Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

Nikiwa advance shule yetu ilikuwa ni sayansi full na kozi ni mbili tuu.

Mwanafunzi anakuja na div.2 nzuri au three ya mwanzo ila concepts nyepesi za form 2 hazielewi kabisa. Imefika necta ya form 6 wamepiga zero za kutosha na division 4.
Waliokuja na div 1 atleast ndio waliambulia three za kwenda vyuoni. Hizi Combination za science watu waende na hizo div.1 tuu.

Kama mtu kqshindwa kupata one O-level either kwa sababu za mazingira huko advance mazingira ndio magumu automatically tena ambapo waalimu hawapo na sometimes wanaamini mmekua watu wazima so mjipambanie

Ila special cases zipo wapo waliotoka o level na div 3 wakakomaa advance wakafaulu vizuri, wapo ila wachache
 
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie

1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili?

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI.

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwanini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu?

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO.

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA?

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani.

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!

ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.


🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Una hoja usikilizwe
Ila A level sio masihara jmn
Hasa Sayansi
 
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie

1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili?

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI.

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwanini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu?

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO.

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA?

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani.

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!

ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.


[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Naona mwanao hakufanya vizuri. Pole sana.
 
Serikali kwa mtindo huu ina maana gani ya kuhamasisha watoto wakazanie masomo ya sayansi??

Hili liserikali halina nyezo au njia za kutoa watoto wa maskini katika umaskini.

Na kwa nini wanaleta ubaguzi wa jinsia kwenye elimu na kuwapendelea jinsia ya kike??

Elimu hii kila waziri akiingia madarakani anakuja na ajenda zake ambazo zinaongozwa na mihemuko ya kibepari.
Kuna uhusiano gani kati ya kusoma Art na umaskini au Sayansi na kutokuwa maskini???!!!!
 
Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Huu uongo uliutoa wapi?
 
Asnte Sana kwa UZI wako mkuu Ila
Kwa mwanafunzi ambae Ana flat C
PHYSICS-C
CHEMISTRY-C
BIOLOGY-C
MATHEMATICS-C
Huyu hawezi kusoma mchepuo/tahasusi ya science
Huyu lazima apangiwe ARTS COMBINATION
Huu uongo mmeutoa wapi? Wewe ni muongo jasiri. Nina kijana amepangiwa PCM na ana DCC
 
Nikiwa advance shule yetu ilikuwa ni sayansi full na kozi ni mbili tuu.

Mwanafunzi anakuja na div.2 nzuri au three ya mwanzo ila concepts nyepesi za form 2 hazielewi kabisa. Imefika necta ya form 6 wamepiga zero za kutosha na division 4.
Waliokuja na div 1 atleast ndio waliambulia three za kwenda vyuoni. Hizi Combination za science watu waende na hizo div.1 tuu.

Kama mtu kqshindwa kupata one O-level either kwa sababu za mazingira huko advance mazingira ndio magumu automatically tena ambapo waalimu hawapo na sometimes wanaamini mmekua watu wazima so mjipambanie

Ila special cases zipo wapo waliotoka o level na div 3 wakakomaa advance wakafaulu vizuri, wapo ila wachache
Siyo lazima aliyekuja na I atatoka na I na siyo lazima kuwa aliyekuja na II hawezi kupata I.....
 
Huoni ni kuna shida? Mwenye point 10 yaani CCD anaenda ufundi [VOCATIONAL] halafu mwenye point 9 anaenda ARTS??

Hii ina make sense? Halafu WANASEMA wanahamasisha watoto wasome SAYANSI?
Selection inafata Selform alijazaje.. Tusiilaumu serkali.. Mm Kuna mwanafunz alipata 1.7 but hakuchagua kwenda f5... Alijaza kwenda chuo kwa ajili ya certificate na alienda... Na hakujaza kibahat mbaya....
So tusikariri kuwa ukipata dv1 lazima uende f5. Ni uchaguzi wa mtu
 
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie

1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili?

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI.

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwanini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu?

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO.

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA?

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani.

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!

ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.


🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Una hoja, mtoto wangu tayari alishaanza form five private wenyewe wanaita introduction na amesharudi Nyumbani na serikali imempangia shule pia wakati kimsingi Wazazi tumeshakubaliana atasoma private.

Kula kulala hawawezi kukuelewa hoja ya msingi sana.
 
Sitasahau nilikuwa mwanasayansi nguli wa familia nkapangwa HGK, mama akaniambia ukifika kule utabadilisha, kufika shule kombi za sayansi zimefutwa, kuna HGE, EGM, HKL, HGL. Na mzee baba mwenyewe HGK shule ipo mbali, nikaenda kwa mkuu wa shule akaniambia sasa hapa kwanza tuliangalia masomo uliyofaulu sana, wewe huko Sayansi hapawezi na makarai yako kwanza una F ya hesabu. Nikasema kwa hasira nitasoma hiyohiyo niliyopangiwa. Mungu mkubwa sina mpango wa kuajiriwa.
 
