Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,584
- 6,136
Masa,
Ndiyo maana nikaomba JINA. Nilikuwa nimesahau kabisa hii kesi na nikawa nakumbuka zaidi kesi za EUROPE na America. Nashukuru kwa hiyo link ambayo kwa njia moja au nyingine, inamjibu pia Mkandara kuwa kwa kutowa RUSHWA, unaweza kwenda JELA MILELE. Ila hata German na sheria zao, walimgwaya Kohl.
Masanilo, nafikiri ni ndoto za Watanzania wengi sana wasiopenda Mafisadi kuwa na system kama za hawa Wa-Asia. Si unaona mwenyewe kuwa Uchunguzi ulianza wakati jamaa bado yuko ofisini? Sasa hebu muone Mwana sheria mkuu wa Tanzania au Rashid Othman akianza kumpeleleza Kikwete sasa hivi kwa ombi la Mbowe/Dr. Slaa au Chadema. Si unaona kabisa ni ndoto?
Sasa kuliko kusema tu kujifurahisha, tuwe tunaangalia hali halisi ya sheria za Tanzania, katiba na mihimili ya dola imekaakaaje. Sintategemea Hosea au AG au Polisi au UWT waaanze leo kumpeleleza Kikwete....... Inauma ila ukweli ndiyo huo. Tumefuata sana siasa/sheria za West ambazo huwa zinawalinda sana viongozi wa zamani. Kama tungelifuata za ASIA, hata wewe unafahamu kabisa kuwa leo hii akina Kingunge, Lowassa, Rostam na wengine wengi na kama sikosei Mkapa, wangelikuwa wanaishi na Babu Seya kama siyo majina yao kuwa yamepewa tittle mpya ya HAYATI.
Ndiyo maana nikaomba JINA. Nilikuwa nimesahau kabisa hii kesi na nikawa nakumbuka zaidi kesi za EUROPE na America. Nashukuru kwa hiyo link ambayo kwa njia moja au nyingine, inamjibu pia Mkandara kuwa kwa kutowa RUSHWA, unaweza kwenda JELA MILELE. Ila hata German na sheria zao, walimgwaya Kohl.
Former Taiwanese president jailed for life
By John Chan , 23 September 2009
In a highly political court decision on September 11, former Taiwanese President Chen Shui-bian was sentenced to life imprisonment and fined $US6.1 million. He was convicted of forgery, embezzling government funds to the tune of $3.15 million and accepting bribes of $9 million. The Taipei District Court stripped Chen of his civil rights, thus barring him from voting or running for office. His wife Wu Shu-chen also received a life jail term for corruption and a fine of $9.2 million. Both are appealing against their sentences.
Chen came to office in 2000 and lost to the Kuomintang (KMT) in 2008. The KMT initiated investigations into Chen and his family in 2006, while still in opposition. The prosecutors' investigations of Chen began soon after he left office, leading to his detention late last year. The charges included using a secret presidential fund, which was meant to be used to bribe small countries into granting Taiwan diplomatic recognition, for personal gain and accepting kickbacks over a land deal involving a flat panel manufacturer.
Chen repeatedly denounced the trials as a "political prosecution" by the KMT government of President Ma Ying-jeou. There is certainly an element of truth in Chen's declarations that "everyone else is doing the same thing". The KMT, which dominated Taiwan as a military dictatorship until 1987, was notorious for its rampant corruption, secret government slush funds and close ties with business.
Masanilo, nafikiri ni ndoto za Watanzania wengi sana wasiopenda Mafisadi kuwa na system kama za hawa Wa-Asia. Si unaona mwenyewe kuwa Uchunguzi ulianza wakati jamaa bado yuko ofisini? Sasa hebu muone Mwana sheria mkuu wa Tanzania au Rashid Othman akianza kumpeleleza Kikwete sasa hivi kwa ombi la Mbowe/Dr. Slaa au Chadema. Si unaona kabisa ni ndoto?
Sasa kuliko kusema tu kujifurahisha, tuwe tunaangalia hali halisi ya sheria za Tanzania, katiba na mihimili ya dola imekaakaaje. Sintategemea Hosea au AG au Polisi au UWT waaanze leo kumpeleleza Kikwete....... Inauma ila ukweli ndiyo huo. Tumefuata sana siasa/sheria za West ambazo huwa zinawalinda sana viongozi wa zamani. Kama tungelifuata za ASIA, hata wewe unafahamu kabisa kuwa leo hii akina Kingunge, Lowassa, Rostam na wengine wengi na kama sikosei Mkapa, wangelikuwa wanaishi na Babu Seya kama siyo majina yao kuwa yamepewa tittle mpya ya HAYATI.
