Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kweli hili jambo. Ngoja tusubiri wadau wengine wa soka waendelee kutoa michango yao kuhusu hili.Kwa asili yanga ni timu iliyojaa uswahili na roho mbaya Kwa wachezaji wao! Fanyeni utafiti mtagundua
Usiiingize Simba hapo,Yanga ndio wamezidi hata usibumbebumbe uhalisiaSimba na yanga klabu za ujanja ujanja tu
Ulikua wapi kumpeleka huko unapotaka kabla hajafika Yanga wanao ng'ang'ania wachezaji?Hilo ndo tatizo la Yanga,na Wala siyo Kwa mara ya kwanza mchezaji kung'ang'aniwa km ruba.
Mwacheni kijana akajaribu maisha mengine uko ....
Wangesikia Simba wanataka kumsajili tungesikia mashabiki wa utopolo wakilalami kwanini asiende njekucheza soka la kulipwaDunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .
Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.
Tunatetea watanzania popote walipo bila kujali wapo Uto au Singida black stars.Ulishaona tunahangaika na Aziz Ki au Pacome? Tunajua nyinyi Uto ni waswahili,mnawachukulia wachezaji wenu wazawa Kiswahili Swahili ndio maana enzi hizo mlimficha Ngasa alipotaka kusajaliwa na El Merreikh.Hivi kwanini mbumbumbu ndio hua mna uchungu sana na wachezaji wa Yanga?
Dah umekumbuka hii mkuu,...wale waarabu walikuja wakazurula sana daslam wanamtafuta ngasa..Tunatetea watanzania popote walipo bila kujali wapo Uto au Singida black stars.Ulishaona tunahangaika na Aziz Ki au Pacome? Tunajua nyinyi Uto ni waswahili,mnawachukulia wachezaji wenu wazawa Kiswahili Swahili ndio maana enzi hizo mlimficha Ngasa alipotaka kusajaliwa na El Merreikh.