Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

Mwaka huu Hadi teku itachukua one!

Wenye two wengi hampati vyuo
Ila maisha muda mwingine unapanga hili na Mungu anapanga...nilitamani engineering nikapata Div3 - 2010, nikaambulia computer science ifm na sasa nipo kwenye taasisi kubwa tu na maisha yanaendelea 😁
Mtoa Mada
Omba mapenzi ya Mungu yatimizwe kwako hiko ndo cha msingi
 
Ila maisha muda mwingine unapanga hili na Mungu anapanga...nilitamani engineering nikapata Div3 - 2010, nikaambulia computer science ifm na sasa nipo kwenye taasisi kubwa tu na maisha yanaendelea 😁
Mtoa Mada
Omba mapenzi ya Mungu yatimizwe kwako hiko ndo cha msingi
Unavuta maokoto boss.


Dogo anataka kuitwa Dr Herman.
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Mimi nikitaka nimpeleke wa kwangu Uganda lakini bahati mbaya nikaambiwa application walishafunga tangu mwezi Juni. Sasa hapa nawaza sijui huyo dogo itakuwaje!
 
Wakuu!

Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!

Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Chuo cha afya sio kimoja mdogo angu omba ata Udom
 
Mimi nikitaka nimpeleke wa kwangu Uganda lakini bahati mbaya nikaambiwa application walishafunga tangu mwezi Juni. Sasa hapa nawaza sijui huyo dogo itakuwaje!


Kama anapenda MD na hawezi kusubiri mwaka mpeleke zanzibar

The State University of Zanzibar - School Of Health And Medical Sciences.

TCU na hata waajiri wa dunia nzima hawana hofu na cheti cha flagship Public university ya nchi yoyote.
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.

IMG_2913.png

Mkuu hiyo Ni Top Ten ya Universities in Sub sahara Africa, hii ni list ya 2023.
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Ninashukuru sana mkuu kwa uchambuzi huu murua
 
View attachment 2721631
Mkuu hiyo Ni Top Ten ya Universities in Sub sahara Africa, hii ni list ya 2023.

Acha ujinga wewe. Unaamini muhas ni bora kuliko university of capetown ?

Unaamini muhas ni bora kuliko makerere university ?

Unaamini muhas ni bora kuliko university of pretoria ?

Weka ranks zinazoeleweka.

Best university in Africa ni UCT. Hata ukigoogle majibu yatakuja zaidi ya 1000 yanaitaja UCT
 
MSHAURI ASIWAZE MUHAS , AWAZE KWINGINE , BUGANDO , KCMC , MAANA HAPO MUHAS HUWA WANA KAZA SANA KWENYE. MASOMO , WENGI WANA LIWA VICHWA ASEEEE NA WANI ZAO KALI
 
MSHAURI ASIWAZE MUHAS , AWAZE KWINGINE , BUGANDO , KCMC , MAANA HAPO MUHAS HUWA WANA KAZA SANA KWENYE. MASOMO , WENGI WANA LIWA VICHWA ASEEEE NA WANI ZAO KALI
Unamaanisha MD ya pale ni ngumu kuliko kwingine
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Njoo nayo sasa uone utavonyapapaliwa
 
Wakuu!

Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!

Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Mbona taarifa ya selection wametoa ni tarehe 25/08
 
Wakuu!

Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!

Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
 

Attachments

Inabidi uwe na 1 ya 3 hizo 5 zipo km uchafu zimetapakaa, elimu yenu imerahisishwa ukifeli kipindi hiki wewe ni zaidi ya sifuri
Haijarahisishwa mkuu ila imeboreshwa hasa kwa private school ila madogo wa Asante mkapa Bado wanaendelea kufeli mkuu
 
Back
Top Bottom