Ukitembea na mwanafunzi aijarishi umri wake hiyo ni statutory rapeHivi tafsiri ya kubaka kisheria ipoje?
Vipimo vya DNA vya bongo havijawahi kusema mtoto sio wa baba aliyepimwa (-ve) hata kama kasingiziwa, zimesetiwa kutoa majibu ya "YES ,YOU ARE THE FATHER" [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Mkuu tukisema aliyepimwa sio baba yake huyo mtoto atalelewa na nani wakati hatumjui baba mwingine zaidi ya huyo?Vipimo vya DNA vya bongo havijawahi kusema mtoto sio wa baba aliyepimwa (-ve) hata kama kasingiziwa, zimesetiwa kutoa majibu ya "YES ,YOU ARE THE FATHER" [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwaio tuendelee kuwa social fathers kama alivyosema Prof. Kabudi? π πSasa Mkuu tukisema aliyepimwa sio baba yake huyo mtoto atalelewa na nani wakati hatumjui baba mwingine zaidi ya huyo?
Naamini kuna maelekezo kutoka ustawi wa jamii kuhusiana na majibu ya DNA ili kuangalia ustawi wa mtoto kwenye malezi.
Ndiyo maana leo hii usitarajie kuwa DNA itakuunga mkono hata kama una uhakika Mkeo kachepuka na mtoto unaamini kabisa sio wako, unless kuwe na baba wawili wanaogimbea mtoto mmoja.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
muongoVipimo vya DNA vya bongo havijawahi kusema mtoto sio wa baba aliyepimwa (-ve) hata kama kasingiziwa, zimesetiwa kutoa majibu ya "YES ,YOU ARE THE FATHER" πππ
Familia ya Bwana Hamis ilimkataa yuleHamis sasa ana swali swala zake tano na hana habari na wanawake tena.[emoji3064][emoji2827]
Vipi kuhusu katoto kake kazuri