Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Sekta ya kilimo peke yake ina ajira za uhakika na za kutosha kuajiri vijana wote wasio na ajira Tanzania

Ukilima unauza wapi?????
Dar ina watu karibia 3 million,wanalima wapi?
hivi sasa nchi yote ni soko ya kila kitu hususani nafaka gentleman,

Lita 5 ya mafuta ya alizeti ni had tsh elfu 30-40, karanga kg1 elfu4-5, mchele kilo1 had elfu 3800, maharagwe, kunde, mbaazi kg1, had elfu 4500 wapi nchini huwezi kupata soko la nafaka hizo?

surely,
baada ya kuja kusoma mjini, hukuacha shamba la kwenu ambalo halina chini ya ekari 20 ambazo wazazi hivi sasa wanalima ekari5 pekee?

kwanini usiridi kijijini ukalime hizo ekari 15 ambazo hazilimwi kwa kuanzia?

halafu kwani dar es salaam umekuja kusoma, kulima au kutafuta shamba hata ubabaike kujiuliza utalima wap?🐒
 
Ukiona nchi sehemu kubwa ya watu wake wanajihusisha na kilimo, hiyo ni nchi masikini
Gentleman,
kwahiyo Russia na Ukraine ni maskini sana right?

na Brazil walima sukari je?

kwanini unajipa moyo kivivu na kuwaza kimaskini hivyo na kujikatisha tamaa mwenyewe ?🐒
 
Kilimo chenye tija kina hitaji mataji wa kutosha pia.
uko sahihi gentleman,
mtaji wako ni ardhi ile ya pale nyumbani kwenu ambayo wazazi hawaitumii tena.

Nenda ukaanze nayo hiyo na uitumie kisomi 🐒
 
uko sahihi gentleman,
mtaji wako ni ardhi ile ya pale nyumbani kwenu ambayo wazazi hawaitumii tena.

Nenda ukaanze nayo hiyo na uitumie kisomi 🐒
Mtaji fedha sio bla bla bla, pembejeo n.k utanunua na nini?
 
Ni ajira nzuri kwa kweli ila mentality ya kusoma ilikuwa ni kuajiriwa tu. Sasa kama mzazi mwenyewe haoni na hafikirii kuwa kuna fursa kubwa katika kilimo, huyo mtoto wake anayemsomesha ataonaje?
nawaonea huruma vijana wanaozurura na kupoteza muda kusaka ajira tangu wamehitimu masomo yao 2014,

ni wazee vijana sasa, na tayari sifa za kuajiriwa zinawatupa mkono, nashauri waanze kurudi mikoani majumbani mwao kabla nguvu na akili hazijastack.

Bado fursa ya kilimo nia ajira ya uhakika mno ya kujikwamua na unyonge wa kipato popote nchini 🐒
 
Mtaji fedha sio bla bla bla, pembejeo n.k utanunua na nini?
unaishi mkoa gani gentleman?
kwamfano wale ambao ni wa kanda ya kati unahitaji pembejeo ya nini kwa mfano? Labda mbegu pekee ingawa hata hivyo ni wachache mno huzitumia,

wengi wanatumia walichovuna msimu ulopita kama mbegu 🐒
 
Kila chawa anamiliki zaidi ya ID tano tofauti hapa JF jamaa wapumbavu sn hawa..
punguza mihemko na makasiriko gentleman,

acha uvivu na uoptoshaji .

kilimo ndio jambo muhimu la kukuepusha na stress za kiuchmi 🐒
 
Akili za Chawa bwana 😆😆🚮
ukiwa jasiri kiuchmi kupitia kilimo huwezi kua na mihemko wala dharau kwa wengine,

huwezi kua na stress kabisa gentleman 🐒
 
punguza mihemko na makasiriko gentleman,

acha uvivu na uoptoshaji .

kilimo ndio jambo muhimu la kukuepusha na stress za kiuchmi
Pumbavu mkubwa .. mimi nipo Agri industry miaka mingi, wewe si unalima nyuma ya keyboard unataka kuwalisha matangopori watoto wa watu unazijua changamoto za kilimo wakati wewe unategemea hela ya uchawa kuendesha maisha...
 
Pumbavu mkubwa .. mimi nipo Agri industry miaka mingi, wewe si unalima nyuma ya keyboard unataka kuwalisha matangopori watoto wa watu unazijua changamoto za kilimo wakati wewe unategemea hela ya uchawa kuendesha maisha...
unyonge wa kiuchmi unafanya vijana wengi kua wakali na majasiri sana kuporomosha matusi mazito, sijui kwanini 🤣

Gentleman,
kwa mwaka huu wa kilimo nimelima ekari zaidi ya mia4, Alizeti na mbaazi pekee,
vijana zaidi ya mia2 watafadika na ajira mpaka kukamilisha msimu wa mavuno,

uvivu huchochea hasira 🐒
 

Attachments

  • IMG_20250127_101142_8.jpg
    IMG_20250127_101142_8.jpg
    429.8 KB · Views: 1
unyonge wa kiuchmi unafanya vijana wengi kua wakali na majasiri sana kuporomosha matusi mazito, sijui kwanini
Wadanganye wapumbavu wenzio . unafikiri kilimo ni kushinda nyuma ya keyboard ukisifia watawala ? kilimo kinahitaji uwekezaji,na nyakati zingine una bet kulingana na climate change..
 
Wadanganye wapumbavu wenzio . unafikiri kilimo ni kushinda nyuma ya keyboard ukisifia watawala ? kilimo kinahitaji uwekezaji,na nyakati zingine una bet kulingana na climate change..
kumdanyanya kijana mvivu ni unyanyasaji wa kisakolojia,

unayo ardhi ya kutosha ya wazazi wako kule kijijini, wajanja wanaitumia kulisha mifugo yao tu,

wewe upo unazurura tu mjini na kumbwelambwela JF, mihemko kama yote na makasiriko yanayochochewa na unyonge wa kiuchmi jukwaani.

jitume mtoto wa kiume, kilimo hakijawahi kumuangusha mkulima 🐒
 
Wadanganye wapumbavu wenzio . unafikiri kilimo ni kushinda nyuma ya keyboard ukisifia watawala ? kilimo kinahitaji uwekezaji,na nyakati zingine una bet kulingana na climate change..
Waambie machawa wenzio mimi nikiuza Ankole 5 tu Comoro nakulisha wewe na machawa wenzio na usinipotezee muda wewe unayeshinda nyuma ya keyboard ukitunga uongo..
 
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku.

Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya kuchagua kazi. Huko ni kujichelewesha kufanikiwa kijamii, kisiasa na kiuchmi.

Ni vizuri kutumia ujuzi na maarifa tuloyapata masomoni na kutumia vema fursa na nafasi mballimbali za ajira hususani kwenye sekta ya kilimo katika kuchochea mageuzi ya kilimo, kujikimboa kiuchumi, uhakika wa chakula nchini na kuimarisha pato la Taifa kwa ujumla.

Kuanzisha harakati zisizo na tija, ni kujipotezea wakati na kujtumbukiza kwenye mizozo na matatizo yasio na kichwa wala maskio na kuleta usumbufu kwa wazazi.

Ni vizuri sana wakajihadhari na utapeli wa vibaka wa kisiasa wenye lengo na dhamira ya kutumia kama shield ya kutimiza malengo yao binafsi kisiasa, hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa mapema October mwaka huu 2025.

Kumbukeni,
uchaguzi mkuu wa Tanazania kwa mujibu wa katiba ni October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Nonsense! Things aren't easy as you think
 
Back
Top Bottom