Selelii awazima Lowassa na Rostam

Selelii awazima Lowassa na Rostam

Hao Lowassa na papa fisadi ni wapambe wako maana wanakupamba kwa kila namna ili ukamuondoe mbaya wao kule Kyela.

Mimi sijakulink kabisa na hao mafisadi bali kilichokulink na hao mafisadi ni unachoandika hapa cha kuwatetea kwa nguvu zako zote bila kujali maslahi ya nchi yetu na kuthubutu kusema eti tufukie mashimo na kusonga mbele bila kutafutia ufumbuzi madudu chungu nzima ambayo yanaitafuna nchi yetu kila kukicha. Unayoyaandika yanaonyesha kabisa hufai kupewa wadhifa wowote ndani ya nchi yetu hata ujumbe wa nyumba 10 haukufai.

Katika kipindi hiki ambacho nchi yetu inapita katika wakati mgumu kuliko wowote ule hatuhitaji Wabunge wa kufukia mashimo ili tu tusonge mbele wakati huko mbele kuna kiza cha kutisha na nyuma pia kuna madudu ya kutisha. Hatuwahitaji kabisa ndani ya Bunge letu Wabunge wenye kutaka kufukia mashimo kama wewe utakavyo.

Mzee wa NATO (No Action Talking Only), sisi huku tunaita wazee wa kubwabwaja. Kazi kujaza posts JF huku hakuna kinachofanyika. Afadhali hata sisi wengine tumehamasisha CHADEMA hapa Kyela na wamepata vitongoji vitano.

Kama unataka wafukia mashimo njoo huku Kyela uwasaidie, vinginevyo tegemea kubwagwa chini bwaaa! Mtavimba sana 2010.

Unaonaje wewe ukawe mfukia mashimo kwa kugombea huko kwenu?

Wewe isikie tu Kyela, hatuna habari na hao akina Lowassa au RA. Kyela hainunuliki. Mengi amejaribu kutaka kutununua kwa kugawa pikipiki lakini zimeishia kuchukuliwa na matapeli ambao hawawezi hata kumshawishi mtu mmoja. Wengi wao ndio hao walibwagwa na CHADEMA juzi.
 
Thank you BAK

You have nailed it right......tutapambana kuanzia kwenye mitandao!
 
Duh leo tangu asubuhi nilikuwa naipitia hii thread kwa makini sana sikupenda kuchangia ila kufyonza elimu taratibu.
Napenda kuwapongeza wachangiaji wafuatao.
[1] Bubu Ataka kusema
[2] Masanilo
[3] mzee Mwanakijiji
[4] Mkandara
[5] Steve D

Naomba tusikate tamaa tuendelee kupiga kelele kwa nguvu zetu zote hadi kieleweke.
 
Duh leo tangu asubuhi nilikuwa naipitia hii thread kwa makini sana sikupenda kuchangia ila kufyonza elimu taratibu.
Napenda kuwapongeza wachangiaji wafuatao.
[1] Bubu Ataka kusema
[2] Masanilo
[3] mzee Mwanakijiji
[4] Mkandara
[5] Steve D

Naomba tusikate tamaa tuendelee kupiga kelele kwa nguvu zetu zote hadi kieleweke.

Kupiga kelele?? Kelele zitasaidia nini!! Nilidhani ungesema zichukuliwe hatua fulani ili kuzuia. Lakini kelele tu mtapiga wee usiku na mchana na hakuna kitachotendeka. Si umeona mwenyewe kelele za wabunge zilipolifikisha suala la Richmond!! Waliapa kuwa ikiwa serikali haitokuja na majibu ya kueleweka kwenye kikao cha Bunge lililopita wangepiga vote of no confidence kwa serikali. Mbonan hawakufanya hivyo na imo ndani ya uwezo wao? Wamebaki kulalamika tu.. Hebu jamani tuwe realistic for once..Watu wote wamo katika maslahi tu. Hakuna cha utaifa hapa..
 
