Yaani wewe unakuwa humu halafu picha zinakupitaje?Na mimi nitag mwaya
Si ndio hapo sasaWe waache wanaogopa siku wachomoa betri watatuwekea picha full sio nusu bora warushe kuepusha lawama baadae[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kutuma siyo shida je umetuma ya kwako??[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]nitahakikishaje kama ni ya kwako??Nimetuma, ole wako dunia isibadili mwelekeo.
Ipo tena fullMimi nimeweka mwanzoni kabisa mwa uzi,labla yako sijaiyona mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si unaona sasa[emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kutuma siyo shida je umetuma ya kwako??[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]nitahakikishaje kama ni ya kwako??
Hahahaha kwa kweli umenikumbushaUkifukuzwa kazi useme ulikuwa unasubiri picha[emoji23]
Kwani umewahi kutumia browser??Sipage za post ...unagusa hapo kwnye izo namba unaziona
Page namba ngapi nakajioneeIpo tena full
Huwezi ukaona kirahisi hivyo na wakati hukuwepo[emoji134]Unalia nini sasa?
Wewe kafanye tu sitoifuta, utaikuta.Hahahaha kwa kweli umenikumbusha
Tunaroll town na kibegi 🏃View attachment 1219302View attachment 1219303View attachment 1219304Majukumu kwanza mengine yanafuata.
Have a good day[emoji41]
We una kazi ya kustuka tu[emoji23]
Alienda PM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wewe unakuwa humu halafu picha zinakupitaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa ninyi ndiyo mnafanya tunasubiri picha zenu kama mishaharaUkifukuzwa kazi useme ulikuwa unasubiri picha[emoji23]
Kwani umewahi kutumia browser??
Una hakika sikuwepo? Nilikuwa napita kimya kimya. Ile nataka nikuquote nikwambie ukaifuta. Ila niiiona.Huwezi ukaona kirahisi hivyo na wakati hukuwepo[emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa ninyi ndiyo mnafanya tunasubiri picha zenu kama mishahara
Sijaiona bwana, maana nimeanzia chini sikuanzia huko juu. Ngoja nikaione.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We hujaona hiyo mashine