WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
NdiyoIna maana watu wasingepiga kelele ingepita hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoIna maana watu wasingepiga kelele ingepita hiyo
Kwa aina ya mkataba hata form 4 anaweza kugundua wapi Kuna makosaHuko twitter kuna video za kesi ya Migodi na wazungu dah hao maprofesa tunaosema nguli wanatia aibu kwakweli [emoji706]
hahahah mie mwenyewe nashangaaDaah sa itakuaje jamaa zang... Lord denning, Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS
nilishapita umri wa BAVICHA 12years agoNgoja tuone 😃 maana nyie bavicha siyo wa kuwaamini fasta fasta!
na wanaendelea kuelezea uzuri wa "Makubaliano"Halafu wahusika wote bado wapo ofisini.
hii ndo bongo bwana.
ninazo, nimeogopa kuzipandisha hapa, ni aibu, jamaa alivyobanwa akasema alikua mgonjwa hahahahahaHuko twitter kuna video za kesi ya Migodi na wazungu dah hao maprofesa tunaosema nguli wanatia aibu kwakweli [emoji706]
Mbona hilo karatasi ;lako halina tarehe? halina saini?Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa..
Zaidi takataka.Takataka tu
hahahah mie mwenyewe nashangaa
CCM nachoka mimi hivi unajua ndo wameshatoboa hapa!!Kwa hiyo itakuwaje sasa
Nimekumiss sana RafikiZaidi takataka.
Huu ni ujinga wa hali ya juu wa Watanzania.
unamsema Silaa?Sasa nhuyu alikuwa ana "ANATOROMA" Kwakihaya ukiambiwa NOTOROMA Nyamaza usiendelee yani nikama maji machafu yanamwagika ndo yule mbunge wa mageza ya Dar alikuwa anatoroma.
wacha wajeWajuvi naomba kujua "secretariet ya bunge ni akina nani?"