baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Mfumo mpya una adress hili, vyuo vikuu vingi havina issue, vina zalisha tu watu wasio na Ajira, wapelekwe technical schools design za VETA, wakajifunze skills zinazohitajika mtaani.Lakini ni jukumu la serekali kufanya regulations kupitia tasisi zake kam TCU necta na nacte ili kutoa elimu ambao ni relevant
Ahsante mkuu, ila hivyo vyote vinahitaji mtaji usio pungua 1m na kuendelea hizo, pesa kwa watanza nia sasa hivi ni ngumu kupatikan.1. Kufungua Kikundi cha Waigizaji hapo mtaani. Chukua simu, download app za Camera zenye HD inayoonyesha picha quality, andaa vipindi, fungua akaunti tiktok, YouTube, Facebook. Anza Kazi.
2. Fungua Kikundi cha vipaji na entrainment hapo mtaani. Kuimba, kuchora, kupigana au Mpira. Fanya yako
3. Fungua OFISI ya usimamizi wa Wasanii au Wana masumbwi. Weka Sheria, simamia. Nenda kwenye Bar, Club, Fukwe, matukio ya harusi, siasa n.k. piga hela.
4. Fungua OFISI ya Usafi. Fanya Usafi, UDOBI, kwenye nyumba za watu
5. Fungua Kikundi cha Wedding Maids ambao watacheza au kuhusika na mambo ya harusi, birthday, sherehe au shughuli za mazishi. Piga pesa.
6. Fungua OFISI ya Mapambo kwenye harusi, SHEREHE au birthday
Tafuta vijana wakukusaidia. Jipromoti.
Kuna sehemu wanakodisha Mapambo hivyo huna haja ya kuwaza mtaji.
Mtaji utaupata ukipata Advance kwenye SHEREHE.
Shughuli zote ziwe digitalised
7. Fungua OFISI ya kutia Sauti simulizi zilizoandikwa, kwenye vitabu. Ongea na Waandishi kama kina Taikon Wana Kazi, zitie Sauti.
Unahitaji uwe na simu, Maiki, na Mitandao ya kijamii kama YouTube.
Piga Kazi.
Shughuli hizi mtaji wake ni juhudi, ubunifu, na ustahimilivu wako.
8. Jifunze Kuogelea, nenda Coco Beach, tafuta kijana akufundishe.
Kisha jifue, ukipata pesa nenda, kule Mikocheni au pale Udsm wanafudisha sio gharama nyingi. Haizidi Laki Tatu.
Ukishajua, fungua akaunti mtandaoni, Instagram, tiktok, Facebook na YouTube.
Anza kupiga Kazi.
Jiite The Swimmer, au Swimming Trainer, au MkataMaji.
Nunua vifaa vya Kuogelea, na nguo Rasmi za kukutambulisha.
Huduma yako ilenge watu wa daraja la juu na Kati. Malipo yawe kwa mfumo wa Dollar.
9. Jifunze kulenga Shabaha, Fanya kwa miezi sita mfululizo. Hakikisha umemaster na ufanye kwa mitindo mingi na uwe na Shabaha kwa kiwango cha ajabu.
Nenda Mikocheni, kuna maeneo ya kujifunzia kulenga Shabaha.
Kwa sasa unaweza Anza na kupiga manati, upinde, mkuki, kisha bastola na bunduki
Haitazidi miezi sita utakuwa ushafuzu.
Kisha ingia mtandaoni jitangaze, nenda kwenye majeshi watakupa Nafasi ya kufundisha.
Watu binafsi ndani na nje ya nchi watakutafuta. Piga hela.
10. Jifunze Lugha za Alama. Jitangaze na andaa program za kibunifu piga hela.
Mambo yote haya hayaji kwa siku Moja. Inahitaji Nia, subira, Muda, Nidhamu, na commitment.
Mkuu huo sio mfano sahihi, ulaya (UK) kitu ambacho kina high demand af ni very cheap ni usafiri wa train gari ndege na basi, pili ni matibabu hospitali ni almost free ni kwasbabu ni essential commodities serekali ina regulate, je jiulize uko law of demand yako na supply haifanyi kazi?
Ila kazi za wenye ujuzi wa veta ajira zinapatikana au ni yale yale tu.Mfumo mpya una adress hili, vyuo vikuu vingi havina issue, vina zalisha tu watu wasio na Ajira, wapelekwe technical schools design za VETA, wakajifunze skills zinazohitajika mtaani.