Napata shida sana kuelewa wanaoibeza kazi nzuri ya kamati iliyoongozwa na Dr Mwakyembe! Ni mfumo mbaya tulionao ingekuwa nchi zingine kama China RA na EL wameishanyongwa!
Hapo ethiopia wengekuwa jela na vizazi vyao vyoe mana wangewachunguza kila mmoja wa familia kapataje hela kama kuna kauhusiano na hiyo deal ya richmond nae anaenda jela.na hapa bwana wanakuweka jela kama mwaka au zaidi ndio wanaanza kusikiliza kesi
 
Kupiga kelele?? Kelele zitasaidia nini!! Nilidhani ungesema zichukuliwe hatua fulani ili kuzuia. Lakini kelele tu mtapiga wee usiku na mchana na hakuna kitachotendeka. Si umeona mwenyewe kelele za wabunge zilipolifikisha suala la Richmond!! Waliapa kuwa ikiwa serikali haitokuja na majibu ya kueleweka kwenye kikao cha Bunge lililopita wangepiga vote of no confidence kwa serikali. Mbonan hawakufanya hivyo na imo ndani ya uwezo wao? Wamebaki kulalamika tu.. Hebu jamani tuwe realistic for once..Watu wote wamo katika maslahi tu. Hakuna cha utaifa hapa..

Wewe kelele unazopiga katika kupigia debe ununuzi wa mitambo ya Dowans nadhani ulidhani kwamba zitasaidia kwa namna moja au nyingine na ndiyo maana ukawa unazivurumisha kwa nguvu zako zote.

Ha ha ha ha! kwa mafisadi na watetezi wao hakuna kabisa cha Utaifa ila ni kuneemesha bank accounts zao katika nchi mbali mbali duniani. Kweli fisadi utamjua kwa rangi zake! Endelea na juhudi zako za kupigia debe ununuzi wa mitambo ya Dowans maana inaelekea umeahiddiwa mshiko wa nguvu sana. Kila la heri.
 
Mzee wa NATO (No Action Talking Only), sisi huku tunaita wazee wa kubwabwaja. Kazi kujaza posts JF huku hakuna kinachofanyika. Afadhali hata sisi wengine tumehamasisha CHADEMA hapa Kyela na wamepata vitongoji vitano.

Kama unataka wafukia mashimo njoo huku Kyela uwasaidie, vinginevyo tegemea kubwagwa chini bwaaa! Mtavimba sana 2010.

Unaonaje wewe ukawe mfukia mashimo kwa kugombea huko kwenu?

Wewe isikie tu Kyela, hatuna habari na hao akina Lowassa au RA. Kyela hainunuliki. Mengi amejaribu kutaka kutununua kwa kugawa pikipiki lakini zimeishia kuchukuliwa na matapeli ambao hawawezi hata kumshawishi mtu mmoja. Wengi wao ndio hao walibwagwa na CHADEMA juzi.

Ha ha ha ha ha Mtetezi wa mafisadi!! by the way yule Mtanzania aka Mwakalinga ni engineer na wewe unajiita engineer je ni mtu yule yule katika jitihada zake za kuwakingia kifua wafadhili wae Lowassa na papa fisadi Rostam? Watu tumeshakushtukia ha ha ha ha ha.


Kwa sababu wewe unataka kuwa Mbunge wa Kyela basi unadhani kila mtu anataka Ubunge!!!!? LOL! unachekesha kweli wewe Mbunge Mtarajiwa 🙂


Kwa taarifa yako miye si mwanachama wa chama chochote kile cha siasa Tanzania na wala sina mpango wa kufanya hivyo katika siku za karibuni, lakini inapokuja kwenye kutetea maslahi ya nchi yangu hata siku moja sintosita kufanya hivyo kwa kuogopa kubandikwa lebo ya CHADEMA.
 
Ha ha ha ha ha Mtetezi wa mafisadi!! by the way yule Mtanzania aka Mwakalinga ni engineer na wewe unajiita engineer je ni mtu yule yule katika jitihada zake za kuwakingia kifua wafadhili wae Lowassa na papa fisadi Rostam? Watu tumeshakushtukia ha ha ha ha ha.


Kwa sababu wewe unataka kuwa Mbunge wa Kyela basi unadhani kila mtu anataka Ubunge!!!!? LOL! unachekesha kweli wewe Mbunge Mtarajiwa 🙂

Kwa taarifa yako miye si mwanachama wa chama chochote kile cha siasa Tanzania na wala sina mpango wa kufanya hivyo katika siku za karibuni, lakini inapokuja kwenye kutetea maslahi ya nchi yangu hata siku moja sintosita kufanya hivyo kwa kuogopa kubandikwa lebo ya CHADEMA.

Kwa hili kiongozi tupo pamoja!
 
