Sekunde 30 za ngono zilivyompeleka jehenamu kwa miaka 30

°mbona unakimbilia kwenye conclusion, kwamba mteja nitamdumbukiza Mimi sio lawyer Mimi ni CPA PUBLIC PRACTICE, natumia knowledge ya certificate (kwa sababu Nina certificate ya law pia)
°inaonekana hujui vizuri sheria na argumentative skills, mtu anayejua vizuri sheria Cha kwanza atataka kuona Nakala ya hukumu Ili kuona ratio decidendi, obiter dictum
CPA Balenciaga
 
After you ejaculate is when you realize life is not all about sex. Soon as you cum ,you come back to your senses

Saizi hamisi ukimuonyesha denti anaweza hata kukupiga ngumi , katika vitu vingi ambayo unatakiwa upambane kuvi-control ni pamoja na ;
1. Nyege
2. Hasira
 
Hamis sasa ana swali swala zake tano na hana habari na wanawake tena.[emoji3064][emoji2827]
Vipi kuhusu katoto kake kazuri
 
Mkuu kwanini tupoteze muda mrefu sehemu moja ndogo sana. Ila nimeelewa tatizo lilipo.

Ila niamini nikisema kuwa certificate ya law haifundishi kabisa practice ya sheria hata degree yenyewe bado haifundishi practice ya sheria, kwa hiyo kwa base ya knowledge yako Mkuu lazima tutofautiane sababu.mimi.naongelea real practice ya sheria.wewe upo kwenye theory ya sheria.

Nakwambia hivyo sababu mimi ni wakili nafahamu kabisa approach hii Mahakamani haitoboi, hii inatoboa na hii inatoboa kwa mbinde.

Ila nakubali kuna.mahali una point nzuri ni vile impact yake haukuiwaza kwa mtuhumiwa.
 
°mawakili wa bongo wengi ni Vilaza wachache tu ndiyo sio vilaza kina kibatala,Mallya,Lissu,Matata,Nkungu,nk
 
Kuna dogo wa chuo kaja kuniuliza, "bro eti p2 ni bei gani"? Nikajua tu kimeumana huyu.

Huyu nae story ni kama ya ndg Hamisi sema ye ni dem wake aliemtongoza jana na leo kaend mla, mtondogoo dem anamwambia ana mimba na yupo form six.

Huyu dogo alivo kolo kauvaa mkenge anaishi kwa stress kwa mimba ya mchongo.
 
°mawakili wa bongo wengi ni Vilaza wachache tu ndiyo sio vilaza kina kibatala,Mallya,Lissu,Matata,Nkungu,nk
Umeona sasa tatizo lako Mkuu umeambiwa ukweli certificate yako ni.ndogo mno kwenye practice ya sheria unaanza dharau 😂😂.

Anyway unatakiwa kufahamu kuwa kuna mawakili maarufu (ni upepo wa msimu) tu ila kamwe hakuna wakili kilaza, kila wakili anayo sehemu yake ya sheria anayoifahamu vyema tena sana. Ukimkuta ana dema dema mahali jua tu hii sio area yake huyu.
 
  • acha uzembe hivi unaweza linganisha mawakili wa Tanzania na Kenya?
  • Hivi hapa Tanzania Kuna Wakili zaidi ya Lissu?
 
Mleta mada ungetumegea njia mlizotumia kumnasua jamaa ungefanya la maana sana.
 
Unaweza kutumegea info zaidi za jinsi mlimvyomnasua bwana hamisi kutoka jela?
kulikua na makosa mengi ktk kesi iliyopita ya mahakama ya wilaya. Ambayo Jaji aliona haki haikutendwa kwa bwana Hamis, so akamuachia.
 
Nafahamu Mkuu, lakini kupona haiondoi kuwa jamaa alitenda jinai sababu mwwnyewe alikiri hilo kosa na nashangaa hakuhukumiwa kwenye hilo kosa, labda halikuwa kwenye charge sheet.
Its not about kukiri its about procedures, je taratibu zimefuatwa?
 
Hakukua na plea of guilt, huko kukili kulikuja wakati anafanyiwa cross examination na SA. Defaults zilikua nyingi sana thusway Judge ali i set aside judgment ya DC.
 
Ahsante kwa kunirudisha darasani kidogo
 
Hakukua na plea of guilt, huko kukili kulikuja wakati anafanyiwa cross examination na SA. Defaults zilikua nyingi sana thusway Judge ali i set aside judgment ya DC.
Mkuu kama hutojali naomba link ya Tanzlii hiyo kesi, kuna mahali naweza okota kitu chakutumia siku za karibuni. Nitumie hata inbox jina kamili nikaitafute mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…