Sekta binafsi kufaidika na cheap skilled labour force kwa sababu ya ukosefu wa ajira nchini

Sekta binafsi kufaidika na cheap skilled labour force kwa sababu ya ukosefu wa ajira nchini

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa ajira hasa kwa wasomi "skilled labour force" sekta binafsi ni wazee wa fursa wameanza kutumia hizo fursa ipasavyo ili wa accumulate wealth.

Kwasababu uzalishaji wao wasomi uko juu ukilinganisha na ukuaji wa ajira, nationa economic growth vs national population growth. The later is greater than the former.

Jama angu ametangaza kazi ya wa hasibu 7 wa msaidie kwenye kazi za auditing, kazi zake za msimu kapata maombi ya wahasibu zaidi ya 90 ndani ya wiki moja wenye kiwango cha CPA na kwasabu ni wengi hawapi ajira moja kwa moja badala yake ni kuwapa weekly allowance ya 90k per wiki kwa miezi 3 tu, ingekua miaka kama 10 nyuma sio chini ya 10m zingeenda kuwalipa hao kwa kazi kama hiyo.

Kweli mtu upoteze zaidi ya miaka 7 na ada juu unasoma CPA uje ulipwe 90k kwa wiki, wanao jua hizo kazi mnajua jinsi zilivyo kua tiresome, elimu yetu imekua irrelevant kabisa kwasasa.

Kuna rafiki katanganza kufungua shule ya sekondari mkoani ila maombi yaa waalimu ni mengi kupita maombi ya wanafunzi, na anasema mshahara wake kwa waalimu hautazidi 300k kwa mwezi kwa atakae kubali, serikali imezidiwa na wimbi la watafuta ajira, lakini bado inaendelea kutoa mikopo kwa kozi zile zile.

Kweli hatuna strategic planners wa nchi hi. Kuna kozi zifutwe kabisa elimu yetu haitowi fursa ya mwanafunzi kujiajiri haina creativity ni knowledge based education system "rote system" we produce what we don't consume, imagine mtu anasoma BA sociology bsc batony, zoology bsc physics nk. hizo degree hazina maana. Yoyote katika soko la ajira
 
Kutokana na u jobless nilishawahi kwenda kiwandani kujaribu bahati, nilirudi mgonjwa na kesho yake sikurudi kazini ,si Kwa Kazi Ile nzito vile na malipo 4500 Kwa siku , bado hujala hapo. Nyie acheni tu.
 
wajanja wahindi na waarabu wanaandaa ajira za watoto wao mapema kwa urithi wa family business tu

kwa sisi weusi tumekomaa na kusomesha tu, na Tunapoelekea itakuwa hadi house girl wataajiriwa wenye masters ama CPA


WhatsApp Image 2024-02-08 at 12.40.41.jpeg
 
Kutokana na u jobless nilishawahi kwenda kiwandani kujaribu bahati, nilirudi mgonjwa na kesho yake sikurudi kazini ,si Kwa Kazi Ile nzito vile na malipo 4500 Kwa siku , bado hujala hapo. Nyie acheni tu.
Mkuu pole sana ila ni kawaida kuna vijana wengi kwenye hivyo viwanda wanalipwa 2500 kutwa na hamna chakula au nauli ila kila siku wanjazana pale kwasababu hamna mbadala wake, kilimo bila mtaji ni kujizika pia
 
Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa ajira hasa kwa wasomi "skilled labour force" sekta binafsi ni wazee wa fursa wameanza kutumia hizo fursa ipasavyo ili wa accumulate wealth.

Kwasababu uzalishaji wao wasomi uko juu ukilinganisha na ukuaji wa ajira, nationa economic growth vs national population growth. The later is greater than the former.

Jama angu ametangaza kazi ya wa hasibu 7 wa msaidie kwenye kazi za auditing, kazi zake za msimu kapata maombi ya wahasibu zaidi ya 90 ndani ya wiki moja wenye kiwango cha CPA na kwasabu ni wengi hawapi ajira moja kwa moja badala yake ni kuwapa weekly allowance ya 90k per wiki kwa miezi 3 tu, ingekua miaka kama 10 nyuma sio chini ya 10m zingeenda kuwalipa hao kwa kazi kama hiyo.

Kweli mtu upoteze zaidi ya miaka 7 na ada juu unasoma CPA uje ulipwe 90k kwa wiki, wanao jua hizo kazi mnajua jinsi zilivyo kua tiresome, elimu yetu imekua irrelevant kabisa kwasasa.

Kuna rafiki katanganza kufungua shule ya sekondari mkoani ila maombi yaa waalimu ni mengi kupita maombi ya wanafunzi, na anasema mshahara wake kwa waalimu hautazidi 300k kwa mwezi kwa atakae kubali, serikali imezidiwa na wimbi la watafuta ajira, lakini bado inaendelea kutoa mikopo kwa kozi zile zile.

Kweli hatuna strategic planners wa nchi hi. Kuna kozi zifutwe kabisa elimu yetu haitowi fursa ya mwanafunzi kujiajiri haina creativity ni knowledge based education system "rote system" we produce what we don't consume, imagine mtu anasoma BA sociology bsc batony, zoology bsc physics nk. hizo degree hazina maana. Yoyote katika soko la ajira
..ni Law of Supply and Demand
 
Serikali imeshindwa kusimamia sheria za HAKI za wafanyakazi.
Hospital unakuta MD analipwa Laki mbili Mpaka tatu
Mashuleni waalimu wanalipwa mpaka Laki na nusu kama Housegirl
Kama MD analipa 200k kweli hiyo ni disaster mbaya mtu kasoma miaka 6 kwa kujinyima af amaliza apewe peanuts, ni ishara tosha kwamba elimu haina maana kabisa, unakuta vijana wengi wamekata tamaa eti wanataka kujitolea bila malipo kumbe wanafikiri kwa kujitolea ndo watapewa ajira badaye wanamaliza wameangukia pua.
 
Kama MD analipa 200k kweli hiyo ni disaster mbaya mtu kasoma miaka 6 kwa kujinyima af amaliza apewe peanuts, ni ishara tosha kwamba elimu haina maana kabisa, unakuta vijana wengi wamekata tamaa eti wanataka kujitolea bila malipo kumbe wanafikiri kwa kujitolea ndo watapewa ajira badaye wanamaliza wameangukia pua.
prices are determined by the relationship between supply and demand, serikali inaheshimu the Law of Supply and Demand
 
Kama MD analipa 200k kweli hiyo ni disaster mbaya mtu kasoma miaka 6 kwa kujinyima af amaliza apewe peanuts, ni ishara tosha kwamba elimu haina maana kabisa, unakuta vijana wengi wamekata tamaa eti wanataka kujitolea bila malipo kumbe wanafikiri kwa kujitolea ndo watapewa ajira badaye wanamaliza wameangukia pua.

Vijana wanaojitolea kuna sehemu hawajafikiri vizuri
 
Back
Top Bottom