Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Sheria sio katiba

Uwezi tunga sheria iliyo tofauti na katiba

Unapotunga sheria tofauti inayokindhana na nyingine iliyopo; inabidi ufanyie moja amendments.

That’s a no brainer ndio maana serikali imepeleka muswada wa kubadili hiyo sheria. Hiko kipengele sio rafiki kwa uwekezaji kama lengo ni kuvutia F

Sasa mbona unaninukuu na kurudia nilichoandika? Sisi tunakubaliana.

Hiyo habari ya arbitration kufanyika nje tuiache, hiyo si point.

Kwa sababu, ukiwa na mkataba mzuri, hata arbitration ukifanya nje, kama umeonewa, utashinda tu.

Nimetoa mfano wa kesi moja ya Tanzania Harbours Authority (kabla haijawa Tanzania Ports Authority), walishinda arbitration London.

So, sehemu itakayofanyika arbitration siyo issue, issue ni hivyo vipengele vingine.

The devil is in the detail, na hapo ndipo tuna matatizo kwa sababu hatuna mazungumzo yenye nuance.

Kwa mfano, kuna sehemu nimesikia wanasheria wanasema sheria zitakazotumika ni za Uingereza, na zinaondoa incumbency ya sheria za Tanzania kwenye umiliki ardhi, wakati Tanzania tunajua rais ndiye muhifadhi wa mwisho wa ardhi.Hili lina maana gani? Hili lina maana kuwa mkataba unaondoa nguvu za rais kuwa mtu wa mwisho mwenye amri katika mambo ya ardhi, na akitumia nguvu zake hizi za kikatiba Tanzania, anaweza ku trigger arbitration na Tanzania ikatakiwa kulipa mamia ya mamilioni ya US dollar.

So, unaweza kufanya mkataba mzuri, ambao utakuwa na arbitration London, lakini ukawa na vipengele vya kuheshimu sheria za Tanzania.
Hoja ni kuwa kuna mapungufu kwenyen IGA,
 
Hoja ni kuwa kuna mapungufu kwenyen IGA,
Yapo mengi, tuyaongelee.

Lakini kukataa IGA kwa sababu arbitration inafanyika nje si mapungufu, that is a standard clause kwenye mikataba hii mikubwa.

Kwa hivyo, tuongee mambo mengine, hili la arbitration kufanyika nje si mapungufu, ni distraction tu.
 
Kama TLS, chombo cha wataalamu wa sheria nchini wameonyesha mapungufu makubwa kwenye mkataba, ni nani huyo mwenye pool ya wataalamu kama TLS anaweza kuniconvince otherwise?.
 
Yapo mengi, tuyaongelee.

Lakini kukataa IGA kwa sababu arbitration inafanyika nje si mapungufu, that is a standard clause kwenye mikataba hii mikubwa.

Kwa hivyo, tuongee mambo mengine, hili la arbitration kufanyika nje si mapungufu, ni distraction tu.
The issue ambayo TLS na Profesa Shivji wamepoint out katika hii arbitration ya nje tena kwa sheria za nje ni kuwa:

IGA yenyewe inazungumza mambo mengi ambayo DP world inapaswa ipewe ambavyo viko governed na sheria za Tanzania kama vile Land rights, Vibali, Haki za wafanyakazi, Mambo ya mazingira and so forth. Kitendo cha kutafuta ar arbitration nje kwa sheria za Uingereza kutapelekea mgongano wa wazi kati ya sheria za Uingereza na Tanzania katika vitu hivyo. Ndiyo maana wanasheria wanasema huu mkataba kwa kiasi kikubwa unataka kumega sovereignity yetu.
Ili mkataba huu uweze kwenda smooth, itabidi tubadili sheria zetu zote zinazogusa ufanyaji kazi wa DP world nchini ziwe za uingereza la sivyo itakuwa ni confusion tupu.
 
