google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Basi tu naogopa kuendelea maana akili inahama njia yake. Ila Mungu fundi sana hata uumbaji wako umefanywa kwa vipimo stahiki na udongo uliotumika kukuumba ulichekechwa sana ukawa laini kama unga wa ngano.Asante Mkuu
Sawa hunieHahahah mrefu huo baadae nikiwa lindo kukitulia nitauanza kuanzia mwanzo mpaka mwisho
Kweli, hicho kidada kichawi usiwe karibu nacho.Sema kweli
Tumshukuru Mungu kwa hilo Mkuu, na asante mnooBasi tu naogopa kuendelea maana akili inahama njia yake. Ila Mungu fundi sana hata uumbaji wako umefanywa kwa vipimo stahiki na udongo uliotumika kukuumba ulichekechwa sana ukawa laini kama unga wa ngano.
@Sanchez anabisha dadaUnalima dada nani anabisha
[emoji23][emoji23] naomba kusikia notification ikiingia
#BlackIsBeautiful
Una mikono lainiSangoma usiniroge. View attachment 1217189
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia imechange sana now day adi waganga wanajipigilia raba
Una mikono laini
Haha sidhani maybe awe anamkaribia, mdogo wako mcute babeBabe kwahiyo cha arusha kinamfikia mdogo wangu eenh
Picha yako ingekuwa full ningeweka wallpaper kwa simu yangu aki vile. Hongera mamaTumshukuru Mungu kwa hilo Mkuu, na asante mnoo
.Sie kwetu weekend ishaanzaView attachment 1217237
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu badala muweke picha mnajaza tu maandishi.
wadada wekeni saa 6 zenu hapa tuone
Umeanza nongwa mapema yote hii.Haha sidhani maybe awe anamkaribia, mdogo wako mcute babe
Uchebe huo 🏃