Sekunde 30 za ngono zilivyompeleka jehenamu kwa miaka 30

Sekunde 30 za ngono zilivyompeleka jehenamu kwa miaka 30

Unaweza kutumegea info zaidi za jinsi mlimvyomnasua bwana hamisi kutoka jela?
 
Kuna kubaka kikawaida kwa maana ya ku force penetration kwenye uke na kuna kubaka kisheria yaani statutory rape, ata kama mtu mmekubaliana ila kisheria umebaka tu hasa hao chini ya miaka 18 na wanafunzi.
° traditional healer anapotumia Uongo kukwambia mwanamke afanye nae ngono Ili apone, refer the decision ya case ya Kabulungu Juma v R
°kufanya ngono na mke ambaye kiuhalisia mlisha achana nae bila ridhaa yake
° Kutumia mamlaka yako kuomba ngono eg prisoner and prison Warden, boss and employee, lecturer and student,
 
Huu uzi umenitishia kweli ngoja nisogeze mbele mpango wangu mpaka hofu itapotoka[emoji23]
 
Ila technically Hamis alibaka kisheria sababu binti ni chini ya miaka 18, hata kama alikubali kisheria huo ni ubakaji na nyundo ni ile ile miaka 30 ndani.

Kama ni kweli basi Hamis aongeze swala, maana count ya kwanza alikuwa kashakubali kosa la kujamiiana na binti chini ya miaka 18 kwa hiyo angekutwa na hatia akala 30.

Then kosa la pili la kumpa mimba mwanafunzi na kumkatishia.masomo nalo angekuwa 30 kwa hiyo angekuwa na miaka 60 yake mkononii kisa mkojo wa sekunde 30 noma sana
°kwenye jinai unaweza ukawa umetenda kosa kabisa na ukashinda hiyo inatokana na police kutokuwa makini kuzijua na kuzifuata Sheria like PGO, EVIDENCE ACT, CRIMINAL PROCEDURE,nk nk
 
°kwenye jinai unaweza ukawa umetenda kosa kabisa na ukashinda hiyo inatokana na police kutokuwa makini kuzijua na kuzifuata Sheria like PGO, EVIDENCE ACT, CRIMINAL PROCEDURE,nk nk
Nafahamu Mkuu, lakini kupona haiondoi kuwa jamaa alitenda jinai sababu mwwnyewe alikiri hilo kosa na nashangaa hakuhukumiwa kwenye hilo kosa, labda halikuwa kwenye charge sheet.
 
Nafahamu Mkuu, lakini kupona haiondoi kuwa jamaa alitenda jinai sababu mwwnyewe alikiri hilo kosa na nashangaa hakuhukumiwa kwenye hilo kosa, labda halikuwa kwenye charge sheet.
° uko Kiri kosa kwenye sheria yetu ya mwenendo wa makosa ya jinai, option uliyonayo kwenye rufaa ni legality ya sentence, that is go say uhalali wa kifungo, unaenda kupinga uhalali wa kifungo tu kwenye higher courts
 
° uko Kiri kosa kwenye sheria yetu ya mwenendo wa makosa ya jinai, option uliyonayo kwenye rufaa ni legality ya sentence, that is go say uhalali wa kifungo, unaenda kupinga uhalali wa kifungo tu kwenye higher courts
Mkuu hujanielewa ninachoongelea, siongelei namna ya ku appeal kweny plea of guilty, hapana. Naongelea kuwa Hamis alikiri kufanya mapenzi na binti wa miaka 16 which is statutory rape iliyokuwa supported na ushahidi wa binti ambapo kwenye rape, victims evidence is best evidence, then Hamis akaenda free of guilty. Hapo ndipo ilipo centre ya mjadala wangu.

Kama ni kisa cha kweli, kwanini hakimu alimuacha jamaa kwenye rape iliyokuwa proved, akaenda kumfunga kwa kumpa ujauzito huyo binti?, imenishangaza kidogo japo kama ni lawama zaidi nitazipeleka kwa prosecution side hawakufanya kazi yao vizuri.
 
Mkuu hujanielewa ninachoongelea, siongelei namna ya ku appeal kweny plea of guilty, hapana. Naongelea kuwa Hamis alikiri kufanya mapenzi na binti wa miaka 16 which is statutory rape iliyokuwa supported na ushahidi wa binti ambapo kwenye rape, victims evidence is best evidence, then Hamis akaenda free of guilty. Hapo ndipo ilipo centre ya mjadala wangu.

