Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Kwa taarifa yako Gas Mtwara ulikuwa ujinga wa Europe na USA, na si unaona baada ya kupiga kelele mkataba haukufanyika ona Ntwara ilivyorudi nyuma. Tuliwaambia, na sasa hili la bandari mmeanza tena ujinga wenu. CCM inapendwa acha kabis.
Kwanini mtwambia na msiweke mambo wazi tuone wenyewe ?

Unaweza kuweka hapa hizo copy za mikataba kuanzia ya Gesi mpaka ya Bagamoyo ?, Au tuendelee tu kuamini sababu mnatwambia Yaliyomo Yamo ?
 
Kwanini mtwambia na msiweke mambo wazi tuone wenyewe ?

Unaweza kuweka hapa hizo copy za mikataba kuanzia ya Gesi mpaka ya Bagamoyo ?, Au tuendelee tu kuamini sababu mnatwambia Yaliyomo Yamo ?
Huyo anayejiita chawa wa Mama ni mpumbavu mmoja tu
 
hahaha huu sasa uchokozi, Faiza alishatoa darsa kuwa huu sio mkataba ni makubaliano tu
Na jerry Silaa alishasema Bungeni kwamba ni makubaliano then akaongea na waandishi wa habari kwamba ni mkataba.
Lakini hakuna makubaliano yanayoridhiwa na bunge, au siyo?
 
Too late!! spana zipo pale pale msijisumbue kuleta spinning hapa! majizi wakubwa!
 
Na jerry Silaa alishasema Bungeni kwamba ni makubaliano then akaongea na waandishi wa habari kwamba ni mkataba.
Lakini hakuna makubaliano yanayoridhiwa na bunge, au siyo?
Ukiishi Tanzania ukafa Kwa stress utakua umejiua mwenyewe
 
Kama hiki usemacho ni kweli tupu.basi Viongozi wote akiwemo Pm,Sipika ,ministers, and et Al walliodefend Mkataba ule waondoke ofisi za umma, waende wakachunge ng'ombe, kwani wao Nchi ni yao peke yao ??
 
UCHAMBUZI WA VIPENGELE VYA MAKUBALIANO BAINA YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA SERIKALI YA DUBAI (INTERGOVERNMENTAL AGREEMENT – IGA) KWA AJILI YA USHIRIKIANO WA KUBORESHA, KUENDESHA NA KUENDELEZA MAENEO YA BANDARI NCHINI – JUNI 2023.

Soma hii Document
 

Attachments

UFAFANUZI WA HOJA ZILIZOJITOKEZA KUHUSU MAKUBALIANO BAINA YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA SERIKALI YA DUBAI KWA AJILI YA KUBORESHA, KUENDESHA NA KUENDELEZA MAENEO YA BANDARI

Hizi hoja zote zinajibiwa hapa.
 

Attachments

Hizi hoja za wadau TLS,LHRC, prof shivv na wananchi ndizo shida kwenye (hivyo IGA ina shida)
 

Attachments

  • Capture+_2023-07-25-15-13-53.png
    12.5 KB · Views: 1
Hizi hoja za wadau TLS,LHRC, prof shivv na wananchi ndizo shida kwenye (hivyo IGA ina shida)
Shida ya mkataba una justify kwa kuonyesha poor terms zilizopo sio porojo za hao watu. Hoja zao zote serikali imeshazijibu.
 

Shida ya mkataba una justify kwa kuonyesha poor terms zilizopo sio porojo za hao watu. Hoja zao zote serikali imeshazijibu.
Kwa kusema hivyo mpaka leo ww hujaona poor terms kwenye huo mkataba wa IGA,na ktk muongozo Kipengele 4.6.1 (b) athari za masharti ya mkataba husika kwenye katiba ya nchi (e) athari za kisera na sheria za nchi tulizojiwekea na kupitishwa na bunge ikiwa vyesi kuendeshwa nchini, bado tu ww kwa muda unaochukua kuelewa jambo hujaona poor terms ...
 
Kwahiyo Sekretarieti ya Bunge haiwi na wabunge?

Elimu tafadhali na Shukrani kwa ufafanuzi huu murua
 
Hakuna mwekezaji kupitia international law trade laws, business efficacy or just common sense atataka mgogoro wa uwekezaji utumie mahakama za nchi husika.

Hilo halipo duniani, hayo mambo watu wameshajifunza toka miaka 1950-60’s walipo nyan’ganywa uwekezaji kwenye mafuta na sera za nationalism.

Kwa hivyo kurudia rudia sheria hiyo sheria ya 2017 ni kupaka pili-pili kwenye kidonda tu; lakini kwa mtu yeyote timamu anajua hilo swala la mahakama za ndani kutatua migogoro halipo popote duniani kwenye uwekezaji wa kimataifa. There is always a neutral venue to settle disputes that’s standard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…