Sekta binafsi kufaidika na cheap skilled labour force kwa sababu ya ukosefu wa ajira nchini

Sekta binafsi kufaidika na cheap skilled labour force kwa sababu ya ukosefu wa ajira nchini

prices are determined by the relationship between supply and demand, serikali inaheshimu hiyo Law of Supply and Demand
Sio kweli serikali imeshindwa kupanga majukumu yake kwasababu ni primary duty ya serikali kutoa free en quality education kwa kila raia na pia kumwekea mazingira ya kupata ajira, law of demand en supply is not applicable kwa kila situation mkuu, kama ndo hivo dawa za maleria zingekua gari kuliko za RVA, kwasababu demand ya ant virus ya maleria iko juu sanaa.
 
Kutokana na u jobless nilishawahi kwenda kiwandani kujaribu bahati, nilirudi mgonjwa na kesho yake sikurudi kazini ,si Kwa Kazi Ile nzito vile na malipo 4500 Kwa siku , bado hujala hapo. Nyie acheni tu.
pole mkuu
 
Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa ajira hasa kwa wasomi "skilled labour force" sekta binafsi ni wazee wa fursa wameanza kutumia hizo fursa ipasavyo ili wa accumulate wealth.

Kwasababu uzalishaji wao wasomi uko juu ukilinganisha na ukuaji wa ajira, nationa economic growth vs national population growth. The later is greater than the former.

Jama angu ametangaza kazi ya wa hasibu 7 wa msaidie kwenye kazi za auditing, kazi zake za msimu kapata maombi ya wahasibu zaidi ya 90 ndani ya wiki moja wenye kiwango cha CPA na kwasabu ni wengi hawapi ajira moja kwa moja badala yake ni kuwapa weekly allowance ya 90k per wiki kwa miezi 3 tu, ingekua miaka kama 10 nyuma sio chini ya 10m zingeenda kuwalipa hao kwa kazi kama hiyo.

Kweli mtu upoteze zaidi ya miaka 7 na ada juu unasoma CPA uje ulipwe 90k kwa wiki, wanao jua hizo kazi mnajua jinsi zilivyo kua tiresome, elimu yetu imekua irrelevant kabisa kwasasa.

Kuna rafiki katanganza kufungua shule ya sekondari mkoani ila maombi yaa waalimu ni mengi kupita maombi ya wanafunzi, na anasema mshahara wake kwa waalimu hautazidi 300k kwa mwezi kwa atakae kubali, serikali imezidiwa na wimbi la watafuta ajira, lakini bado inaendelea kutoa mikopo kwa kozi zile zile.

Kweli hatuna strategic planners wa nchi hi. Kuna kozi zifutwe kabisa elimu yetu haitowi fursa ya mwanafunzi kujiajiri haina creativity ni knowledge based education system "rote system" we produce what we don't consume, imagine mtu anasoma BA sociology bsc batony, zoology bsc physics nk. hizo degree hazina maana. Yoyote katika soko la ajira
Kitu wasichokijua wasomi jobless wengi walioko Tanzania baadhi ya viongozi waliopo serikalini wanafurahi kwelikweli wakiona msomi anateseka
 
Kitu wasichokijua wasomi jobless wengi walioko Tanzania baadhi ya viongozi waliopo serikalini wanafurahi kwelikweli wakiona msomi anateseka
Kwanini wa furahi wakati wanajua kwamba hilo la kukosa ajira ni hateri sanaa kwa uchumi wa nchi yetu.
 
"Nchi ina mapori ya kutosha, vijana msisubiri ajira, mkalime"- Alisikika mkurugenzi mwenye kitambi kama kaficha friji.
Vamia pori moja ndo utaelewa ubepari ni nini? Hayo mengi akiba ya vigogo wa serikali wana hati miliki kabisa.
 
kama ni rahisi Anzisha wewe hospital yako kisha uwalipe hata hizo laki 3
Mkuu huo sio mfano sahihi, ulaya (UK) kitu ambacho kina high demand af ni very cheap ni usafiri wa train gari ndege na basi, pili ni matibabu hospitali ni almost free ni kwasbabu ni essential commodities serekali ina regulate, je jiulize uko law of demand yako na supply haifanyi kazi?
 
Mkuu huo sio mfano sahihi, ulaya (UK) kitu ambacho kina high demand af ni very cheap ni usafiri wa train gari ndege na basi, pili ni matibabu hospitali ni almost free ni kwasbabu ni essential commodities serekali ina regulate, je jiulize uko law of demand yako na supply haifanyi kazi?

Fanya mambo kwa ushahidi

Weka nauli za treni za ulaya kisha tulinganishe na hapa Tanzania

Weka nauli za ndege za ulaya tulinganishe na hapa Tanzania.