Ahsante mkuu, ila hivyo vyote vinahitaji mtaji usio pungua 1m na kuendelea hizo, pesa kwa watanza nia sasa hivi ni ngumu kupatikan.
Sasa kama ni skilled na cheap mbona hatupati uwekezaji kutoka nje kama china iliyopata miaka hiyo?Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa ajira hasa kwa wasomi "skilled labour force" sekta binafsi ni wazee wa fursa wameanza kutumia hizo fursa ipasavyo ili wa accumulate wealth.
Kwasababu uzalishaji wao wasomi uko juu ukilinganisha na ukuaji wa ajira, nationa economic growth vs national population growth. The later is greater than the former.
Jama angu ametangaza kazi ya wa hasibu 7 wa msaidie kwenye kazi za auditing, kazi zake za msimu kapata maombi ya wahasibu zaidi ya 90 ndani ya wiki moja wenye kiwango cha CPA na kwasabu ni wengi hawapi ajira moja kwa moja badala yake ni kuwapa weekly allowance ya 90k per wiki kwa miezi 3 tu, ingekua miaka kama 10 nyuma sio chini ya 10m zingeenda kuwalipa hao kwa kazi kama hiyo.
Kweli mtu upoteze zaidi ya miaka 7 na ada juu unasoma CPA uje ulipwe 90k kwa wiki, wanao jua hizo kazi mnajua jinsi zilivyo kua tiresome, elimu yetu imekua irrelevant kabisa kwasasa.
Kuna rafiki katanganza kufungua shule ya sekondari mkoani ila maombi yaa waalimu ni mengi kupita maombi ya wanafunzi, na anasema mshahara wake kwa waalimu hautazidi 300k kwa mwezi kwa atakae kubali, serikali imezidiwa na wimbi la watafuta ajira, lakini bado inaendelea kutoa mikopo kwa kozi zile zile.
Kweli hatuna strategic planners wa nchi hi. Kuna kozi zifutwe kabisa elimu yetu haitowi fursa ya mwanafunzi kujiajiri haina creativity ni knowledge based education system "rote system" we produce what we don't consume, imagine mtu anasoma BA sociology bsc batony, zoology bsc physics nk. hizo degree hazina maana. Yoyote katika soko la ajira
Labda kama huna bima au Green card serikali ina subsidise health en education, unakuta kwa mtu wakaida ina kua gharama nafuu hata wanakopesha kama huna cash, serilali inakulipia tuWewe ni muongo. Hakuna nchi ambayo matibabu ni gharama kuliko marekani
Seven reasons why Americans pay more for health care than any other nation
Americans pay more for health care but don't get better results. Why? The blame goes well beyond insurance companies.www.usatoday.com
Mkuu pia huwezi kuelewa kwa kutoa prices quote bila kuzingatia GDP ya nchi husika, kwa mfano moja kawaida Lisa kwa kibarua unskilled unalipwa £5@ kwa siku massa 8 ni £40 ambazo ni sawa sawa na roughly 170,000Tz shilling hiyo pesa anaweza kupanda train kuenda n kurudi kula na kutibia kibarua wa Tanzania anapata 10,000 kwa siku hawezi kutoa nauli lunch na kutibiwa, hapo huwezi kuona wapi mambo yako chini kulingana na standarnd of living, sijui kam utanielewa hapo.
Tatizo elimu yetu ni skilled katika vitu ambavyo havina soko, elimu yetu haitupi creativity yeyoteSasa kama ni skilled na cheap mbona hatupati uwekezaji kutoka nje kama china iliyopata miaka hiyo?
Labda kama huna bima au Green card serikali ina subsidise health en education, unakuta kwa mtu wakaida ina kua gharama nafuu hata wanakopesha kama huna cash, serilali inakulipia
Mkuu sasa naomba ujue kama marekani wana struggle Tanzania wanakufa kabisa na maiti kudaiwa zina zuiliwa mpaka zilipiwe matibabu japo zimekufa
Nimelia sana😮💨ina maana kwani Huyu wa tourism kwanini wazazi wasmpe mtaji kachukue Ata dinga moja la usafirishaji tourist mkuu,Kulipa ada sio issue ila unalipia hiyo ada kwa kusoma kozi gani? Mtoto anasoma HKL Advance unalipia ada yake 3m anaenda chuo anasoma B.A tourism, huo ni ignorance na utumiaji vibaya pesa yako utakuja kujutia bure.
Mkuu hilo na kubali ila Tanzania hata pesa ya kutibu maleria watu wanashindwa, sio pressure heart disease typhoid tu ni ngumu kulipia matibabu, ukianza kujilinganisha na Ulaya utakua ujitendee haki.wewe ni muongo, mamilioni ya wamarekani wanashindwa kwenda hata kumuona daktari sababu hawamudu gharama, screen shot ya ushahidi hii hapa chini
View attachment 3243876
View attachment 3243874
Labda kama huna bima au Green card serikali ina subsidise health en education, unakuta kwa mtu wakaida ina kua gharama nafuu hata wanakopesha kama huna cash, serilali inakulipia tu
Mkuu sasa naomba ujue kama marekani wana struggle Tanzania wanakufa kabisa na maiti kudaiwa zina zuiliwa mpaka zilipiwe matibabu japo zimekufa
Mkuu hilo na kubali ila Tanzania hata pesa ya kutibu maleria watu wanashindwa, sio pressure heart disease typhoid tu ni ngumu kulipia matibabu, ukianza kujilinganisha na Ulaya utakua ujitendee haki.
Bei ya hilo dinga itatoka wapi,kwanza vijana wa tanzania wanachelewa sanaa kujitambua kwamba kazi ni muhimu anakuja kujitambua tayari kasha mpa mtu mimba.Nimelia sana[emoji50][emoji100]ina maana kwani Huyu wa tourism kwanini wazazi wasmpe mtaji kachukue Ata dinga moja la usafirishaji tourist mkuu,
Hiyo pesa mi namlipa fundi ujenzi na kibarua wake kwa siku kwa tofali za kuuziana…, daah..Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa ajira hasa kwa wasomi "skilled labour force" sekta binafsi ni wazee wa fursa wameanza kutumia hizo fursa ipasavyo ili wa accumulate wealth.
Kwasababu uzalishaji wao wasomi uko juu ukilinganisha na ukuaji wa ajira, nationa economic growth vs national population growth. The later is greater than the former.
Jama angu ametangaza kazi ya wa hasibu 7 wa msaidie kwenye kazi za auditing, kazi zake za msimu kapata maombi ya wahasibu zaidi ya 90 ndani ya wiki moja wenye kiwango cha CPA na kwasabu ni wengi hawapi ajira moja kwa moja badala yake ni kuwapa weekly allowance ya 90k per wiki kwa miezi 3 tu, ingekua miaka kama 10 nyuma sio chini ya 10m zingeenda kuwalipa hao kwa kazi kama hiyo.
Kweli mtu upoteze zaidi ya miaka 7 na ada juu unasoma CPA uje ulipwe 90k kwa wiki, wanao jua hizo kazi mnajua jinsi zilivyo kua tiresome, elimu yetu imekua irrelevant kabisa kwasasa.
Kuna rafiki katanganza kufungua shule ya sekondari mkoani ila maombi yaa waalimu ni mengi kupita maombi ya wanafunzi, na anasema mshahara wake kwa waalimu hautazidi 300k kwa mwezi kwa atakae kubali, serikali imezidiwa na wimbi la watafuta ajira, lakini bado inaendelea kutoa mikopo kwa kozi zile zile.
Kweli hatuna strategic planners wa nchi hi. Kuna kozi zifutwe kabisa elimu yetu haitowi fursa ya mwanafunzi kujiajiri haina creativity ni knowledge based education system "rote system" we produce what we don't consume, imagine mtu anasoma BA sociology bsc batony, zoology bsc physics nk. hizo degree hazina maana. Yoyote katika soko la ajira
Mkuu zingatia matibabu gani? Maleria au cancer sisi hata wound dressing inafanyika nyumbani hosipitali gharama kubwa ukilinganisha na kipato chetu.hata marekani wanakufa kwa kutomudu gharama za matibabu,,, vyombo va habari vinaripoti, nakuwekea ushahid wa screen shot
View attachment 3243877
Sasa hapo s ndo anakomaa kiakiliBei ya hilo dinga itatoka wapi,kwanza vijana wa tanzania wanachelewa sanaa kujitambua kwamba kazi ni muhimu anakuja kujitambua tayari kasha mpa mtu mimba.