amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Aiseee umenichekesha sana tena hapo unaposema "huyo ni mimi nimenenepa" " yaani.....
Nakumbuka juzi kati nimeonana na mtu ananiambia kuwa eti nimetumia mchina, nafikiri kuzaa nako kuna sehemu maumbo yanapanuka ila shost tuambie hilo flat tumbo unalimaintain veep.
Nakumbuka juzi kati nimeonana na mtu ananiambia kuwa eti nimetumia mchina, nafikiri kuzaa nako kuna sehemu maumbo yanapanuka ila shost tuambie hilo flat tumbo unalimaintain veep.
Umefuraaaaaahi mwenyewe.
Huyo ni mimi nimenenepa sasa hivi.