Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Hauna lolote, wewe unajibaraguza tu.

Umeshelewa jamvini karamu imeshaliwa.


Mkumbo hajatangaza mikataba ya uendeshaji bandari leo?


Maana ni mikataba, siyo mkataba.
Faiza ulisema mkataba hauna shida,ni mzuri,una la kusema?Wakati mwingine muwe na aibu jamani. TLS na hata LRHC wameukataa,who are you to say it is okay,au na wewe wamekukatia kama Kitenge?Shame on you.

 
Tanzania kuna muhimili mmoja tu ambao ni RAIS. mengine kutuchoshaaa tu
 
endelea kujizima data
Kwa huo utumbo uiouleta ambao hauna tarehe wala saini?

Unatupotezea muda, tunafikiri cha maana, kumbe uharo.


Hapo hata data siwashi. Wadanganye wajinga wenzako.
 
Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....

1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini

Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Mungu ibariki JF
 
Tanzania hakuna viongozi period kwasababu wewe ni mmbunge unakubaliana na kila taka taka ilimradi familia yako inapata faida tokea nijue kupiga kura sijawahi kwenda kumpigia mpuuzi yeyote ma sintakaa
 
Back
Top Bottom