The issue ambayo TLS na Profesa Shivji wamepoint out katika hii arbitration ya nje tena kwa sheria za nje ni kuwa:

IGA yenyewe inazungumza mambo mengi ambayo DP world inapaswa ipewe ambavyo viko governed na sheria za Tanzania kama vile Land rights, Vibali, Haki za wafanyakazi, Mambo ya mazingira and so forth. Kitendo cha kutafuta ar arbitration nje kwa sheria za Uingereza kutapelekea mgongano wa wazi kati ya sheria za Uingereza na Tanzania katika vitu hivyo. Ndiyo maana wanasheria wanasema huu mkataba kwa kiasi kikubwa unataka kumega sovereignity yetu.
Ili mkataba huu uweze kwenda smooth, itabidi tubadili sheria zetu zote zinazogusa ufanyaji kazi wa DP world nchini ziwe za uingereza la sivyo itakuwa ni confusion tupu.
Nimelitaja hilo hapo juu. That is a nuanced argument. This is what we need to focus on. Hizo nuance, si arbitration itafanyika wapi. Na hizo nuance wala hazipo katika arbitration clause. Zina clauses zake.

Kimsingi issue si arbitration kufanyika nje, that is a standard clause.

Issue ni, arbitration inafanyikaje nje? Hapo ndipo conflicts, kwa nfano, za land rights katika sheria ya Uingereza na Tanzania (article 21) zinatakiwa ziangaliwe na zielezewe vizuri kwenye mkataba.

Mfano, issue ya land rights imekuwa covered kwenye article 8 Land Rights, hii wala si issue ya arbitration clause. Ukiiandika hii article 8 vizuri kwamba usuluhushi ukifanyika popote, land rights zitafuata sheria za Tanzania, huna haja ya kuogopa arbitration ya nje kwa sababu ya sheria za land rights za Uingereza, kwa sababu arbitration hata ikifanyika Uingereza, kwenye migogoro ya land, arbitration itaangalia kwenye mkataba mlikubaliana nini? Kama mlikubaliana kuwa kwenye land rights sheria za Tanzania zitumike, arbitration haiwezi kwenda kinyume na mlivyokubaliana kwenye mkataba.

Sehemu nyingine wameandika jambo la kuangalia kwa umakini ni article 21 Governing Law IGA inakuwa governed na English Law, HGAs zinakuwa governed na Tanzanian Laws, hapa kuna potential ya conflict.

Tatizo article 21 iko so brief, vague and prone to argumentative interpretation.

IGA ina govern HGA, na IGA inakuwa governed na English law, lakini HGA inayokuwa governed na IGA (inayokuwa governed na English Law), iko governed na Tanzanian Law.

Unaona tatizo hapo?

Sasa, ukirekebisha hizo articles nyingine, articke 8 kama yenyewe tu arbitration kufanyika nje haina tatizo.

So, tuongelee huku kwingine kwenye matatizo, suala la arbitration kufanyika nje ni standard kabisa katika mikataba hii.
 
Na mimi ndiyo nasema hivi, kupinga mkataba kwa sababu una clause ya arbitration kufanyika nje ni kutoelewa mikataba hii ya kimataifa, kwa sababu that is a standard clause kwenye mikataba mikubwa hii.

Na pia, arbitration kufanyika nje haimaanishi kwamba hicho ni kitu kibaya na tutashindwa arbitration, kwa sababu tushafanya arbitration nje tukashinda.

Kitu muhimu ni kuwa na mkataba mzuri, hizi habari za arbitration itafanyika wapi ni distraction.

Na katika hilo la mkataba kuwa mzuri, tuna point nyingine nyingi tu za kuu criticize mkataba, hatuihitaji hii point ya kukataa arbitration kufanyika nje.

Kama tunaweza kuzungumzia nuance, kwa mfano kuondolewa incumbency ya Tanzanian land laws na last custodian role ya rais kwenye land Tanzania, hapo labda tunaweza kuwa na point.
Kabisa kuhusu arbitration that’s a standard clause; hao wanaopinga ni for sake of kupinga tu.

Hata hizo points nyingine bila ya kuingiza ushabiki wa upande wowote hatujafikia huko bado.

Kwa sasa atuwezi kujua terms za mkataba na performance obligations watakazo kubaliana huko mbele kama zitakuwa nzuri au mbaya na hayo ndio mambo yanayoleta migogoro kwenye mikataba.

At this stage kwa wanaopinga IGA tu doesn’t make sense; yes kuna articles ndani yake ni implied terms za mikataba ya baadae but not significant commercial terms zinazoweza leta migogoro.

