Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Nonsense! Things aren't easy as you think
endelea kutapeliwa pesa na vibaka wa siasa, ukajidanganya na kunadhani watakusaidia,

my friend,
you will end up maskini,
ajira ziko shambani 🐒
 
Waambie machawa wenzio mimi nikiuza Ankole 5 tu Comoro nakulisha wewe na machawa wenzio na usinipotezee muda wewe unayeshinda nyuma ya keyboard ukitunga uongo..
Yes,
hiyo ni nzuri sana gentleman,

sasa mihemko na makasiriko vinatoka wapi?🤣

maana mie najua mihemko na makasiriko ni kwa watu wenye unyonge kiuchmi, hawaelewi mbele wala nyuma itakuaje,

Na for your information,
nimesafirisha na kuuza mbuzi wengi sana Comoro,
maharamia wakanirudisha nyuma 🐒
 
endelea kutapeliwa pesa na vibaka wa siasa, ukajidanganya na kunadhani watakusaidia,

my friend,
you will end up maskini,
ajira ziko shambani 🐒
Unajaribu Ku brain wash watu wasiofahamu vizuri Kilimo we mpuuzi. Unafikiri Kilimo hatukifahamu jinsi kilivyo?

Ndio maana nikakueleza namna unavyozungumzia Kwa wepesi tambua Kilimo hakiko rahisi kiasi hicho, Kilimo ni Pesa na kama hauna Pesa Kaa mbali kabisa na Jambo linaloitwa Kilimo unless unataka kufanya Kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho kwenye ekari moja unataka upate magunia matatu tena kwa mbinde maana hauna Pesa ya palizi , pembejeo wala viuatilifu.

Anayelima siku hizi Siyo maskini au mtu asiyekuwa na Ajira, Bali ni mtu mwenye uwezo wa kuweka pesa shambani na hata ikipotea yupo tiyari kurejea tena.
 
Gentleman,
kwahiyo Russia na Ukraine ni maskini sana right?

na Brazil walima sukari je?

kwanini unajipa moyo kivivu na kuwaza kimaskini hivyo na kujikatisha tamaa mwenyewe ?🐒
Hujaelewa message yangu.... Nimesema "ukiona sehemu ya watu" wako kwenye kilimo sio dalili nzuri. Huko Brazil, Russia na Ukraine wanafanya kilimo cha tija, tafuta takwimu za asilimia ngapi ya wananchi wake ni wakulima. Hauwezi ukawa na nchi 60% ni wakulima.
 
Afisa ugani wamchongo, mvua ya mchongo, soko la mchongo, mbegu, viatilifu,mbolea vyote nia gharama kwelikweli na mtaji wote tuliwekeza shuleni familia ikabaki choka mbayaa! Any way we unalima? Nipe profit flow ya projeject ya kilimo unacho fanya.
 
Back
Top Bottom