[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitoki naisubiri nisije kuta ushaifuta
Haina haja ya kubishana.Itabidi tukaandikishiane, nusu ya mafao yangu nakuachia.
Naona Changu kimezidi[emoji23][emoji23][emoji23]Me kipipa [emoji23]
Nipo huko juu
Watu wa hapa jamani 😂😂 ungeacha bana me nilishapanga nimfate PM anipe tips za kuwa na kiflat tummy kama hicho.
Server zitapata hitilafu kwa muda.
Wacha niitupie nione[emoji1787][emoji1787]
Umefuraaaaaahi mwenyewe.Naona umemfunua mrembo wangu
Aisee[emoji134][emoji134][emoji134]Yaani huu uzi kama una pepo vileeee[emoji848]nipo church lakini nilikuwa najiiba kuuchungulia bado kuna picha naisubirii[emoji849]
Sitag yeyote.Ebu tuone,usiache kunitag.[emoji23][emoji23]
Mimi sibishani na wewe, isipokuwa kama wewe ndiyo huyo natangaza interest.Haina haja ya kubishana.
Mimi najua ni mimi.
Safi sana.Haina haja ya kubishana.
Mimi najua ni mimi.
Ha ha haaaUmefuraaaaaahi mwenyewe.
Huyo ni mimi nimenenepa sasa hivi.
Haina haja mkuu.Mimi sibishani na wewe, isipokuwa kama wewe ndiyo huyo natangaza interest.
Na niko tayari kutoa chochote kilicho within my capacity.
Me kipipa 😂
Nipo huko juu
Acheni kutuchakachua.
Mpaka nimeanza kuangalia kama mshahara umeingia au?
Hakijabadilika kitu.
Thread ipi nikaitafute!???
Humu nimeisaka sana sijaona.
Ujue ni mekuchelewa nimekuta story tu picha ushasepesha.Safi sana.
Mwanamke msimamo. [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Kaza hapo hapo hadi alie.