IGA is just a treaty only difference it focuses on a single investment ambayo aiwezi kuwa na time limit kabla ya kuingia hiyo mikataba ya baadae that’s common sense kwa sababu hayo ni mambo ya kwenye concession agreements ambazo bado.
 
Yap invalid kivile; Hii ngoma ya masela kitaani ila ndio bunge lilitakiwa lije na kitu kama hiki kupitia kamati zake kabla ya kusaini, kuna waliosaidia bunge kufanya kazi. Aibu ingine hii, yaani bunge limeshindwa kufanya hiv mpaka masela mtaani wametoa mfano.
Tunatatizo kubwa sana kama nchi kusonga mbele itakuwa ngumu sana
 
Kabisa kuhusu arbitration that’s a standard clause; hao wanaopinga ni for sake of kupinga tu.

Hata hizo points nyingine bila ya kuingiza ushabiki wa upande wowote hatujafikia huko bado.

Kwa sasa atuwezi kujua terms za mkataba na performance obligations watakazo kubaliana huko mbele kama zitakuwa nzuri au mbaya na hayo ndio mambo yanayoleta migogoro kwenye mikataba.

At this stage kwa wanaopinga IGA tu doesn’t make sense; yes kuna articles ndani yake ni implied terms za mikataba ya baadae but not significant commercial terms zinazoweza leta migogoro.

IGA is just a treaty only difference it focuses on a single investment ambayo aiwezi kuwa na time limit kabla ya kuingia hiyo mikataba ya baadae that’s common sense kwa sababu hayo ni mambo ya kwenye concession agreements ambazo bado.
Kusema kuwa hizo points nyingine bila kuingiza ushabiki wa upande wowote hatujafikia huko bado, nako kunakuwa kama ushabiki w akushabikia IGA.

Nakuwekea hapa uchambuzi wa TLS, ambao wameufanya kisheria zaidi bila kujiingiza kwenye siasa za ushabiki.

Ili kuhalalisha kauli yako, unatakiwa ujibu points za TLS dhidi ya IGA, moja baada ya nyingine.
 

Attachments

Nimelitaja hilo hapo juu. That is a nuanced argument. This is what we need to focus on. Hizo nuance, si arbitration itafanyika wapi. Na hizo nuance wala hazipo katika arbitration clause. Zina clauses zake.

Kimsingi issue si arbitration kufanyika nje, that is a standard clause.

Issue ni, arbitration inafanyikaje nje? Hapo ndipo conflicts, kwa nfano, za land rights katika sheria ya Uingereza na Tanzania (article 21) zinatakiwa ziangaliwe na zielezewe vizuri kwenye mkataba.

Mfano, issue ya land rights imekuwa covered kwenye article 8 Land Rights, hii wala si issue ya arbitration clause. Ukiiandika hii article 8 vizuri kwamba usuluhushi ukifanyika popote, land rights zitafuata sheria za Tanzania, huna haja ya kuogopa arbitration ya nje kwa sababu ya sheria za land rights za Uingereza, kwa sababu arbitration hata ikifanyika Uingereza, kwenye migogoro ya land, arbitration itaangalia kwenye mkataba mlikubaliana nini? Kama mlikubaliana kuwa kwenye land rights sheria za Tanzania zitumike, arbitration haiwezi kwenda kinyume na mlivyokubaliana kwenye mkataba.

Sehemu nyingine wameandika jambo la kuangalia kwa umakini ni article 21 Governing Law IGA inakuqa governed na Engkish Law, HGAs zinakuwa governed na Tanzanian Laws, hapa kuna potential ya conflict.

Tatizo article 21 iko so brief, vague and prone to argumentative interpretation.

IGA ina govern HGA, na IGA inakuwa governed na English law, lakini HGA inayokuwa governed na IGA (inayokuwa governed na English Law), iko governed na Tanzanian Law.

Unaona tatizo hapo?

Sasa, ukirekebisha hizo articles nyingine, articke 8 kama yenyewe tu arbitration kufanyika nje haina tatizo.

So, tuongelee huku kwingine kwenye matatizo, suala la arbitration kufanyika nje ni standard kabisa katika mikataba hii.
Ulivyoelezea kuhusu sheria ya land itakavyotumika kwenye arbitration ndio vivo-hivyo na sheria zingine zote. Sasa ikitokea breach based na hizo sheria zetu.

