Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Kwani Mama anasemaje? Tutaondokanaje na huu mkataba wakati tumeishasaini na bunge limeishauridhia?
Tukiuvunja itabidi tuwalipe $$$$ wakati hazina yetu imekauka.

Ok. Nimepata mwanga: tutawapa ngorongoro na longido yote.

Wale wamasai waliokaidi kuhamia msomera, sasa hivi watahama kwa lazima na viboko juu.
Hakuna kuwapakia kwenye mabasi wala nini. Watapiga lapa na mifugo yao hadi msomera.
 
Wew ni mjinga hujitambui watu wanaunganisha nguvu juu ya vyama wew unaota ota Tu kama uji mdomoni
Kangala unaweza jiona upo very aggressive but your utterly dambazz!! Hoja yang ipo very open lkn unakwenda kurauka in order uonekana genius!!
 
tutawapa kisiwa cha Nungwi
 
Hahaa ile ya twitter ni aibu kwakweli dah
 
Teh! teh! teh!
 

Attachments

  • 894-8942700_jpg-royalty-free-download-laugh-clipart-boy-boy.jpg
    42 KB · Views: 2
Najaribu kufikiria namna ya kuvunja makubaliano (mkataba) ambao tayari umesha sainiwa na pande zote mbili.
Je, itakuwa ni kirahisi rahisi tu?​
 
S Simbilisi no.1 Jerry Slaa na kidigree chake cha mchongo.
Amesoma lakini haelewi.

Na inaeleke Tulia ,akili imeanza kumrudia kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…