Kuna kijana Ana C - Physics, B-Chemistry, A- Biology,,kapelekwa HGL ambako ana C- History, B-Geography na C- English ,,Kagoma kwenda shule
Mbona nikipiga mahesabu ana div. 1? Imekuwaje? Anapoint zaid ya 15 au? Basi hii haijakaa sawa
 
Una hoja, mtoto wangu tayari alishaanza form five private wenyewe wanaita introduction na amesharudi Nyumbani na serikali imempangia shule pia wakati kimsingi Wazazi tumeshakubaliana atasoma private.

Kula kulala hawawezi kukuelewa hoja ya msingi sana.
Hana hoja. Kwanza serikali huwa inakuja na batch ya 2 baada ya kutathmini waliosajiliwa. Hoja zingine kaandika hisia . Kwamba PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...ni uongo mtupu kwani wapo watoto wenye division 2 mpaka 20 wamechaguliwa tena kwa DCC
 
Kuna kijana Ana C - Physics, B-Chemistry, A- Biology,,kapelekwa HGL ambako ana C- History, B-Geography na C- English ,,Kagoma kwenda shule
Kama shule ina PCB aende akabadilishe, kama haina atafute uhamisho
 
NASHUKURU KWA KUNIELEWA HOJA YANGU...

Lazima ifike wakati WATENDAJI WETU WAACHE UVIVU WA KUFIKIRI..

Unapangaje SELECTION bila kutambua UWEPO WA SHULE ZA PRIVATE ZA KIDATO CHA TANO NA SITA??? halafu wanatoa taarifa shule hazitoshi.....

Kwa Akili ya KAWAIDA KABISA wanafikiri KEMEBOYS, MARIAN, FEZA, MARRY MAZINDE na nyinginezo nyingi zitakosa wanafunzi wa kidato cha TANO kiss wote wameenda SERIKALINI!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Una hoja, mtoto wangu tayari alishaanza form five private wenyewe wanaita introduction na amesharudi Nyumbani na serikali imempangia shule pia wakati kimsingi Wazazi tumeshakubaliana atasoma private.

Kula kulala hawawezi kukuelewa hoja ya msingi sana.
 
Kama shule ina PCB aende akabadilishe, kama haina atafute uhamisho
Sidhan kama wataruhusu kubadilisha combi, kutoka Arts kwenda Sayansi,kuyokana na vigezo walivotumia katika selection, mana watoto wengi wamepelekwa combi ambazo hawakutegemea, wanakuwa wamepoteza mda wao kusoma sayansi
 
Sidhan kama wataruhusu kubadilisha combi, kutoka Arts kwenda Sayansi,kuyokana na vigezo walivotumia katika selection, mana watoto wengi wamepelekwa combi ambazo hawakutegemea, wanakuwa wamepoteza mda wao kusoma sayansi
Kigezo ni hizo alama alizopata
 
Kwa kigezo gani km mnajari First Selection ya Mwanafunz zungatie Minimum Qualifications achaneni na mambo ya kufikirika

KUSOMA ADVANCED
Minimum Qualifications inahitajika C 3 kwenye Cheti cha Mwanafunzi na ili aweze kufanya km School candidate bhs itahitajika Ufaulu usiopungua D kwenye Masomo ya Combination yake.

Sasa km Minimum Qualifications ni hizo kwanini mtu ambae Kapata C flat au CCD kwenye Combination yake mkatae asisome First Priority ya Combination zake.

Kifupi Swala la Mitihani ni Jambo Pana sn mtu Unaweza kuwa Vizuri Mathematics na Chemistry lkn matokeo yakitoka Mathematics Una C na Chemistry Una C na kwa Bahati nzuri Masomo ambayo haupo vizuri unakuta umefanya vyema may be History Una B Kiswahili Una B.

Km mnajua anaeenda kusoma ni Mwanafunzi kwanini msiheshimu Chaguo lake mfano aliweka PCM hata km ana D au C ya Physics mpeni nafasi Yeye ndy anajua Uwezo wake . Anaweza kuwa na C mathematics lkn trend ya Ufaulu wake ni Constant hata km Unampa mitihani 10 yote anauwezo wa kupata C au C+ na sio kumpeleka HKL Kwa sababu tu ana B history na kishwahili wkt hii kwake sio Outstanding Performance na hata km utampa Mtihan Mwingne anaweza kushuka kutoka B mpk C au D na sio kumaintain.

Tupende kuzingatia chaguo la Mtu tuache Mihemko yetu Binafsi Kwa kigezo cha kuangalia Performance ya Mtihan Moja tu (National Exams) na sio Performance ya Kila Siku. Tufate Minimum Qualifications kuwapangia wanafunzi first selection zao itasaidia Sana.

Asnte Sana kwa UZI wako mkuu Ila
Kwa mwanafunzi ambae Ana flat C
PHYSICS-C
CHEMISTRY-C
BIOLOGY-C
MATHEMATICS-C
Huyu hawezi kusoma mchepuo/tahasusi ya science
Huyu lazima apangiwe ARTS COMBINATION
 
Back
Top Bottom