Kama ni kisa cha kweli, kwanini hakimu alimuacha jamaa kwenye rape iliyokuwa proved, akaenda kumfunga kwa kumpa ujauzito huyo binti?, imenishangaza kidogo japo kama ni lawama zaidi nitazipeleka kwa prosecution side hawakufanya kazi yao vizuri.
°namna ya ku appeal ni lazima ijadiliwe kwa sababu huyo Hamis ametoka kwenye rufaa if I'm not mistaken
°kama alimfunga Kwa kumpa mimba student, na akaacha kumfunga Kwa kubaka pengine labda plea of guilty yake ilikuwa ni equivocal, Hakuonywa Hatari ya kukubali kosa, alikuwa haelewi nature ya offense to which he stood charged.
° pangekuwa na copy of judgement ingependeza
 
Vipimo vya DNA vya bongo havijawahi kusema mtoto sio wa baba aliyepimwa (-ve) hata kama kasingiziwa, zimesetiwa kutoa majibu ya "YES ,YOU ARE THE FATHER" 😂😂😂
Labda muende wawili kupima kujua baba ni nani ? ila lazima mmoja atapewa tu mzigo hata kama mlikuwa watano mnashare na ukienda alone pia unapigwa unaambiwa ni mwanao..
 
2020
Bwana Hamis (sio jina halisi) alikua ni kijana wa mtaa, wakati huo amemaliza form 4 pale kinondoni, hakufaulu na hakupata ajira yoyote so akawa ni mtu wa maskani tu.

Maskani ya vijana wengi wa dar hua inakua opposite na gheto la mwamba mmoja ambaye hua ametoa ruhusa ya mwana yoyote kati yao mwenye demu basi amlete aliwe, so Hamis nae alikua ni mnufaika wa offer hii na wenzake pia.

Lakini pia gheto ilo ndio walikua wanalitumia vijana wote wa kitaa ambao wapo wapo tu na hawana ishu kushinda pale kuangalia mitikasi ya maisha, so wanashinda hapo na kupanga mipango na endapo itatokea mmoja wapo ana demu siku hio basi wengine itawabidi wasepe.

Main
Jumatatu mmoja binti wa miaka 16, alitoroka shuleni kwao hapo kinondoni na kwenda kwenye ilo gheto la masela, ambapo inasemekana alikua na appointment na mmoja wa wahuni wa hapo (sio hamis) na ambaye pia ni mwanafunzi mwenzake na hawakua na mpango wa kwenda class siku hio. ila kwa bahati mbaya siku hio huyu mwanafunzi hakuwasiliana na uyo mpenzi wake (anaitwa Juma), so akaenda bila taarifa.

binti Kufika gheto akamkuta Hamis yupo pekee ake, nae wanajuana kama mashemeji, so akakaribishwa ndani, binti akaingia, baadae Hamis akaanza kumchezea shemeji yake uyo mwenye miaka 16 na atimae akafanikiwa kumvua chupi na kumla.

Sasa Hamis alikua ana sumbuliwa na tatizo la pre mature ejaculation yaani mwanaume hawezi kuendelea na tendo la ndoa akishakojoa, na kwa mujibu wa Hamis mwenyewe ana kili wazi kwamba siku hio alivyomchomekea tu uume wake huyu binti alimwaga hapo hapo na hakuweza kuendelea, yaan anasema alitumia wastani wa sekunde 5 to 30. Haya yalithibitishwa na binti husika wakati wa utoaji ushahidi mahakamani.

Hamis alikujwa kukamatwa baadae kwa kosa la kubaka na kumpa mimba mwanafunzi, na mwanafunzi alishika ujauzito hio siku, na hamis alijitete mbele ya pilato pale mahakama ya wilaya kinondoni; kwamba hakubaka na walikubaliana na uyo binti na ata kitendo kilochofanyika ni kwamba alimuingizia kidogo sana na akashindwa kuendelea. Ushahidi wake ulikua same na wa mwanafunzi ambae nae alisema ivyo ivyo akiweka wazi kwamba hakubakwa, na vipimo vya DNA vilikuja kuonesha baadae kwamba mtoto aliezaliwa ni wa Hamis kwa asilimia 99.99

So Mahakama ikamkuta na Hatia Bwana Hamis ivyo akafungwa miaka 30 jela. siku ya kusomwa Hukumu Hamis alizimia kwa muda mrefu sana, alivyokuja kuzinduka tayari alikua ktk dispensari ya magereza akiwa na pingu mkononi na uzi mpya rangi ya karoti kuonesha tayari amekwisha anza maisha mapya ya jehenamu kwa miaka 30 ijayo. Hamis alienda jela akiwa na tatizo lake la kukojoa baada ya sekunde 5 na mashine kuzima, ila aliacha katoto kazuri ka kiume ambako sasa kana lelewa na familia ya yule mwanafunzi.

2023
Ndugu na jamaa tulipambana na leo Hamis yupo uraiani. Tulishinda kesi yake ya rufaa mahakama kuu kwa technicalities tena zile za haki bin haki sio mrungura.

