excellency
Member
- Sep 24, 2019
- 27
- 31
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
Jamanii jamaniNakuja haki nlibanana
Nitumie piemu nilinganishe
ItapendezaHebu niweke hapa
Weka hata ambayo haina vidole πSisi wa mkowani tunachambulia karanga, vidole vyetu vya hapa kazi tu shambani
Hatutaviweka hadharani ng'o
Sanaa,ni vizuri kwa kweli
Halafu sijaona selfie yako hadi sa hivi π€
Weka hata ambayo haina vidole π
Liniii sasa zinakuwa tayariBadoooo
Cute πππ
Itume hivyo hivyo acha uchoyo mbona hata mie kama wewe na nimetuma hapaThubutu, kucha hazipo na vidole vimegadiana dongo jekundu ππ
Sikujua kama unajijua kama wewe ni mjanja mjanja.Ni kweli ni mjanja mjanja, ila ile picha ilikuwa yangu.
Na ndio maana niliifuta mapema baada ya kuambiwa sijacrop sura inaonekana.
Fungua pm nikutumie nyingine.
Jamanii jamani
Mpaka umsahau mdogo wako kipenzi
Ya kwako itume basi Mr Handsome, gentleman of all the time.
Hahahaha yako sijaiyona mpendwaCute πππ
Jeiefu ya sasa si kama ya zamani...
By the way utakuwa umebadili aidii yako, maana ushanipoteza maboya...
mwisho:kaka mshana kwa uo mwendo wako utawala wengi sana humu maana umeanza ujinga wakutoka nje ya lengo yaan umevuka mipaka mpaka kupost misosi yako [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]numefuatilia huu uzi nilichokuja kukigundua ni kwamba
Mosi:kama wewe hufahimi sana hapa hata ukituma picha yako hakuna atakae jadiri yaan zinajadiliwa picha za uyu mshana tu
Mbili:nilivyo elewa mimi ni kwamba unajiself pale ulipo yaan apo apo sasa watu wanaenda kutafuta picha gallary mpaka google uko
tatu:watu wameamua kabisa kwenda kuvunja kabati za nguo zao nakuchukua nguo nzuri kuzidi zote ndio anapigia picha wakati lengo lilikua ni kuona daily life syle yako
mwisho:kaka mshana kwa uo mwendo wako utawala wengi sana humu maana umeanza ujinga wakutoka nje ya lengo yaan umevuka mipaka mpaka kupost misosi yako
nb:kama wewe hufahamiki ata usijisumbue kupost kapicha kako maana hakuna ata atakae reply post yako
Itume hivyo hivyo acha uchoyo mbona hata mie kama wewe na nimetuma hapa