Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vema, lakini lile la pembe 4 na la duara pia huwa yanaungana, hapo inakuwaje?Shida zipo ukichanganya bafu na choo. Maji ya bafuni yana sabuni ambayo huuwa bacteria wanaobadirisha haja kubwa kuwa maji. Ndio maana kuna tank 2, ya pembe 4 na ya mduara.
Ndio yana kuja kukutana kwenye shimo la pili ambapo kwenye shimo la kwanza ni kinyesi tu na maji ambayo yametumika kusafirisha kinyesi na mkojoKwa hiyo kule nje inabidi uwe na mashimo ya aina mbili???
Rangi nyeusi inayopangwa chini inazuia mchwaKwa kifupi mkuu ujenzi mwingi hapa bongo watu wana copy na Ku paste..
Ukiuliza kwann nyumba nyingi chini wanapaka rangi nyeusi,,au wanapaka rangi tofauti na rangi ya ukuta wa juu ,,majibu hakuna,
Nyumba nyingi ni mfumo wa sketi na blauzi..
Kwann tank za pembe 4 na duara. Na isiwe zote mbili pembe 4 au zote zikawa duara.Ndio yana kuja kukutana kwenye shimo la pili ambapo kwenye shimo la kwanza ni kinyesi tu na maji ambayo yametumika kusafirisha kinyesi na mkojo
Ninajua kwamba kule nje kuna mashimo 2 lakini sijui kazi zake ni nini mkuu. Alafu mimi ni raia sio mjeda.Sasa mjeshi kwa hiyo hujui kwamba kule nje kuna mashimo 2? La mstatili na lile la mviringo? Au septic tank and soak away pit??
Sawa mkuu...Hebu jaribu kuwa mtulivu kwenye kuelewa hoja.
Je kama yupoSiku atakutembelea mama mkwe wako yupo chooni na wew unataka kuoga uwahi kazini. Hapo ndo utatamani ujenge bafu separateli
Na siku akiwa bafuni we unataka kuoga ndo itakuwaje....Siku atakutembelea mama mkwe wako yupo chooni na wew unataka kuoga uwahi kazini. Hapo ndo utatamani ujenge bafu separateli
Hahahahahaaaa, mkuu asante sana kwa huu msaada wako wa kuuliza swali. Hawa jamaa wanajifanya hawataki kabisa kuelewa maudhui ya mada hii.Na siku akiwa bafuni we unataka kuoga ndo itakuwaje....
Hii yote ni kukariri tuu.........Hahahahahaaaa, mkuu asante sana kwa huu msaada wako wa kuuliza swali. Hawa jamaa wanajifanya hawataki kabisa kuelewa maudhui ya mada hii.
Watu wengi hawajui hii wallahKwa ujenzi wa kisasa una weka chumba kimoja kwa taka za ndani ya mwili kinyesi na mkojo na za nje kuoga kupiga mswaki n.k angalizo kama hauna hela za kutosha ni bora ukajenga kwa kutenganisha kwa sababu maji ya taka ya nje mwili na manisha yenye sabuni na kemikali kama shampool zina weza kuingia kwenye sinki la choo na kupelekea kuua backteria wanao mengenya kinyesi na kupelekea choo kujaa haraka ni hayo tu
Mimi ni mmoja wao. Humu JF kuna watu wanajua mambo mengi sana. Hakika ni kisima cha maarifa.Watu wengi hawajui hii wallah
Kwanini nimgongee wakati kuna chumba cha pili chenye huduma kama hicho chumba alichopo yeye.Umejibiwa akija mama mkwe ameenda chooni na wewe unataka ukaoge uende kazini utamgongea umwambie toka mama nataka kuoga???
Choo na bafu vikiwezeshwa kutoa huduma zinazofanana vinaweza ku-accomodate hao watu 10 wote kwa pamoja.Halafu jiulize kama nyumba ina watu 8 au 10 na watoto itakuwaje???
Mchwa anakula cement? au aluminium?Rangi nyeusi inayopangwa chini inazuia mchwa
Usumbufu wa ukimaliza huku ndio uingie kule...Kwanini uoge CHOONI..wakati choo Ni kwakujisaidia..na Kuoga Ni kuoga
Mwanamke akipata haja anatakiwa aoge?Kutenga ni uswahili, maana kama Mwanamke inafaa akipata haja aoge kabisa, sasa unahama cumba kama vile shule
Kuna watu wanatoa haja ndogo bafuni wakati wa kuoga pia ujue...Nyumba nyingi zakupanga zinachoo na bafu hapo hapo... Unaenda kuoga asubuhi...mikojo inanuka
Kabisa mkuu...Kutenga ni uswahili,