Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

Njoo nayo sasa uone utavonyapapaliwa

Utanyanyapaliwa na nani ?

TCU hawapendi vyuo vya nje vya private sababu vingi janja janja.

Wabongo wengi wanaoenda kusoma nje huwa wanaenda vyuo vya magumashi. Ndio maana wakija bongo wananyanyapaliwa.

Mfano wabongo kibao wamesoma india na wanaenda kusoma kila mwaka..ila katika wote hakuna hata mmoja aliyewai kusoma top public university in india.

Mfano Nitafutie mtu mtanzania aliesoma ama anaesoma chuo bora india na asia nzima ( India institute of technology)

Mkurugenzi mkuu wa muhimbili Janabi digrii zake zote kasoma nje ya nchi mbona hajanyanyapaliwa ?
 
Aisee Naomba niwashauri walomaliz six wny two 12 pcb au wale wasio na C of chemistry

Ningewashaur tu kama una ndoto za kusoma afya kuwa nurse doctor pharmacist or medical lab etc
Ni bora ujiendee mapema diploma
Kwa ushaur tu
Msiseme hatujawaambia
 
Nadhani walikuwa wamejisahau. Japo selection hazijatoka lakini Jana ilikuwa ukiingia kwenye account ya mtu unakuta feedback Ila saizi zinakataa kufunguka nadhani Hadi tarehe 25
XRecorder_Edited_19082023_202701.jpg
 
Nadhan ni mtandao maana jana Ndo ilikuw siku ya submission so mwambie ur friend asijal anawez kupata
Jamaa alipanic akawapigia cm wakamhakikishia kuwa ni kweli Ila mchujo Bado unaendelea
 
TCU wanakupangia muhas ila muhas kuna vigezo vyaooo...so watachaguaa maselulee wanawarudisha tcu alafu wanaoona wanastahili wanapita round 2...alafu kuna round 3 ukifika chuo ukipata sup zaidi ya 3 unarudi kijijini kwenu kulimaaa😀😀😀muhas shule hiyo
Ogopa sana Chief hii kitu ya sup 3 ....🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣
 
Imerahisishwa sana tena saaana sasa hivi huwezi kufananisha na 2010 huko elimu imekua rahisi sana
Hapana , mkuu nakukatalia Sana , maana hata past papers za miaka ya 2010 tunaona zilikuwa simple, unakuta mtihani una maswali 10 eti uchague matano halafu yote ni content based sio competent based, saizi maswali sita unachagua matano halafu ni competency yaani.
 
Hapana , mkuu nakukatalia Sana , maana hata past papers za miaka ya 2010 tunaona zilikuwa simple, unakuta mtihani una maswali 10 eti uchague matano halafu yote ni content based sio competent based, saizi maswali sita unachagua matano halafu ni competency yaani.

Siku hizi kufeli ni uzembe wako.

Internet ina kila kitu

Kuna walimu wazuri kibao wa kila somo wapo youtube na website zingine za academic

Video za Practical zote zipo youtube
 
Wakuu!

Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!

Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Kozi gan?
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Muhimbili ni namba moja East africa na Ya tatu africa , sjui umeandika nini wewe jamaa
 
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.

Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.

MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking

MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas

MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas

University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.


Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.

Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.

Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Kubwabwaja tu hakutoshi kujustify unachokisema. Hebu weka references za rankings za md za hivyo vyuo ulivyovitaja tujiaminishe
 
Wakuu!

Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!

Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Kwani wewe na huyu jamaa yako mmefanana kuomba kozi? ...kwanini majibu ya mwenzako yakuchanganye wewe?
Sijaangalia website yao, but naamini wanaweza kuwa wameweka list ya waliochaguliwa. (Pia log in vizuri uangalie akaunti yako..kama mwenzako ameona,lazima kwa akaunt waseme kitu)
 
TCU wanakupangia muhas ila muhas kuna vigezo vyaooo...so watachaguaa maselulee wanawarudisha tcu alafu wanaoona wanastahili wanapita round 2...alafu kuna round 3 ukifika chuo ukipata sup zaidi ya 3 unarudi kijijini kwenu kulimaaa😀😀😀muhas shule hiyo
Sio "zaidi ya 3"...ni zikifika Tatu ndani ya mwaka mmoja wa masomo
 
Ogopa sana Chief hii kitu ya sup 3 ....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787]
Wazeee wakikulamba kichwaa hawageuki Nyumaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom