darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Ilikua wapi wakati wanaupigia kura ya ndio . Ama walilewa mlungula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA wapewe maua yaoKwa hiyo itakuwaje sasa
Huko twitter kuna video za kesi ya Migodi na wazungu dah hao maprofesa tunaosema nguli wanatia aibu kwakweli [emoji706]Duh,hawa wasomi wetu ni hatari sana
Hii deal ilisukwa vizuri sana ikaja kubutuka last minutes hahahahaa yaani tungestuka tumeuzwaHawa mafala walitaka kutupiga Tu... ndiyo maana kilasiku tunasema hawa CCM ni window ila mnabisha
acha tu ndugu yanguIna maana watu wasingepiga kelele ingepita hiyo
Nawatag wale wapuu.mbavuuHebu mfanye kunisaidia kuwa-TAG wale wapiga zumari wa CCM popote walipo. UPINZANI wameibuka kidedea again, ushindi wa bureee.
sema BUNGE linaweza kuukana huu waraka, tusiwaamini sana
.CHADEMA wapewe maua yao
wameshaaanza kuuliza authenticity ya nyaraka sio validity ya contentAuthenticity ya hii Nyaraka ?
Sio kwamba nasema ni Fake ila kuna uwezekano hata kama ni real kesho wakairuka kwamba sio yao
FaizaFoxy uje hapa uoneHebu mfanye kunisaidia kuwa-TAG wale wapiga zumari wa CCM popote walipo. UPINZANI wameibuka kidedea again, ushindi wa bureee.