Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna watu wakifuta picha siumii kivile ila sio Atoto na Saint anne [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haiwezekani yaani.
Yaani nahisi wewe roho haijakuuma mimi roho imeniuma sana Atoto na cute b kufuta picha zao ya Saint anne niliiona na Heaven Sent naye naona kagoma kutuma yaani hawa watu wanatutesa jamani ni nini lakini??
 
71342798_756183824835557_5394908411915665408_o.jpg
Umefanana na jamaa yangu mmoja anaitwa Ahmed Abdul Razaq.
 
Back
Top Bottom