Kupiga kelele?? Kelele zitasaidia nini!! Nilidhani ungesema zichukuliwe hatua fulani ili kuzuia. Lakini kelele tu mtapiga wee usiku na mchana na hakuna kitachotendeka. Si umeona mwenyewe kelele za wabunge zilipolifikisha suala la Richmond!! Waliapa kuwa ikiwa serikali haitokuja na majibu ya kueleweka kwenye kikao cha Bunge lililopita wangepiga vote of no confidence kwa serikali. Mbonan hawakufanya hivyo na imo ndani ya uwezo wao? Wamebaki kulalamika tu.. Hebu jamani tuwe realistic for once..Watu wote wamo katika maslahi tu. Hakuna cha utaifa hapa..
Mkuu wangu ni kelele hizo hizo zinakufanya wewe leo hii unaandika kuhusu Richmond.. Pasipo hivyo ungekuwa unazungumzia vitu vingine kabisa. Umeamka asubuhi na kutafuta mada ya mahusiano ya Richmond na ndio kwanza umeweka ubani wako...Hii inaonyesha wazi unakereka hivyo tutaendeleza kelele na imechukua miaka mitatu lakini kila Mtanzania anajua Richmond/Dowans ni kitu gani hata yule aliyeingia nchini jana..Kwa kukufahamisha tu nasikia hata Obama kisha mwagiwa radhi hiyo hana hamu na Afrika baada ya kutanguliza kumwamini JK..
 
Hi,

Hii nchi ni ya watanzania,samahani kwa kuwa mbaguzi,na mwarabu(Rostam Azizi) hana nafasi kuvuruga hii nchi ya mzee kifimbo,huyu Rostam ni fisada na sheria ichue mkondo wake,na huyu mama wa mipasho rais amemtoa wapi ?

Elisante Yona
 
Hi,

Hii nchi ni ya watanzania,samahani kwa kuwa mbaguzi,na mwarabu(Rostam Azizi) hana nafasi kuvuruga hii nchi ya mzee kifimbo,huyu Rostam ni fisada na sheria ichue mkondo wake,na huyu mama wa mipasho rais amemtoa wapi ?

Elisante Yona
Nina mashaka huyo mama wa mipasho katumwa na serikali kutuchanganya wananchi,ila mahali alipokosea ni kutaka kumsafisha lowasa kwa gharama yoyote ile.Nashukuru mungu watz siku hizi hatudanganyiki kirahisi.
 
Mzee wa NATO (No Action Talking Only), sisi huku tunaita wazee wa kubwabwaja.

Engineer aka Mtanzania aka Mwakalinga afadhali ya mimi ninayebwabwaja kutetea maslahi ya nchi yangu kuliko wewe unayebwabwaja kutetea maslahi ya mafisadi. Eti unathubutu kuandika Bunge lisonge mbele badala ya kupoteza miaka mitatu au zaidi kujadili issue moja. Kwa hiyo wewe Watanzania kuporwa $212 millioni na papa fisadi Rostam unaona ni issue ndogo sana ambayo haistahili kabisa kuipotezea muda!

Afadhali ya wale tunaojaza jumbe kutetea maslahi ya nchi kuliko wewe unayejaza jumbe kutetea maslahi ya mafisadi. Sasa kwa akili yako wewe jumbe zako zina ubora mkubwa sana kuliko jumbe za wale wanaopigania maslahi ya nchi yetu. Kweli akili ni nywele hata Engineer ana zake...LOL!


Itakuwa ni raha iliyoje kwa wapenda haki wote wa Tanzania pale wananchi wa Kyela watakapoamua kwamba hufai kuwa muwakilishi wao Bungeni maana nia yako kubwa ya kuingia Bungeni ni kuingia katika kundi la mafisadi ili muendelee kufukia mashimo mwenyewe unaita eti "kusonga mbele" ili muendelee kufanya ufisadi wenu wa kutisha dhidi ya Watanzania. Hata Wahandisi wana profession ethics zao ambazo wewe kama engineer wala huzifuati. HOVYO KABISA!
 
Tunataka firm action to Richmond culprits. Hizi ngonjera zimetuchosha. Yaani ndiyo maana Zito nasema tuna tolerance president??? Tolerance in which sense wakati nchi inayumba. Corruption kibao, ufisadi, na uharamia wa kila namna. Kwa hiyo unataka kunimbia rais wetu ni tolerance kwa mambo haya ya aibu??

Nilitegemea kuona kuwa we have active president mwenye firm orders na leo hii tusingekuwa na uozo wa Richmond, EPA, etc ambao mpaka leo hakuna solution. Victims wa saya EPA na Richmond waliofikishwa mahakamani si wale halisi, are scept goats. Tuache unafiki wa kupaka viongozi mafuta. Tireeeeeeeeeeeeeed!!!
 
Nafikiri hapa tukubali tumeguke.

Vyama vingi vya upinzani au wapigania uhuru walikuwa wanagawanyika katika makundi mawili. Moja ni lle la military wings na jingine ni Political Wings.