Hapo tutapata ukweli.. screenshot zitaonesha
 
Sio kweli serikali imeshindwa kupanga majukumu yake kwasababu ni primary duty ya serikali kutoa free en quality education kwa kila raia na pia kumwekea mazingira ya kupata ajira, law of demand en supply is not applicable kwa kila situation mkuu, kama ndo hivo dawa za maleria zingekua gari kuliko za RVA, kwasababu demand ya ant virus ya maleria iko juu sanaa.
Hiyo law ina apply kwa soko la ajira za private, regulation za minimum pay kwa private institutions zipo, ila watu wako desperate kukubali any salary terms
 
Fanya mambo kwa ushahidi

Weka nauli za treni za ulaya kisha tulinganishe na hapa Tanzania

Weka nauli za ndege za ulaya tulinganishe na hapa Tanzania.

Hapo tutapata ukweli.. screenshot zitaonesha
Mkuu pia huwezi kuelewa kwa kutoa prices quote bila kuzingatia GDP ya nchi husika, kwa mfano moja kawaida Lisa kwa kibarua unskilled unalipwa £5@ kwa siku massa 8 ni £40 ambazo ni sawa sawa na roughly 170,000Tz shilling hiyo pesa anaweza kupanda train kuenda n kurudi kula na kutibia kibarua wa Tanzania anapata 10,000 kwa siku hawezi kutoa nauli lunch na kutibiwa, hapo huwezi kuona wapi mambo yako chini kulingana na standarnd of living, sijui kam utanielewa hapo.
 
Sawa zipo ila zinahitaji mtaji fulani au connection fulani, naomba utatajie aina mbili ya hizo kazi ambazo haxihitaji hata shilling moja, ondoa ya kilimo kwasbb ni gharama kuanzisha kilimo kwa namna yoyote.

1. Kufungua Kikundi cha Waigizaji hapo mtaani. Chukua simu, download app za Camera zenye HD inayoonyesha picha quality, andaa vipindi, fungua akaunti tiktok, YouTube, Facebook. Anza Kazi.

2. Fungua Kikundi cha vipaji na entrainment hapo mtaani. Kuimba, kuchora, kupigana au Mpira. Fanya yako

3. Fungua OFISI ya usimamizi wa Wasanii au Wana masumbwi. Weka Sheria, simamia. Nenda kwenye Bar, Club, Fukwe, matukio ya harusi, siasa n.k. piga hela.

4. Fungua OFISI ya Usafi. Fanya Usafi, UDOBI, kwenye nyumba za watu

5. Fungua Kikundi cha Wedding Maids ambao watacheza au kuhusika na mambo ya harusi, birthday, sherehe au shughuli za mazishi. Piga pesa.

6. Fungua OFISI ya Mapambo kwenye harusi, SHEREHE au birthday
Tafuta vijana wakukusaidia. Jipromoti.
Kuna sehemu wanakodisha Mapambo hivyo huna haja ya kuwaza mtaji.
Mtaji utaupata ukipata Advance kwenye SHEREHE.
Shughuli zote ziwe digitalised

7. Fungua OFISI ya kutia Sauti simulizi zilizoandikwa, kwenye vitabu. Ongea na Waandishi kama kina Taikon Wana Kazi, zitie Sauti.
Unahitaji uwe na simu, Maiki, na Mitandao ya kijamii kama YouTube.
Piga Kazi.
Shughuli hizi mtaji wake ni juhudi, ubunifu, na ustahimilivu wako.

8. Jifunze Kuogelea, nenda Coco Beach, tafuta kijana akufundishe.
Kisha jifue, ukipata pesa nenda, kule Mikocheni au pale Udsm wanafudisha sio gharama nyingi. Haizidi Laki Tatu.
Ukishajua, fungua akaunti mtandaoni, Instagram, tiktok, Facebook na YouTube.
Anza kupiga Kazi.
Jiite The Swimmer, au Swimming Trainer, au MkataMaji.
Nunua vifaa vya Kuogelea, na nguo Rasmi za kukutambulisha.

Huduma yako ilenge watu wa daraja la juu na Kati. Malipo yawe kwa mfumo wa Dollar.

9. Jifunze kulenga Shabaha, Fanya kwa miezi sita mfululizo. Hakikisha umemaster na ufanye kwa mitindo mingi na uwe na Shabaha kwa kiwango cha ajabu.
Nenda Mikocheni, kuna maeneo ya kujifunzia kulenga Shabaha.
Kwa sasa unaweza Anza na kupiga manati, upinde, mkuki, kisha bastola na bunduki
Haitazidi miezi sita utakuwa ushafuzu.

Kisha ingia mtandaoni jitangaze, nenda kwenye majeshi watakupa Nafasi ya kufundisha.
Watu binafsi ndani na nje ya nchi watakutafuta. Piga hela.

10. Jifunze Lugha za Alama. Jitangaze na andaa program za kibunifu piga hela.

Mambo yote haya hayaji kwa siku Moja. Inahitaji Nia, subira, Muda, Nidhamu, na commitment.
 
Back
Top Bottom