Hamis sasa ana swali swala zake tano na hana habari na wanawake tena.
Yaan kudate n mwanafunz n sawa n kuegemea Ukuta wa UKONGA muda wowote upo ndan
 
Kuna kubaka kikawaida kwa maana ya ku force penetration kwenye uke na kuna kubaka kisheria yaani statutory rape, ata kama mtu mmekubaliana ila kisheria umebaka tu hasa hao chini ya miaka 18 na wanafunzi.
Mkuu 666 chata unaweza kutuelezea kidogo maana ya statutory rape ili na sisi tuelewe tafadhali
 
Jamaa alijichanganya kidogo nusura ayaharibu maisha Yake.Hongera kwa wanafamilia kwa kusimamia ukucha kumuokoa jamaa yao.

Hapo kwa premature ejaculation nyeto imehusika kwa asilimia 90
 
°namna ya ku appeal ni lazima ijadiliwe kwa sababu huyo Hamis ametoka kwenye rufaa if I'm not mistaken
°kama alimfunga Kwa kumpa mimba student, na akaacha kumfunga Kwa kubaka pengine labda plea of guilty yake ilikuwa ni equivocal, Hakuonywa Hatari ya kukubali kosa, alikuwa haelewi nature ya offense to which he stood charged.
° pangekuwa na copy of judgement ingependeza
Sasa Mkuu tukijadili appeal ambayo sio key issue hapa hauoni kuwa tunaupoteza mjadala?, anyway kwakuwa haidhuru haina tatizo.

Issue ya plea yake, kuwa equivocal ina maana direct ali plea not guilty. Sasa kama ali plea kuwa hana kosa why ushahidi atoe kuwa alifanya na zaidi akawa supported na ushahidi wa victim mwenyewe na hakuukataa. Kwa picha hiyo utaona.kabisa plea yake haikuwa equivocal bali non equivocal, kwa sababu hiyo hapo sikubaliani na wewe Mkuu.

Ni kweli ili kuondoa maswali yakubuni ingekuwepo hukumu ila zaidi ungekuwepo mwenendo tungejua kilitokea nini Mahakamani.
 
Sasa Mkuu tukijadili appeal ambayo sio key issue hapa hauoni kuwa tunaupoteza mjadala?, anyway kwakuwa haidhuru haina tatizo.

Issue ya plea yake, kuwa equivocal ina maana direct ali plea not guilty. Sasa kama ali plea kuwa hana kosa why ushahidi atoe kuwa alifanya na zaidi akawa supported na ushahidi wa victim mwenyewe na hakuukataa. Kwa picha hiyo utaona.kabisa plea yake haikuwa equivocal bali non equivocal, kwa sababu hiyo hapo sikubaliani na wewe Mkuu.

Ni kweli ili kuondoa maswali yakubuni ingekuwepo hukumu ila zaidi ungekuwepo mwenendo tungejua kilitokea nini Mahakamani.
°hapo kwenye plea nilikuwa namaanisha ni unequivocal au hukuelewa?
°
 
°hapo kwenye plea nilikuwa namaanisha ni unequivocal au hukuelewa?
°
Sasa kwanini nifikirie uliandika tofauti na ulichoandika Mkuu?.

Ila pia usichanganye mambo Mkuu hasa kwenye plea ambapo plea ni mbili tu equivocal na non equivocal, mshtakiwa aki plea equivocal ahakama itaandika ame plea not guilty, ila aki plea non equivocal Mahakama itamuuliza tena na tena akishikilia msimamo wake Mahakama inaandika ame plea guilty.

Ni hayo tu Mkuu.
 
Sasa kwanini nifikirie uliandika tofauti na ulichoandika Mkuu?.

Ila pia usichanganye mambo Mkuu hasa kwenye plea ambapo plea ni mbili tu equivocal na non equivocal, mshtakiwa aki plea equivocal ahakama itaandika ame plea not guilty, ila aki plea non equivocal Mahakama itamuuliza tena na tena akishikilia msimamo wake Mahakama inaandika ame plea guilty.

Ni hayo tu Mkuu.
°hoja ni kwamba did the trial court warn itself before convicting huyo accused?
 
°hoja ni kwamba did the trial court warn itself before convicting huyo accused?
Issue ni mazingira yapi Mahakama inatakiwa kujionya kabla ya maamuzi Mkuu?. Ni kweli kuwa wakati wote Mahakama.inatakiwa kuwa makini kabla ya kutoa maamuzi.

kama utakuwa upande wa jamaa Hamis ukisema tu Mahakama haikujionya utasababisha jamaa aangukiwe na rape mapema sana. Ila ukiwa upande wa prosecution ndio unaweza ukaibua hayo sasa.

Ila kama jamaa ndio mteja wako dont kabisa Mkuu, utamdumbukiza pagumu sana 😂
 
Back
Top Bottom