Yajayo_yanafurahisha
Senior Member
- Jul 29, 2020
- 156
- 401
Ila maisha muda mwingine unapanga hili na Mungu anapanga...nilitamani engineering nikapata Div3 - 2010, nikaambulia computer science ifm na sasa nipo kwenye taasisi kubwa tu na maisha yanaendelea 😁Mwaka huu Hadi teku itachukua one!
Wenye two wengi hampati vyuo
Unavuta maokoto boss.Ila maisha muda mwingine unapanga hili na Mungu anapanga...nilitamani engineering nikapata Div3 - 2010, nikaambulia computer science ifm na sasa nipo kwenye taasisi kubwa tu na maisha yanaendelea 😁
Mtoa Mada
Omba mapenzi ya Mungu yatimizwe kwako hiko ndo cha msingi
Mimi nikitaka nimpeleke wa kwangu Uganda lakini bahati mbaya nikaambiwa application walishafunga tangu mwezi Juni. Sasa hapa nawaza sijui huyo dogo itakuwaje!Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Chuo cha afya sio kimoja mdogo angu omba ata UdomWakuu!
Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!
Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Mimi nikitaka nimpeleke wa kwangu Uganda lakini bahati mbaya nikaambiwa application walishafunga tangu mwezi Juni. Sasa hapa nawaza sijui huyo dogo itakuwaje!
Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Ninashukuru sana mkuu kwa uchambuzi huu muruaMzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
View attachment 2721631
Mkuu hiyo Ni Top Ten ya Universities in Sub sahara Africa, hii ni list ya 2023.
Mwaka huu Hadi teku itachukua one!
Wenye two wengi hampati vyuo
dah!😎Unavuta maokoto boss.
Dogo anataka kuitwa Dr Herman.
Hapana mkuu, wameyafunga Tena , wanadai Hadi tarehe25, kwahiyo ukijaribu ku login unaambiwa incorrect loginMaana wanamuandikia username not found. Tatizo itakuwa ni system nadhani.
Unamaanisha MD ya pale ni ngumu kuliko kwingineMSHAURI ASIWAZE MUHAS , AWAZE KWINGINE , BUGANDO , KCMC , MAANA HAPO MUHAS HUWA WANA KAZA SANA KWENYE. MASOMO , WENGI WANA LIWA VICHWA ASEEEE NA WANI ZAO KALI
Njoo nayo sasa uone utavonyapapaliwaMzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Anhaa ok hapo nimekuelewa.Hapana mkuu, wameyafunga Tena , wanadai Hadi tarehe25, kwahiyo ukijaribu ku login unaambiwa incorrect login
Mbona taarifa ya selection wametoa ni tarehe 25/08Wakuu!
Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!
Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Wakuu!
Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!
Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Haijarahisishwa mkuu ila imeboreshwa hasa kwa private school ila madogo wa Asante mkapa Bado wanaendelea kufeli mkuuInabidi uwe na 1 ya 3 hizo 5 zipo km uchafu zimetapakaa, elimu yenu imerahisishwa ukifeli kipindi hiki wewe ni zaidi ya sifuri