Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ujuzi wa BA. Archaeology tunautumiaje kwenye kilimo, ndug. Tlaatlaah
afisa ogani aliepo kijijini kwenu anasubiri watu wa aina yako, walimu na hata madaktari gentleman,

ili akufanyie orientation na akupe maelekezo kidogo sana na kwa muda mfupi mno ili hatimae uanze kutusua matunda ya ajira kupitia sekta ya kilimo, usichelewe tafadhali.

hakuna probation kwenye ajira za uhakika kwenye sekta ya kilimo 🐒
 
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Nawacheka sana watu sababu ya kudharau kila kitu cha awamu ya kwanza na kujiona tuna akili nyingi zaidi. Awamu ya kwanza walitaifisha ardhi ili wawawezeshe walio wengi kuweza kutengeneza maisha yao kwa shughuli za kilimo.

Tumejisahau tukafikiria kwamba wote lazima tuende maofisini kuajiriwa. Na hili limetuletea balaa sababu kadri fursa zinavyozidi kupungua, sisi ndio tunazidi kuwa machawa tusijojitambua.

Kabla ya ukoloni kwa mfano, chama cha ushirika Kilimanjaro kilikuwa imara sana. Kikafa sababu ya kuingiza siasa kwenye taaluma za watu. Ila sasa huku tunakokwenda, hakuna namna lazima kilimo kiwe ajira na biashara.

Kazi ziko wapi? Kucheza kamali na kushinda vijiweni?
 
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Una matope kichwan sio Bure.
 
Una matope kichwan sio Bure.
Relax gentleman,
unyonge wa kipato unachochea mihemko na makasiriko sana, pole.

Suluhu ya hayo yote ni kuchangamkia fursa na nafasi za ajira za uhakika shambani gentleman,

usijicheleweshe mjini tafadhali 🐒
 
Tuache kwanza wizara ya kilimo yenyewe haina future
kivip gentleman,
hali ya kua kwa kipindi kifupi tu,
sekta ya kilimo imeimarika sana hata kuongeza kiwango cha pato la Taifa na kuzalisha ajira nyingi zaidi ya sekta nyingine nchini?🐒
 
Mtaji ndio changamoto kidogo kwa vijana. Maana pesa za halmashauri siyo wote wanazipata.. Lakini pia unaweza kuwa na kiu ya kulima na ukashindwa pa kuanzia . Maana inahitaji pesa kwa ajili ya kukodi shamba,kulima,mbegu,pesa kwa ajili ya kununua na kupiga dawa magugu pamoja na mbolea gA kupandia na kukuzia. Tunamshukuru hata hivyo Mheshimiwa Rais kwa kuweka Ruzuku katika mbolea .

Kinachotusumbua sisi vijana kwenye kilimo huku ni mtaji kwa ajili ya kutoa hudumu bora kwenye mazao yetu ili kuweza kupata kipato cha kueleweka.. Tunapenda sana kulima lakini Mtaji ndio inakuwa changamoto
 
Mtaji ndio changamoto kidogo kwa vijana. Maana pesa za halmashauri siyo wote wanazipata.. Lakini pia unaweza kuwa na kiu ya kulima na ukashindwa pa kuanzia . Maana inahitaji pesa kwa ajili ya kukodi shamba,kulima,mbegu,pesa kwa ajili ya kununua na kupiga dawa magugu pamoja na mbolea gA kupandia na kukuzia. Tunamshukuru hata hivyo Mheshimiwa Rais kwa kuweka Ruzuku katika mbolea .

Kinachotusumbua sisi vijana kwenye kilimo huku ni mtaji kwa ajili ya kutoa hudumu bora kwenye mazao yetu ili kuweza kupata kipato cha kueleweka.. Tunapenda sana kulima lakini Mtaji ndio inakuwa changamoto
kumbe ukiacha uchawa una busara sana Lucas Mwashambwa
 
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unaweza ku-share uzoefu wako kidogo kwenye kilimo, yaani umelima nini , kiasi gani, wapi, soko lake, ukapata kiasi gani
 

Attachments

  • IMG_20250127_101142_8.jpg
    IMG_20250127_101142_8.jpg
    429.8 KB · Views: 1
Ni ajira nzuri kwa kweli ila mentality ya kusoma ilikuwa ni kuajiriwa tu. Sasa kama mzazi mwenyewe haoni na hafikirii kuwa kuna fursa kubwa katika kilimo, huyo mtoto wake anayemsomesha ataonaje?
 
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ukilima unauza wapi?????
Dar ina watu karibia 3 million,wanalima wapi?
 
Back
Top Bottom