Umefuraaaaaahi mwenyewe.
Huyo ni mimi nimenenepa sasa hivi.
Jiamini mwanamke.
Nisaidie kushanga.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Safi sana.
Yaani utafute picha yako upost halafu mtu aseme sio wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nachekajee kama fala yani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimepost picha yangu mimi mwenyewe.
Kwa sababu ipo kwenye mtandao haina maana kwamba sio mimi.
Safi sana.
Yaani utafute picha yako upost halafu mtu aseme sio wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nachekajee kama fala yani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Kwasababu inaaminika hakuna warembo classic humu basi wakiona nzuri nzuri wanaigugo ili kuhakiki
Hakijabadilika kitu.
Huyo ni mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Univunjishe kabati halafu bado isishinde akuuu babu weee
Sijakuona
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Wakiona umepost mbaya hawajisumbui kugugo. Post nzuri sasa sever zinakuwa busy.
[emoji23][emoji23] emu weka nilinganishe
Aiseee umenichekesha sana tena hapo unaposema "huyo ni mimi nimenenepa" " yaani.....
Nakumbuka juzi kati nimeonana na mtu ananiambia kuwa eti nimetumia mchina, nafikiri kuzaa nako kuna sehemu maumbo yanapanuka ila shost tuambie hilo flat tumbo unalimaintain veep.
Weka tu hivyohivyo.Nitaweka siku nikiwa kwenye hotel nzuri, haya mazingira ya nilipo background haisomi vizuri.
Mie nipo huko juuMbona tunatupiana mpira..
Haya naweka
Ndio mkuu.Aisee
Hata Mimi nilikuwa mwembamba kipindi nimekutana na Manga ML .
Ila sasa hivi nimezaa nimenenepa kama ninavoonekana kwenye hiyo picha.
Kuhusu tumbo kuwa flat ni mwili wangu tuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hadi Uzi umechangamka.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Umewaweza maana umewapa kazi ya ziada.
Akikujibu unistue nimpelekee wife ufundiAiseee umenichekesha sana tena hapo unaposema "huyo ni mimi nimenenepa" " yaani.....
Nakumbuka juzi kati nimeonana na mtu ananiambia kuwa eti nimetumia mchina, nafikiri kuzaa nako kuna sehemu maumbo yanapanuka ila shost tuambie hilo flat tumbo unalimaintain veep.
Jipige kiselfie amazing then tupia hapa, ukishindwa nenda kachukue Google😂😂Wakuu naomba maelezo kidogo nini kinaendea humu ili na Mimi ni abide the law ???