Kuna wengine mnaona kuwa mabadiliko ya kweli yataletwa kwa KUPIGA sana kelele. Haya makele wengine yametuchosha na tunasema sasa inabidi kubadilisha mwelekeo wa mapambano. Nyie mnaamini kuwa hii njia inafanya kazi ila wengine tunaona kama vile Fisi anaumezea na kuupigia makelele mkono wa binadamu ukatike.

Inawezekana mko sawa, na endeleeni kupiga kelele. Mie najipelekeka kwenye kundi la watu wanaosema 'imetosha' na sasa ni kuanza kupambana nao direct. Kama ni maandamo au chama cha upinzani. Hakuna haja ya wenyewe kwa wenyewe kuanza kutukanana. Kama unafanya hivyo basi uko kwenye pay roll ya RA.
 
sikonge mgawanyiko wa CCM uliopo sasa ni wa kipuuzi; it is purely personal.. hilo haliwezi kuwa msingi wa mabadiliko.
 
sikonge mgawanyiko wa CCM uliopo sasa ni wa kipuuzi; it is purely personal.. hilo haliwezi kuwa msingi wa mabadiliko.
wala hawajagawanyika ila wapo wanaopiga kelele kwenye vyombo vya habari na wengine wanapiga kelele ndani ya chama, sasa hilo hatuwezi kusema kuwa wamegawanyika ila wanatofautiana jinsi ya kuwasilisha ujumbe tuu .

Mgawanyiko wangejitokeza hadharani na viongozi wao wangepaswa kujulikana hadharani na sio vinginevyo.
 
wala hawajagawanyika ila wapo wanaopiga kelele kwenye vyombo vya habari na wengine wanapiga kelele ndani ya chama, sasa hilo hatuwezi kusema kuwa wamegawanyika ila wanatofautiana jinsi ya kuwasilisha ujumbe tuu .

that is excessive trivialization of reality; mgawanyiko upo na hautegemei magazeti au vyombo vya habari. Unafikiri vyombo vya habari visipokuwepo ndiyo CCM watakuwa wamoja? tofauti zao za kibinafsi ni kubwa kiasi kamba hata "hawaaminiani kuachiana gilasi".. sasa kama huko siyo kutofautiana basi tukuite kupendana!

Mgawanyiko wangejitokeza hadharani na viongozi wao wangepaswa kujulikana hadharani na sio vinginevyo.

Mbona wanajulikana au mwenzetu hujayaona bado?
 
Kwa sisi Wanyakyusa wa Kyela tuna sifa kuu moja ni kuwa hata nani aje unaposimamia hoja yako au unaposema unachoamini anayeweza kubadili mawazo huenda ni Mungu tu sisi ni masikini jeuri ,hatuna kitu lakini tunathamini sana utu na heshima kwa mtu yeyote.Niwakumbushe tu kuwa hapo nyuma baba zetu walimpasha ukweli aliyekuwa Makamu wa Raisi Abood Jumbe na kwa wenye kumbukumbu alikuwepo mlemavu wa macho mshairi maarufu kwa jina la kipofu wa mkoa alisoma shairi lililoonyesha hisia za wanakyela kuwa hawatendewi haki,baba zetu wakasweka ndani Tukuyu lakini kwa umoja wa ajabu waliobaki wakaenda Tukuyu wakidai nao wafungwe kwa kuhofia serikali ikawachia baba zetu,lingine ni vijiji vya ujamaa wanakyela kama kawaida wakagangamala kupinga kuhamishwa kwa nguvu.Kwa wanaotaka kuwachea wana Kyela wamuulize Mwakipesile mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Kikwete alifikiri anatukomoa watu wa Kyela kumpa ukuu wa Mkoa katika mkoa ambao alishindwa ubunge katika moja ya wilaya za mkoa huo,kwani Mh Raisi alitaka kutuonyesha wana kyela kuwa baad
 
Sikonge,
Wakati kunatokea mtafaruk ndani ya CCM imetokana na makelele tu, hajaguswa mtu na nakuhakikishia watu hawalali. Imefikia watu kusodoana tena wengine walikuwa mashoga kabla.. Hii ndio silaha ya mtu mweusi maneno mengi udugu unakufa pasipo kurusha ngumi.
Tutafika tu mkuu wangu, Rostam wa juzi sii huyu wa leo, chupi inambana na tukiendelea hivi hivi nina hakika uchaguzi wa mwaka 2005 utakuwa na matunda kwetu na utata mkubwa ndani ya CCM..matokeo yake ndio yatapanga mwendo wa miaka mitano ijayo!
 
Back
Top Bottom