Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

[emoji28][emoji28][emoji28]
Muhas hawaingii vilaza,ukiona hujachaguliwa muhas jua wewe ni kilaza[emoji28][emoji28],anyway vyuo vipo vingi sana jaribuni kwengine.
Hapana mkuu, wameyafunga Tena , wanadai Hadi tarehe25, kwahiyo ukijaribu ku login unaambiwa incorrect login
Leo naona uko log in inafunguka ila cpati feedback yoyote
 
Inabidi uwe na 1 ya 3 hizo 5 zipo km uchafu zimetapakaa, elimu yenu imerahisishwa ukifeli kipindi hiki wewe ni zaidi ya sifuri
Sahihi division one point 5 it is a joke

UDSM na Muhimbili course nyingi kazima ufaulu hasa form four na six sababu hujumlisha pass zote za form four na six combination husika kuchagua nani ajiunge nao

Issue sio tu form six ulipata nini form four je permanent yako ilikuwaje kwenye masomo ya combination husika uliyoingia nayo form five?

UDSM na Muhimbili huhitaji consistency ya ufaulu form four na six hawahitaji.mtu wa kuvizia sijui form six tun ndio anaibuka kipanga
.wanahitaji kipanga kuanzia O level na A level combined wanawa rank kwa evarage na ku cut off wabaowahitaji

UDSM na Muhimbili hawaonei. Mtu kwenye admission
 
DDS ndo Course pekeee level ya degree yenye Sokooo kubwaa kwa sasa kwa Kada ya afyaa hizi zingine pagumu sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…