Tende dadaGuu mama guu
Sakayo nimechoka kukusifia[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Kiofisi zaidi View attachment 1219448
Ndo nafutaaHatareee
Amka sasaHere it is View attachment 1219453
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie mbona nilishatuma miwa yangu ya nyongeza kule juu
Ile ya kipilipili changuMbona umeficha nywele maana jana ulisifiwa kwa nywele hatari
AiseeeKiofisi zaidi View attachment 1219448
Siri ya kitambi Ni viporo vya ugali na maharage kwa kwenda mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitoz zaidi... Moka na jeans na T-shirtSawa mimi nipo mabluu natafuta dagaa tonge.View attachment 1219456
Hasa viporo vya ugali...tunaselfika Hadi server zinakuwa nzito[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakua mambo ya kilinge Mkuu. Na mie toka alipoipost yaani siendi jukwaa jingine wala post nyingine, nimeng'ang'ana tu kwenye post hii. Yaani nafuatilia comment moja baada ya nyingine
Naskia una guu la grants hebu weka tuone[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]watu na miguu yenu ya project
Ila we ni funikaGuu mama guu
Endelea kutodhani[emoji23][emoji23][emoji23]Madam [emoji8]
Ila sidhani [emoji23][emoji125]
Zile nywele haziwezi kuwa za mtu kibonge hivyo 😂😂Endelea kutodhani[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikwambia Mimi kwanza hujanizidi kitambi...ukabisha[emoji1787][emoji1787]