Sheria za U.K. ni kwenye definitions tu. Mfano mwekezaji kaweka swala la ulinzi wa bandari ni la serikali. Siku imetokea maandamano kuna vandalism jamaa wanataka serikali ndio igharamie kutengeneza hizo infrastructures zilizoharibiwa.

Wakigoma (serikali) hiyo ni breach ya IGA maana ulinzi wa mradi wa ni jukumu lao, kuna fidia za kulipa hapo ipi sasa repudiation, assessment to remedies, quantification of damages and so forth. U.K. law in case laws nyingi zinazotoa hizo definitions. Nadhani hiko ndio wanachomaamisha U.K. law kutumika kwenye arbitration.
 
Sema bunge limeonaa hapa kimeshaumanaaaa 😀 😀 😀 😀 😀 mama anataka kuachwa hewani lakini nasikitika kuona bunge hakijasema endapo serikali haitatoa ufafanuzi juu ya hivyo vifungu vya ovyooo litafanyajee maana ni sawa na kujitekenyaa na kucheka mwenyewee
 
Ulivyoelezea kuhusu sheria ya land itakavyotumika kwenye arbitration ndio vivo-hivyo na sheria zingine zote. Sasa ikitokea breach based na hizo sheria zetu.

Sheria za U.K. ni kwenye definitions tu. Mfano mwekezaji kaweka swala la ulinzi wa bandari ni la serikali. Siku imetokea maandamano kuna vandalism jamaa wanataka serikali ndio igharamie kutengeneza hizo infrastructures zilizoharibiwa.

Wakigoma (serikali) hiyo ni breach ya IGA maana ulinzi wa mradi wa ni jukumu lao, kuna fidia za kulipa hapo ipi sasa repudiation, assessment to remedies, quantification of damages and so forth. U.K. law in case laws nyingi zinazotoa hizo definitions. Nadhani hiko ndio wanachomaamisha U.K. law kutumika kwenye arbitration.
Major. Quimby halalisha kauli yako na kujibu point za TLS
 
Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....

1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya.

2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo.

3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki".

4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka.

5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote.

6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano.

7. Hakuna muda wa mkataba.

8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari.

9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini

Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
NAWAPONGEZA CCM WALAU KWA HATUA HII. NI HEKIMA MKUBWA UKIVULIWA NGUO, CHUTAMA NDIO UUNGWANA. NAMSHANGAA MNO MZEE WASSIRA. LIZEE HOVYOO! HANA HEKIMA. JE, HAWAONI WAZEE WENZIE AKINA WARIOBA, PROF. ANNA, SHIVJI. UNAJUA KUNA MAMBO UNATAKIWA KUWAACHIA AKINA KITENGE, ZEMBWELA. NA WEWE MZEE? HOVYOO!
WEWE MZEE WASSIRA WAKATI NI UKUTA STAAFU, JE, HUWAONI WENZIO? UMEJIAIBISHA MNO JUU YA SUALA LA BANDARI. SIJUI HATA HIZO NGUVU ZA KUZUNGUKA NCHI NZIMA NA VIJANA UNAZITOA WAPI. SHAME TO YOU!
 
Sema bunge limeonaa hapa kimeshaumanaaaa 😀 😀 😀 😀 😀 mama anataka kuachwa hewani lakini nasikitika kuona bunge hakijasema endapo serikali haitatoa ufafanuzi juu ya hivyo vifungu vya ovyooo litafanyajee maana ni sawa na kujitekenyaa na kucheka mwenyewee
Bunge lilipitisha mkataba bila kuusoma?
 
Highlight one argument of theirs ambayo unataka niijibu; wameongelea mambo mengi I can’t reply to every point of concern raised.
Anzia kwenye arbitration walivyosema imekaa vibaya na ulivyowaponda hawana point kujustifiy poor terms kwenye mkataba
 
Anzia kwenye arbitration walivyosema imekaa vibaya na ulivyowaponda hawana point kujustifiy poor terms kwenye mkataba
Hii sasa inakuwa kama mijadala ya serikali au club houses. Mtu anajibu swali baada ya dakika mbili mwingine anauliza swali lilelile

Havent different contributors not even long ago stated ‘arbitration‘ is a standard clause kwenye FDI let alone treaties
 
Back
Top Bottom