wao.
Vijana wako strannded, mfumo unawasumbua sana, uko slow na sometime attachment zinagoma
 
Zamani nadra sana kumuona mwarabu au msomali katika utumishi lakini siku hizi wapo wengi
 
Una hoja Mkuu.. Ila kama nakumbuka Mhe. Namba 1 aliwapa Kibali kwa madai kuwa walilalamika kucheleweshwa kwa mchakato wa kuwapata watumishi wapya
Ila hii nahisi inaweza kuwa sababu..Mfano kuna kazi zilitangazwa na eGA tokea August 2024 ila hadi leo hawajaita interview ni miezi 6 sasa mchakato wa Ajira haujaisha. na kuna nyingi ambazo zinasubiri..kwa hili la TRA wangesimamia PSRS interview wangeita mwakan 2026 maana wako busy na Ajira za walimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…