Seleman Mwalimu anakwenda kuchezea klabu namba 3 Afrika, Mzize yupo anabangaiza klabu namba 12

Seleman Mwalimu anakwenda kuchezea klabu namba 3 Afrika, Mzize yupo anabangaiza klabu namba 12

Kibu alikuwa ndo ka-renew mkataba ndo wapo likizo,uanendaje kufanya jaribio wakati hukutoa taarifa kwa timu yako?bahati mbaya kwenye majaribio akafeli pia waliwaandikia ila timu iliyotaka kumchukua kwamba ana mkataba halali, kama wanataka wauvunje,ile timu kuona Kibu ana mkataba na Simba wakamwacha,lakini angetumia njia sahihi wala kusingekuwa na tatizo wangemwachia tu
Unajua kabla ya Kurenew offer zilikuwa zinakuja mnazikataa na hata hiyo timu ya Sweden walimtumia barua za nyuma,wakati akiwa kwenye mkataba na bado kuna offer zilikuja za kimsajili moja kwa moja na za majaribia akiwa ndani ya mkataba wa timu yenu mlikataa zote. Ndio chanzo cha Kibu kuondoka na itafuta interview ya meneja wa Kibu alifanya n Wasafi ni kiipata nitakuwekea ,ila Kibu mlikuwa mnamkomalia tokea akiwa ndani ya mkataba.
 
Yanga imemwuza Tuisila kwa bei ya kuku,kwanza hakuwa na umuhimu kwenye kikosi cha Yanga kwahiyo wasingemzuia
Unataka kuleta ubishi,hivi Tusila anaondoka Yanga hebu nitajie kwa kipindi hiko mchezaji tegemeo Yanga alikuwa nani?Kama sio TK Master, yanga ilikuwa mbovu kabisa ila TK ndiye kidogo alikuwa anaibeba timu na bado tukamuuza,Makambo naye akaja akawa anaibeba timu ambayo ilikuwa hali mbovu nae tukamuuza.
 
Dunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .

Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.
Makolo hamtaacha kuitwa mbumbu kwa akili kama hizi. Yan nyie ndio mshampachika na jina la Ajib. Sasa subiri msimu uishe tusiseme tukamaliza.

Hii kauli anabangaiza unaonyesha kuumizwa sana Yanga kuendelea kuwa na mchezaji kama Mzize
 
Vijana hawawezi kupiga hatua mnataka wafe na vipaji kwenye club isiyo na mbele wala nyuma,Msuva ilikuwa hivo hivo mkataba ulipoisha ndo akafanikiwa kuondoka
Mkuu kunywa maji mengi yanayokuja yatakausha damu kabisa. Maana sio kwa hasira ulizonazo
 
Mkuu kunywa maji mengi yanayokuja yatakausha damu kabisa. Maana sio kwa hasira ulizonazo
Yanakuja yapi,sisi huo huo ushindi wa bahasha hautushtui lazima maji na mafuta yatajitenga kama ilivyo kimataifa
 
Yanakuja yapi,sisi huo huo ushindi wa bahasha hautushtui lazima maji na mafuta yatajitenga kama ilivyo kimataifa
Sasa wewe uko hapa kufananisha CL na Confederation? Hata macho yako hayaoni wewe ungekua CL hata points 3 ungefikisha kweli? Muwe serious bhana
 
Sasa wewe uko hapa kufananisha CL na Confederation? Hata macho yako hayaoni wewe ungekua CL hata points 3 ungefikisha kweli? Muwe serious bhana
Last season na kina mzee ntiba na chama tulikuwa na point ngapi mpaka sasa huko CAFCL bwana mwiko nyuma 🤣
Compare na msimu huu kwa timu yako
 
"Seleman Mwalim anaenda kucheza club namber 3 Africa Mzize anabangaiza club numba 12".
Mama zenu wanacheza club namba ngapi hapo kujijini kwenu?
Maskini na fukara ndio hukimbilia kutukania wazazi anapozidiwa uwezo wa kiakili.
 
Last season na kina mzee ntiba na chama tulikuwa na point ngapi mpaka sasa huko CAFCL bwana mwiko nyuma 🤣
Compare na msimu huu kwa timu yako
Hebu ifike hatua kabla hujamquote mtu shirikisha akili yako timamu usiandike utumbo.

Kwahiyo mimi nilivyosema hivyo inamaanisha au maana yake hamjawahi kupata hizo point 3 kwenye makundi? Kama mpaka hapa hujaelewa sina namna nyingine ya kukisaidia kolo
 
Kama Yanga wana bania wachezaji apelekwe Kibu, Ateba au barua.
 
Kama Yanga wana bania wachezaji apelekwe Kibu, Ateba au barua.
We fara mnawabania wachezaj wenu wasiende kupata pesa nyingi.na maisha mazuri ili muwalengeshe kwa maraya wenu akina mobeto, umbwa nyie kabisa.
 
We fara mnawabania wachezaj wenu wasiende kupata pesa nyingi.na maisha mazuri ili muwalengeshe kwa maraya wenu akina mobeto, umbwa nyie kabisa.
Wapelekeni wakina Kibu nao ni wachezaji wa mpira. Yanga haifanyi biashara kwa mihemko.
 
Hebu ifike hatua kabla hujamquote mtu shirikisha akili yako timamu usiandike utumbo.

Kwahiyo mimi nilivyosema hivyo inamaanisha au maana yake hamjawahi kupata hizo point 3 kwenye makundi? Kama mpaka hapa hujaelewa sina namna nyingine ya kukisaidia kolo
Unisaidie kwani ninateseka na mwiko nyuma kama wewe? 🤣
 
Dunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .

Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.
Wewe ni wa KIKE, KIKE/KIUME ama wa KIUME?

Kila mtu na maisha yake, kama unamuonea wivu cheza wewe uende Wydad.

AKILI KIAZI
 
Na nyie mkauze si mnao wakina akili ndogo nguvu nyingi kibu Denis,,si mnao wakina mutale mbona awauliziwi ata kwa mkopo mmekomaa na wachezaji wa yanga🚮🚮🚮
Hebu muuzeni huyo au mnataka kumla wenyewe?
 
Back
Top Bottom