Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sakayo hajafuta.Sakayo si aliweka ya uwongo watu wakachomoa betri au aliweka nyingine.
Yaani nahisi wewe roho haijakuuma mimi roho imeniuma sana Atoto na cute b kufuta picha zao ya Saint anne niliiona na Heaven Sent naye naona kagoma kutuma yaani hawa watu wanatutesa jamani ni nini lakini??Kuna watu wakifuta picha siumii kivile ila sio Atoto na Saint anne [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haiwezekani yaani.
Umefanana na jamaa yangu mmoja anaitwa Ahmed Abdul Razaq.
We huna na kama unacho basi ni kile cha size ya Nandy bilnass 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimeona niseme tu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yesu anakuonaSiri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.
Huwezi amini nakula kila kitu..ila skert huwa sipati size ya kiuno maana Ni bonge la kitambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu we picha zako ninazo ngoja nije na i'd nyingine nichomoe betri😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakudanganya picha ipo kweli
Aliweka nyingine yake sasa maana yule Appiah ni role model wakeSakayo si aliweka ya uwongo watu wakachomoa betri au aliweka nyingine.
Sakayo ni moto wa kuotea mbaliSakayo si aliweka ya uwongo watu wakachomoa betri au aliweka nyingine.
Heaven Sent ukuje sister..Yaani nahisi wewe roho haijakuuma mimi roho imeniuma sana Atoto na cute b kufuta picha zao ya Saint anne niliiona na Heaven Sent naye naona kagoma kutuma yaani hawa watu wanatutesa jamani ni nini lakini??
Hizo nywele ni natural?Wewe mwenyewe Nina mashaka hukuona
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]tatizo inanichosha mie jamaniWakiyaweka patakuwa hakuna utofauti unaofanya watu waweke chaguzi either kwa app or browser.
Browser is the best [emoji91][emoji91]
Za Sakayo haujaziona??Na Dada sakayo [emoji23]
Mie yangu ipo huko juu.Hebu tuone
Tuma kwanza halafu ndiyo nitajua kama nitaamini au la[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaamini?
Hahaha weee ulizitoa wapiHalafu we picha zako ninazo ngoja nije na i'd nyingine nichomoe betri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu...,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We huna na kama unacho basi ni kile cha size ya Nandy bilnass [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nahisi wewe roho haijakuuma mimi roho imeniuma sana Atoto na cute b kufuta picha zao ya Saint anne niliiona na Heaven Sent naye naona kagoma kutuma yaani hawa watu wanatutesa jamani ni nini lakini??
Kwanini asiumie?? Mbona wewe mzuri tu jamani??Ungejua zangu zilivyo hata usingejichosha kuumia[emoji1787][emoji1787]
Hivi kweli uliona!???Hizo nywele ni natural?
Si ndio ile upo studioMie yangu ipo huko juu.
Nisake nimevaa gauni