Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo mwisho sentensi inaishia na Ngu au Ndu?Kuna mijitu ilitaka sifa kwa Magu ikaendesha Uchaguzi kwa kutumia mkungu
Imekwisha hiyo, jipange upya. Utakalia kulia lia nyuma ya keyboard haitakusaidia, anza kuchapa kazi we muntu ya babati. Anza kulima maharage upeleke kuuza viwandani, maana ile ndoto ya tanzania ya viwanda inatimia chini ya jemedali wetu TZ 2020 JPMHapa kuwa na uchaguzi ilikuwa ni aibu tupu ya taifa
Wewe ni kilaza hujielewiRufiji iko Lindi? Hebu acha upumbavu jombaa...
Endelea kushabikia siment 25 kwa woteImekwisha hiyo, jipange upya. Utakalia kulia lia nyuma ya keyboard haitakusaidia, anza kuchapa kazi we muntu ya babati. Anza kulima maharage upeleke kuuza viwandani, maana ile ndoto ya tanzania ya viwanda inatimia chini ya jemedali wetu TZ 2020 JPM
Kwa taarifa yako mwaka huu gase ya HELIUM ya mkoani Rukwa, tunatarajia kupiga bingo ya kidunia. Yale matatizo eti watumishi hawajaongezewa mishahara kwa uongozi wa JPM nyongeza itakwa 100% increment. Mambo ni mengi muda mchache, nenda kalime babati
Ukiondoa tomato na chili huwezi kushindwa kula chips ,,,hivyo n vionjo tu kama alipt kura 70 kwa 67 s bado alishindaAliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.
Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.
Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!
Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.
Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.
Na hakukuwa na haja ya kumuongezea nyingine, kumuongezea nyingine ni udanganyifu! 😁Ukiondoa tomato na chili huwezi kushindwa kula chips ,,,hivyo n vionjo tu kama alipt kura 70 kwa 67 s bado alishinda
Waliokaa mwanzo hadi mwisho ni less than 20% tena vituo random ssa unapataje picha halisi?Sio hoja kivip wewee, mnadai mawakala walifukuzwa , haya waliofanikiwa kushuhudia matokeo kwenye vituo hata kama wapo kumi , watupe nakala tujumlishe tuone kama Lissu alishinda na hyo ndo iwe sample ya matokeo yote , na hapo tutaamin kwel Lissu alishinda kura zikachakachuliwa ...sasa kuongea ongea Tu mara ooh niliona kwenye vituo vingi , mara oooh kimoja JPM 70 Kwa 67 , mara mabegi ya kura sjui , njia sahihi mawakala walikodoa from begining to the end na wakapewa nakala , watupe hayo tuoneee....
Mawakala wapo kimya na ndo Wana data nzuri, Kati ya watu waliosimamia uchaguz most ni walimu , watu ambao wanamhate Sana JPM but na wao wapo kimya cse wanajua JPM kashinda kiuhalali kabisa , ......
Nilikuwa na was was na matokeo ya ubunge wa mbowe , nimeongea na majamaa wa Hai wanadai jamaa kapigwa kiuhalali kabisa .....
Angalieni hzi laana mnazoliombea Taifa zitawarudia , mana mnajua mmeshindwa ila Kwa ukaidi mnatengeneza maneno ...
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.
Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.
Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!
Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.
Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.
Imekwisha hiyo, jipange upya. Utakalia kulia lia nyuma ya keyboard haitakusaidia, anza kuchapa kazi we muntu ya babati. Anza kulima maharage upeleke kuuza viwandani, maana ile ndoto ya tanzania ya viwanda inatimia chini ya jemedali wetu TZ 2020 JPM
Kwa taarifa yako mwaka huu gase ya HELIUM ya mkoani Rukwa, tunatarajia kupiga bingo ya kidunia. Yale matatizo eti watumishi hawajaongezewa mishahara kwa uongozi wa JPM nyongeza itakwa 100% increment. Mambo ni mengi muda mchache, nenda kalime babati
Hii inaonesha kwa kiasi gani CCM haikubaliki huko kusini."Nyie watu wa Rufiji mna matatizo badala mchague Mbunge unachagua Bwege ,Bwege atawasaidia nini badala ya kuleta ubwege maana naona hapa hakuna alichofanya hata kujenga choo tu cha stand kwa pesa za jimbo ameshindwa "by JPM
Acheni ubwege nyieHii aibu CCM watatembea nayo kwa miaka mingi sana ijayo.
Mimi nilikuwa msimamizi kuna njia tatu zilitumika kuongeza kura.Sio hoja kivip wewee, mnadai mawakala walifukuzwa , haya waliofanikiwa kushuhudia matokeo kwenye vituo hata kama wapo kumi , watupe nakala tujumlishe tuone kama Lissu alishinda na hyo ndo iwe sample ya matokeo yote , na hapo tutaamin kwel Lissu alishinda kura zikachakachuliwa ...sasa kuongea ongea Tu mara ooh niliona kwenye vituo vingi , mara oooh kimoja JPM 70 Kwa 67 , mara mabegi ya kura sjui , njia sahihi mawakala walikodoa from begining to the end na wakapewa nakala , watupe hayo tuoneee....
Mawakala wapo kimya na ndo Wana data nzuri, Kati ya watu waliosimamia uchaguz most ni walimu , watu ambao wanamhate Sana JPM but na wao wapo kimya cse wanajua JPM kashinda kiuhalali kabisa , ......
Nilikuwa na was was na matokeo ya ubunge wa mbowe , nimeongea na majamaa wa Hai wanadai jamaa kapigwa kiuhalali kabisa .....
Angalieni hzi laana mnazoliombea Taifa zitawarudia , mana mnajua mmeshindwa ila Kwa ukaidi mnatengeneza maneno ...
HahahahhahahaKuna mijitu ilitaka sifa kwa Magu ikaendesha Uchaguzi kwa kutumia mkungu